Chairman Lee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,358
- 1,497
Huyo hakupendi mkuu, angekuwa anakupenda angefanya yafuatayo÷Kwa kweli mmenielimisha pakubwa. Nilikuwa nawaza kumuoa lakini sasa nimepata sababu kwanini ni hatari kuingia nae katika maisha.
Angesimama bega kwa bega na wewe tangu mwanzo.
Ange kupiga tafu na kukupa moyo pengine hata kukufariji katika mishe mishe zako , kwasababu anajua utakuwa nae katika mausha.
Asinge kuacha kwa staili aliyofanya , kama alikuwa na malengo na wewe, maana mwanamke anae kuheshimu hawezi kufanya aliyofanya huyo.HUYO AMESHACHEMKA , AMESHATUMIKA SANA MPAKA WAMEMCHOKA , AMEONA WEWE ULIKUWA UNAMPENDA SANA NDIO MAANA ANAKUJA KIJARIBU HAHATI YAKE.
KIFUPI NI GARI BOVU HILO