Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Ulishughulika vipi na kisa cha namna hii?

Huo ndo ukweli aise.hakuna kitu inamsumbua mwanamke kama umri umeenda,mtoto huna,hutongozwi,wala hakuna simu inayopigwa usiku ya kimapenzi zaidi ya simu za kazini na mwisho ni saa kumi jioni,na hakuna mwanaume ambae anataka kutengeneza fyucha na wewe..aise acha hiyo kitu bhana..

Mwanamke ambae Amekosa vyote hiyo na yuko sawa kabisa basi huyo ako na shida ya maana
Haya yote ni masuala ya utamaduni wa kijinga wa hizi nchi masikini za kiafrika.Nchi zilizoendelea kama sweeden,Norway,e.t.c mwanamke huwa anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya kumpenda mtu,kwa sababu atakosa furahaa kama ataishi bila ya huyo mtu.Kwenye nchi hizo mtu anaweza kuingia kwenye mahusiano akiwa na miaka hata 80 kwa sababu ndiyo muda/umri ambao maybe amepata mtu anaempenda.

Kwenye nchi zilizoendelea mtu haiingii kwenye mahusiano kwa sababu ya umri kwenda au kwa sababu ya kupata mtoto.Kuingia kwenye mahusiano kwa sababu umri umeenda au kwa sababu ya kuzaa huo ni ufala na umasikini wa akili.Maisha ni mafupi sana,kuna umuhimu wa kutanguliza furaha mbele kuliko chochote kile.
 
Mkuu endelea kumdanganya jamaa akamle then akute binti ni mtamu kunoga! Hakika komamanga la watu litanasa na likinasa likashindwa kutokana lawama zitaletwa humuhumu..😂
Asante kwa ushauri japo umeniita komamanga😂
 
Wengi wamekushauri eiza uanchane nae au uchape usepe. Mimi nitakushauri tofauti kidogo. Hebu kwa sasa mtazame Prisca kama mtu aliyepevuka na anaejitambua. Unakosea kumlaumu mtu wa form 5 kukukataa kimapenzi!!! Huyo alikuwa mtoto jomba. Kweli wewe ulivyokuwa form 5 kiakili ndio ulivypo sasa? Na inaonekana bado unampenda Prisca, acha ligi zisizo na future, kwa sasa wote mmeshapevuka tuliza mpira. Mpe nafasi wala usichukulie maubishani ya form 5. Mpe nafasi, pimeni afya jenga familia kijana. Kweli ulinganishe maisha ya kwenda bichi komba na monita ndio yakunyime future na umpendae?
Ushauri mzuri sana huu....

Kama bado unampenda we jmos ukipata nafasi mkaribishe msikilize you never know na haya maisha hayanaga formula so usiumize akili sana kwa jambo la kawaida kama hili.

Muhimu mpime afya maana hujui mtu kapitia wapi miaka yote hiyo.
 
Haya yote ni masuala ya utamaduni wa kijinga wa hizi nchi masikini za kiafrika.Nchi zilizoendelea kama sweeden,Norway,e.t.c mwanamke huwa anaingia kwenye mahusiano kwa sababu ya kumpenda mtu,kwa sababu atakosa furahaa kama ataishi bila ya huyo mtu.Kwenye nchi hizo mtu anaweza kuingia kwenye mahusiano akiwa na miaka hata 80 kwa sababu ndiyo muda/umri ambao maybe amepata mtu anaempenda.

Kwenye nchi zilizoendelea mtu haiingii kwenye mahusiano kwa sababu ya umri kwenda au kwa sababu ya kupata mtoto.Kuingia kwenye mahusiano kwa sababu umri umeenda au kwa sababu ya kuzaa huo ni ufala na umasikini wa akili.Maisha ni mafupi sana,kuna umuhimu wa kutanguliza furaha mbele kuliko chochote kile.
Samahani mkuu naomba uwe salimie huko Norway na sweden..

Mimi nipo Tanzania
Na huo mfano wako ulenge sehemu husika.
Nchi yangu (nyumbani kwangu)pakiendelea inatosha kabisa..

Hizo habari za nchi gani kuendelea waachie wenye nchi zao.

Nilitegemea umwambie mwenye uzi kama bado anampenda prisca wafanye maisha...kumbe unaniletea malinganisho ya bara na bara😅😅🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🥂🧚‍♀️🧚‍♀️🧚‍♀️
 
Samahani mkuu naomba uwe salimie huko Norway na sweden..

Mimi nipo Tanzania
Na huo mfano wako ulenge sehemu husika.
Nchi yangu (nyumbani kwangu)pakiendelea inatosha kabisa..

Hizo habari za nchi gani kuendelea waachie wenye nchi zao.

Nilitegemea umwambie mwenye uzi kama bado anampenda prisca wafanye maisha...kumbe unaniletea malinganisho ya bara na bara
Mimi siwezi kukosa furahaa kwa sababu ya tamaduni za kipuuzi.Ndugu zangu walinilazimisha nioe eti kisa nazeeka,nikawaambia ninyi ndiyo mnakuja kuishi na huyo mwanamke au ni mimi?Sasa hivi wamenitenga eti kisa sitaki kuoa,yaani maisha yangu binafsi yanaingiliwa na watu kisa ni tamaduni!
 
Mkuu endelea kumdanganya jamaa akamle then akute binti ni mtamu kunoga! Hakika komamanga la watu litanasa na likinasa likashindwa kutokana lawama zitaletwa humuhumu..😂
Komamanga😂😂😂 we fall Sana🤣🤣🤣
 
Mwanamke wa hivi hapendi....anatafuta kula yake tu...

Na akishashiba atakubadilikia hutaamini.
Ulichosema kinafikirisha sana. Kina ukweli kwa kiasi kikubwa. Labda ataweza nigeuka mbele ya safari.
 
Mkuu haraka Sana,nasema haraka sana! Huyo kapigwa sana pumbu huko halafu ameona umri wa kustaafu unefika ndio anakuja kwako!MKATAE

Tena usije ukajiroga kumkaribisha kwako huyo,pengine ana mimba hapo alipo na anataka kukubebesha wewe.

Narudia MKATAE! MKATAE! MKATAE!
na usimpige pumbu huyo,pita mbali!
Asante sana. Nitazingatia ushauri wako.
 
Mimi siwezi kukosa furahaa kwa sababu ya tamaduni za kipuuzi.Ndugu zangu walinilazimisha nioe eti kisa nazeeka,nikawaambia ninyi ndiyo mnakuja kuishi na huyo mwanamke au ni mimi?Sasa hivi wamenitenga eti kisa sitaki kuoa,yaani maisha yangu binafsi yanaingiliwa na watu kisa ni tamaduni!
Lipia tangazo mkuu kumbe bado hujaoa 😅😅mimi pia bado sijaolewa na umri umekata kichizi😆😆😆😆😆😆😆😆
 
Yale yale kijana mbichi anataka kuowa malaya!

"Hakupendi huyo, ila tu anakuja kwako kupooza machungu kwa sababu aliowataka yawezekana kagombana nao. Sasa we jiangalie wewe unampenda ama humpendi?".

Siyo maneno yangu ni maneno ya rafiki yako Kishore,hivi kwani wewe mgeni humu?huwa hukutani na mada zinazohusiana na kusisitiza sana kuowa mwanamke bikra?na huyo anayejitongozesha kwako kiasi hiko umri umeshamtupa na huko alikotoka hakuna hata aliyemwambia kwa utani nakuowa ameona bora ajiegeshe kwako na wewe unaweweseka kabisa “nataka kuowa sitaki kuchezea” umejipa muda kujiuliza wangapi wamemchezea hadi uje wewe kukokotana naye akimiliki kopo la choo cha stand katikati ya mapaja yake?

Acha undezi.....nakwambia tena acha UNDEZI!!!
 
Hawa wenzetu hua wanatambuaga umuhimu wa mtu Kwa baadae sana

Niliwahi mpendaga mmoja hivihivi 5 years ago, akawa ananikaushia.

Sasahivi ananiambia Niko free kupeleka barua ya uchumba and she's mid 24-25.

Sababu kubwa hapo ni kwamba karukaruka sasa anatamani ndoa na mtu anaye mpenda atulie.

Na kwenye brainstorming ume pop-up wewe, tumia akili, uingie kichwakichwa. Kama huna future naye usiache afall utamuumiza maana ana expectations hapo.
Mimi wakati mwingine nahisi nimwambie ukweli kuwa 'simhitaji' lakini sasa nahisi atajiskia vibaya sana.
 
Natamani JF ingekua na uwezo wa Kutuma Voice note...


Anyways huyo dada anajijua yeye mzuri sasa wewe hukua type yake wakati mpo shule akawa anacheza na monta wenu ndo alikua type yake. Kaenda UDSM keshachezewa vya kutosha type yake sio type zao sasa kaona arudishe mpira kwako kwa kua anajua ulikua unampenda at one point. Huyo akija jmoc anakuja tayari kwa kuliwa. Na ukimla tu basi hakuachi huyo. Danny Unataka kumla au hutaki? Kama unataka kumla kulipiza alivyokua anakukataa enzi za shule, hapa nakushauri kama mwanamke peleka hiyo manzi gesti/lodge tena usimfuk bila condom. Huyo sio manzi ya kula getto atakuganda sana. Piga pita hivi ikiwezekana hata kwako asipajue.... labda ana mimba anaitaftia baba. Akili kumkichwa.
Nimekuelewa sana mkuu natumaini ushauri wako atauzingatia over
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom