Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Mkuu haraka Sana,nasema haraka sana! Huyo kapigwa sana pumbu huko halafu ameona umri wa kustaafu unefika ndio anakuja kwako!MKATAE

Tena usije ukajiroga kumkaribisha kwako huyo,pengine ana mimba hapo alipo na anataka kukubebesha wewe.

Narudia MKATAE! MKATAE! MKATAE!
na usimpige pumbu huyo,pita mbali!
 
Hawa wenzetu hua wanatambuaga umuhimu wa mtu Kwa baadae sana

Niliwahi mpendaga mmoja hivihivi 5 years ago, akawa ananikaushia.

Sasahivi ananiambia Niko free kupeleka barua ya uchumba and she's mid 24-25.

Sababu kubwa hapo ni kwamba karukaruka sasa anatamani ndoa na mtu anaye mpenda atulie.

Na kwenye brainstorming ume pop-up wewe, tumia akili, uingie kichwakichwa. Kama huna future naye usiache afall utamuumiza maana ana expectations hapo.
 
Natamani JF ingekua na uwezo wa Kutuma Voice note...


Anyways huyo dada anajijua yeye mzuri sasa wewe hukua type yake wakati mpo shule akawa anacheza na monta wenu ndo alikua type yake. Kaenda UDSM keshachezewa vya kutosha type yake sio type zao sasa kaona arudishe mpira kwako kwa kua anajua ulikua unampenda at one point. Huyo akija jmoc anakuja tayari kwa kuliwa. Na ukimla tu basi hakuachi huyo. Danny Unataka kumla au hutaki? Kama unataka kumla kulipiza alivyokua anakukataa enzi za shule, hapa nakushauri kama mwanamke peleka hiyo manzi gesti/lodge tena usimfuk bila condom. Huyo sio manzi ya kula getto atakuganda sana. Piga pita hivi ikiwezekana hata kwako asipajue.... labda ana mimba anaitaftia baba. Akili kumkichwa.
 
Acha ufala wewe.....

Mkubalie aje Jumamosi kisha piga vizuri.... na mfulishe nguo kabisa.

Akishaondoka kwako zima simu na umkatie mawasiliano.

Huyo hakupendi hata kidogo maisha yamempiga anajitongozesha.

Wakati wa kumwaacha kuwa makini maana maisha hayahitaji hasira.
Asante kwa kunishauri. Ila inahitaji ukatili sana kutekeleza hili suala
 
Hamna mtu hapo, chapaa, alafu pita vile.

N:B Fanya yote usije ukasahau zana babaa, hujui Prisca yamemkuta yapi.

Let's meet at the top, cheers 🍻
Asante kwa kunishauri Kwanini unahisi sipaswi kufanya nae maisha ?
 
Kaka unaweza kueleza kidogo kwanini ni ngumu kufanya nae maisha ?
Huyu mwanamke mwenzie kashaeleza utangulizi. Tuttyfruity

Wanawake kuna kitu wanaita type au hadhi.

Hata siku moja mwanamke hawezi mpenda mwanaume ambaye sio type yake...

Ila atamhitaji mwanaume asiye wa type yake anapokuwa na shida... na shida yake ikiisha hamjuani.

Wa hivi hawaridhiki...ukioa utakuwa mwenyewe ndoani.
 
Mzee Daniel Adrian Habari.

Kwanza hongera na pole na majukumu.

Suala lako wala sio geni masikioni mwa kila mmoja. Visa vya namna hii huwa vinatukita walio wengi. Mimi naamini kuwa maisha ni mfululizo wa machaguo, yale matokeo yake ndio maisha sasa.

Mimi ningependa kukueleza kuwa, maamuzi yako yaamriwe na hisia zako binafsi.

Haya ni maisha, sio mchezo. Suala la kuomba ushauri haimaanishi kuwa unaomba muongozo wa namna ya kufanya jambo lako binafsi, isipokuwa ni kutazama mlengo wa fikra za wengine endapo lingewakuta jambo lako.

Kuhusu Prisca, maoni ya watu hayawezi kueleza uhalisia wa lengo hisia na nia yake kwako. Watu huwa wanabadilika wanapokuwa wameingia kwenye mazingira flan tofauti yanayowapa maana walizokuwa hawazielewi vema, au sababu nyingine ya kubadilika huwa ni kukua. Hapa nazungumzia kuwa, mara nyingi wasichana wa Advance wanakuwa na zile Fantansies na shauku ya kubashiri maisha ya uhuru na mahusiano. Ila wanapomaliza masomo yao, wanakuwa wameshajua kupambanua.

Jipe upendeleo kwa kufuata moyo wako, jipe muda kuchunguza iwapo unatakiwa kunaswa na mtego huo, jipe upendeleo kujali maumivu ambayo unaweza ukayapata.

Fikia maamuzi.

(BTW, chukua pisi hiyo, ishi nayo kibaharia)
Chambilecho wahenga walisema, Baniani mbaya kiatu chake dawa.
 
Unachosema kina uwezekano wa kuwa kweli.
Huo ndo ukweli aise.hakuna kitu inamsumbua mwanamke kama umri umeenda,mtoto huna,hutongozwi,wala hakuna simu inayopigwa usiku ya kimapenzi zaidi ya simu za kazini na mwisho ni saa kumi jioni,na hakuna mwanaume ambae anataka kutengeneza fyucha na wewe..aise acha hiyo kitu bhana..

Mwanamke ambae Amekosa vyote hiyo na yuko sawa kabisa basi huyo ako na shida ya maana
 
Form 5 alikataa tuseme alikuwa na masomo. Form 6 akatoka na monitor, ashajua mapenzi uhakika tunao. Chuo miaka mitatu, ongeza miwili ya mtaani. Jumla miaka 7 ambayo atakuwa na range ya umri wa 25-27. Ndo muda wake wa kuolewa hivo anatafuta penye upendo wa kweli ashaachana na walamba lips maana hawamuoi
Changamoto yangu kaka ni Je, tutaishi kwa upendo maana sijui kama kweli kaja kunikubali kwa moyo mkunjufu au la !!!
 
Huyu mwanamke mwenzie kashaeleza utangulizi. Tuttyfruity

Wanawake kuna kitu wanaita type au hadhi.

Hata siku moja mwanamke hawezi mpenda mwanaume ambaye sio type yake...

Ila atamhitaji mwanaume asiye wa type yake anapokuwa na shida... na shida yake ikiisha hamjuani.

Wa hivi hawaridhiki...ukioa utakuwa mwenyewe ndoani.
Inaonekana Danny anataka kufanya maisha na prisca 😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom