Wakuu leo nimeamini kuwa masihara yapo.

Leo nilisafiri kutoka Nzega kwenda Arusha safari nikanzia pale na bus halikuwa na watu hivyo viti vingi vilikuwa wazi. Basi bwana tukafika igunga wakapanda abiria demu mmoja mkaali akaja kukaa kwangu nikajisemea yes safari imekuwa njema sana.

Nikawa najiuliza nianzie wapi mbali na salamu maana tulisalimiana wakati huo akapanda wale wauza vitu vitu akawa anamfahamu yule dem, wanaongea hapa na pale sasa muuzaji akawa ananadi kwa kuisifu sugua gaga kwamba inaondoa mikosi na ina liwaza bafuni.

Nikamuuliza dem hayo kuna ukweli ebwanae tukaanza mazungumzo yetu na nikanunua kashata flani nikampea akapokea nikasema leo nitakula kimasihara maana safari bado ni ndefu ebwana hata singida hajafika akaniambia nashuka hapo nikajisemea acha ashuke wala namba yake sitaki.

Mbele kidogo akapanda jamaa tukaa nae jamaa nunda kweli kweli nikasema poa twende tu ila nae alienda kushuka nikabaki tena peke yangu.
Tukafika Katesh kuna binti kama 28yrs hivi mweupeee akaja kukaa kwangu tukasalimiana fresh. Akawa anapiga simu nini na nini ana kasauti katamu balaa. Walai roho ikawa inadunda dunda tu. Nikawa najiuliza tena nianzie wapi.


Baadae nikajilipua nikamwambia samahani wewe ni mtu wa kawaida? Akasema kwanini? Nikamwambia toka umepanda bus kukaa hapa nahisi moyo kwenda mbiyo akacheeeeka halafu nikamwambia halafu hiyo sauti ni tamu balaa ile ya wema sepetu haisogelei na nadhani ndiyo inayoniletea shida akachekaa basi kukawa kimya maana hakuwa anajibu chochote.

Nikawa naibia kumcheki nae anaibia hivyo hivyo nkaona huyu ngoja nimuonyeshe. Nilikuwa na jacket kubwa nikailaza mapajani mwangu nikaisambaza hadi miguu mwake. Nikatuliaa naipigia tyming mikono yangu iguse mapaja yake. Nikaeenda mpaka moyp unadunda nikajisema nikapeleka mkono mapajani nikamwambia samahani kama nakuumiza wakati huo nimeuficha mkono watu wasione tabia yangu aisee akajibu hapana. Baadae nikaaanza kumpapasa paja lake eneo la magoti akawa ananiangalia na kuona aibu flani hivi.

Nikaendelea akawa anausogeza mguu nikamwambia samahani. Nikaacha kwa muda flani hivi baadae nikarudia zoezi naona this time akaniachia nikawa nasogeza mkono kuelekea ikulu katulia tu.

Tuliendelea kupiga story hapa na pale kufika babati akasema anasikia njaa hivyo nifungue dirisha anunue kitu mimi huwa sipendelea kula njiani hadi nifike nitafute hoteli nipate kula bu nilinunua crips mbili tukala baadae mimi nikamuuliza unapokwenda watakuja kukupokea akajibu hapana naends tu mwenyewe nikamwambia basi tukifika naomba tutafute sehemu faragha tupate chakula huku mkono unaendelea na ile kazi yake akatabasamu tu huku akiangalia kwa jicho la aibu nikamkazia macho nikamwambia tutapata chukula.

Tukafika mjini bwana tumeshinda nikamwambia tuende wapi akasema wewe tu nikasema leo nakulaaaaa. Tukatafuta sehemu tukaita msosi wa nguvu huku tukipiga story ya maisha kimsingi ni msomi wa bachelor na anaenda interview.. nikamuita mhudumu nikamuuliza guest ipo wapi hapa akanionyesha tukamaliza kula tukaondoka haooo hadi guest.

Nikalipia chumba na mabegi yetu kama wanafamilia na wala sikuuliza kwamba ni short time nikalipia elfu 15 tukazama ndani nikarudi kwa mhudumu nikaomba mpira. dah kadema katamu balaa kitu ni tight mbaya nilipitisha kidole kitu ipo tight kidole hakiingii sijui anaibana? Niliinjoy zile pis tatu nilizitendea haki kabisa.

Tukamaliza tukaoga tukatoka nikampa buku 10 ya boda akasepa nami nikasepa japo tukibadilishana namba kwa ajili ya salamu wakati mwingine.
Ndiyo hivyo wakuu
Chai
 
Nilivyokula Tunda Kimasihara na Kuambulia Kipigo cha Mbwa Koko huko Nairobi


Mwaka 2012 nilijiunga na chuo kikuu kimoja nchini Kenya, ikiwa ni baada ya kukosa course niliyoazimia kusoma katika vyuo vya hapa ndani.

Hii ilikuwa mara ya kwanza kutoka nje ya nchi, na wonderful enough nilisafiri kuelekea jijini Nairobi peke yangu nikiongozwa na instincts za kibaharia. Ubaharia wangu unatokana na kusoma shule za boarding toka darasa la nne! Tena shule zenyewe mbali haswa na nyumbani; anyway story for another day.

Nilifika Nairobi jioni ya saa 12 na kuchukua taxi kuelekea eneo chuo kilipo. Nilipowasili nikapokelewa vizuri na wanachuo wenzangu wa higher levels (orientation crew) kwa ajili ya udahili na taratibu nyingine za usajili. Baada ya hapo tukaelekea dining hall for dinner.

Kesho yake asubuhi tukaamka mapema kujiandaa na siku ya pili ya orientation program. Generally, ukifika chuo especially privately owned, chenye hadhi ya kimataifa, haya ni mambo ya kawaida haswa kwa wanafunzi wanaotoka nchi tofauti.

Tuliendelea na orientation kwa wiki nzima, na baada ya hapo nikaanza kuona watu wanaongezeka kwa kasi ya ajabu, kumbe sisi tulipaswa ku-report wiki moja kabla ya wanachuo wazoefu ili kujua mambo mbalimbali kuhusu chuo ikiwemo sheria, taratibu, mifumo, mazingira na utamaduni wa chuo hicho na nchi kwa ujumla.

Ilikuwa siku ya Jumanne mishale ya saa sita na nusu mchana (ndio ulikua wakati wa kwenda dining hall kwa ajili ya lunch). Na kawaida ukifika dining unakuta mstari wa wanafunzi wenzako, unaunga kuelekea kwenye meza za chakula kwa ajili ya kuserve.

Nilipanga mstari nikiwa tayari nimeshaanza kupata washkaji, nikiwa na mwanangu mmoja (Mkenya) tunapiga story za hapa na pale. Wakati tunaendelea kusonga, nikamuona binti mmoja mdogo mdogo mzuri kweli. Alikuwa akitoka kuashiria ameshamaliza kula anaelekea darasa la mchana. Nilimuangalia toka anasimama kwenye meza yake mpaka akiwa anakaribia mlangoni, kumbe naye ali-notice. (Utajua badae)

Basi mshkaji akaniuliza mbona umemuangalia sana huyo manzi? Umemuelewa nini? Tukacheka, yakapita tukachukua chakula tukakaa kula na kuondoka. Jioni ya siku hiyo hiyo nikawahi kwenda dining kwa sababu nilikua sipendi kukaa muda mrefu kwenye mstari wa chakula na uzuri chakula huwa tayari kuanzia saa 12 kamili jioni.

Wakati naingia tu dining hall, nikaona watu wawili mbele kabisa wakiwa wanapakuliwa, na jinsi walivyo ilikua dhahiri ni wapenzi. Walitaniana, wakashikana mikono, huku wakibebeana chakula kuelekea mezani. Sikutilia maanani sana kwa sababu chuoni nilikua naelewa hayo mambo ya kawaida sana.

Nilipigwa butwaa baada kuchukua chakula, napita kuelekea mezani na kugundua kumbe yule manzi niliyemuona mchana, ndio huyu huyu namuona hapa na jamaa wanakula pamoja. Nikajisemea anyways, it's life. Nikala nikaondoka zangu.

Baada ya kama wiki mbili tatu nikagundua kuna genaral course natakiwa kuanza kuhudhuria kwa sababu lecturer amerudi. Ilikua Ijumaa mchana natoka dining kuelekea lecture room, nikiwa na rafiki yangu mmoja wa kike Mtanzania mwenzangu tunawahi class. Kwa mbali namuona tena yule binti wa dining hall, kwa mara nyingine. Coincidence Hizi!. Wakati tunapishana naye, akamsimamisha yule dada nilikua naye na kuanza kuongea naye. Mi nikaendelea mbele kidogo huku nikiwa nimepumguza mwendo kumsubiri bestie yangu.

Basi wakaagana kama baada ya dakika na sekunde kadhaa, tukaendelea na safari yetu kuelekea class. Tukiwa njiani nikamuuliza unamfahamu huyo dada tuliyepishana naye? Akajibu ndio, nilikua naye group moja la discussion last semester. Nikamuuliza Jina akanitajia, na safari ikaendelea.

Nimefika class tumekaa tunasubiri pindi lianze, ikaingia meseji kwenye simu yangu, number ngeni. "Hi, It's Jessy... Judy's friend. She gave me your number. Hope you won't mind. Have a nice class."
Mmmmh nikajisemea kimzaha tu, ila sikujibu ile meseji wakati ule. Lecturer akaingia, piga pindi pale kama saa mbili na nusu, tukachomoka. Nikaenda zangu hostel. Hostel zetu zilikua nje kabisa ya premises za chuo, so we're free after class. Kufika nikamjibu ile meseji. "Hi Jessy. Sorry for late reply, I had a nice class, I'm out now. Thanks for the wishes".

Akaja kujibu jioni kabisa. Tukachati kidogo jioni ile, akaniambia leo haendi kula dining hall, kama sitojali niagize pizza aje tule wote. Nikajisemea Woyooooo mambo si haya sasa. Bila hiyana, nikamwambia limepita hilo. Kweli mida mida nikaagiza pizza (sio hizi za Pizza Hut au Chicen Inn, kuna mwamba mmoja nje ya chuo alikua na fast food restaurant yake local ina aina zote za vyakula vya kisasa ila kwa bei ya wanafunzi).

Nikajitutumua nikanunua pizza ya Kshs 500, kwa kipindi hicho hiyo ilikuwa kama Tshs 8,500 hivi. Na soda mbili. Nikatuma meseji, pizza imekuja, nikatuma na jina la hostel na number ya chumba. Hapo nimepiga maji, unyunyu wangu wa mchongo, kitanda kisafi, ghetto murua kabisa. Nikakaa naangalia movie mdogo mdogo kwenye laptop.

Baada ya kama nusu saa hivi, nasikia mlango unagongwa. Fungua, mtoto huyu hapa. Tukasalimiana vizuri sasa ile face to face. Tukapiga story mbili tatu, nikatenga Pizza mezani tukaanza kula. Tumekula tukamaliza, tukaendelea na story. Tukaanza kuongelea movies, hapo sasa ndio nikajua weakness yake. Movies. Sikupoteza hata sekunde, nikachagua movie tukaanza kuangalia.

Sasa hizi hostel za wanafunzi zilivyokuwa designed ni for one person only. Kitanda ni 4/6, kuna kiti kimoja, meza moja ya kusomea, kasehemu kajiko, sinki halafu kwa pembeni kuna mlango wa kuingia washroom (self-contained).
Kwa hiyo wakati wote huo tunaangalia movie, tulikua tumekaa kitandani.

Mida ikaenda, bado yupo. Sikutaka kuuliza maswali mengi, nikazima taa, vua pensi na t-shirt. Nikamwambia na hii baridi si tujifunike blanketi tu? Hakubisha maana kweli kulikua na baridi, na saa izo ni saa tano kasoro. Ukweli kilichoendelea sina haja kuelelezea, kila mtu anajua.

Baada ya show, mida ya saa saba nikamsihi alale, akasema siku nyingine leo nimsindikize tu. Basi nikaamka nikamsindikiza hadi karibu na kwake. Sio mbali sana, just approximately 5 minutes walk. Nikarudi kwangu, nakuta texts nyingi za sifa. Akaniambia notion kuhusu obsession ya wanawake wa Kenya kuhusu wanaume wa kitanzania, huku akikiri kuthibitisha hilo. Nikapokea maua yangu nikalala.

Asubuhi naamshwa na meseji yake. Ni kama tayari alikua manzi yangu sasa. Nikajisemea moyoni kama wote ni hivi si ntafia huku mimi? Nikajichekea nikaamka kujiandaa na ratiba ya siku. Hakukua na masomo kwa sababu ilikua Jumamosi. Mida ya saa tano asubuhi akaniuliza kama nipo, nikamwambia nipo library chuo, kuna assignment namalizia. Akasema nikirudi nimjuze na nisile popote, amepika.

Saa sita mchana nikarudi, hata sikumaliza assignment, nikajisemea kesho pia ni siku. Nikamwambia aje, nusu saa huyu hapa na container za chakula. Tukala hapo, tukashiba. Ugonjwa wake ni ule ule, movies. Uzuri nilikua naangalia sana movies nilipomaliza form six. Nilikua na almost 500 GB HDD imejaa movies na series tu, hapo acha zilizoko kwenye laptop.

Ukweli hata movie haikumaliza opening credits (yale majina ya mwanzo kabisa movie inapoanza kama Directors, Producers, Starring etc.) tulikua tayari mbingu ya saba. Movie inaendelea huku, na sisi tunaendelea na yetu. Piga show nyingine ya kibabe mno mchana huu. Tukalala hadi jioni kabisa mida ya saa 12. Tukaamka akaenda kuoga, kajiandaa akarudi kwake.

Mi nikabaki zangu naangalia movie. Mida ya saa tatu, nashangaa mlango unagongwa. Nikasita kufungua, maana sikua nategemea mgeni yoyote usiku ule. Ukaendelea kugongwa tena. Nikasimama kufungua, ile nimefungua tu, nikapokelewa na bonge moja la kibao. Nikakaa kwenye kiti nikiwa na wenge.

Wakaingia jamaa wawili, mmoja kapanda hewani mwingine saizi yangu japo ana mwili kuniliko. Kabla sijaongea chochote wakanikalisha chini kwa nguvu, sijakaa sawa nikapigwa teke la mbavu. Hapo sasa uzalendo ukanishinda, nikataka nianze kupiga kelele kwa sababu ukweli nilikua nimezidiwa.

Kabla sijafanya chochote, wakaniuliza swali moja tu na hapo nikajua nilipoyatimba.
"We ulicome Kenya kut*mba madem zetu ama kusoma msee?"
Nikakumbuka huyu ni yule jamaa nilimuona na Jessy kule dining hall wiki iliyopita. Akaniuliza tena na kibao juu, "Unajua Jessy ni dem yangu?" Kabla sijajibu mwenzake ngumi ya kichwa, huku anamshauri wakanireport kwa Dean of students nifunzwe adabu. Mwenzake anamwambia "wacha kwanza sisi tufunze adabu ghasia hii".

Wadau, nilichezea kichapo sio cha nchi hii, literally . Baada ya yote wakachukua simu yangu wakaniambia nitoe nywila (password), kinyonge nikatoa. Wakapitia meseji zote nilizochati na mrembo. Makosa. Wakafuta kila kitu hadi number ya Jessy, wakanionya siku wakasikia tena nimetoka naye, itakua mwisho wangu. Wakaondoka.

Aaaaaah nikapumua pumzi ndefu sana!. A sigh of relief. Nikakaa pale chini karibu nusu saa, natafakari. Wiki ya tatu tu hapa, nimeshaanza kutoka ngeu ntatoboa miaka minne kweli? Sikutaka hata kutoka nje, nikazima taa, simu, laptop yaani kila kitu nikajifunika. Nikajaribu kulala.

Sikulala usiku kucha, wasiwasi, nipo nchi ya watu, jamaa wanajua hadi kwangu, wakija usiku wa manane wanivunjie mlango wanipige beto?

Nikaamka mapema sana Jumapili, nikajiangalia kwenye kioo, sikuwa nimevimba sana, na uzuri nilikua na miwani na kofia. Nikatoka huyo mpaka chuo, nikakaa library hadi saa nne. Simu bado iko off. Nikaiwasha, meseji ya kwanza "Good morning babe", nilichoka mwili, nafsi na roho kwa sababu zilikuwa number za Jessy. Kumbe jamaa walifuta tu hawakublock.

Sijakaa sawa, simu yake inaingia. Nikajishauri, nipokee au nisipokee. Nikapiga moyo konde, nikapokea. Akawa anashangaa mbona sikua hewani tokea jana usiku hadi asubuhi ile.
Nikafunguka kila kitu kilichotokea usiku wa kuamkia siku hiyo baada ya yeye kuondoka.

Ukweli kabisa, yule binti alikasirika na kuhuzunika mno. Akaniambia tukutane nje ya geti la chuo tuka-report polisi yule jamaa akamatwe. Sikutilia maanani ushauri wake kwa sababu sikutaka mambo yawe mengi, mtu niko nchi ya watu huko nianze kusumbuana na polisi. Nikapotezea. Ila nikamwambia sikuwa tayari kuendelea naye tena.

Bado story ni ndefu ila nimechoka kuandika leo. Ngoja nivute pumzi.
chai
 
Nilitomba demu ofisin kimasihara, ilikuwa 2019.. Dem amenikuta ofisin kutafuta mahali nikamwonesha Kwa kumsindikiza ..nimempeleka mpaka alikokuwa anapataka.. nikarud tukaongea kidogo.. akaacha vitu vyake ofisin.. akaja viridia siku nyingine. Amevirudia AKAENDA zake.. Kuna siku akja kunipa hai... Tukaongea AKAENDA zake... Akaja Rudi tena next day.. siku hiyo ANATAKA nimpakate.. bila hiyana nikaona mbona kama joto lake lipo juu... Nikampekeka chemba Fulani maana ofis ilikuwa Ina sehem nyingi.. nilaza kirago fulani hivi nikamla.. **** ndogo ya moto hatari nikapiga viwili nikampekeka washroom .. alinipenda Bure huyu demu nilikuwa na mambo yangu ANATAKA abebe mimba yangu . Wanawake wakiwa na nyege wanasumbua sana
 
Unexpected sex haijawahi kutokea. Siwezi kufanya na mtu ambaye hata sikuwa na mawazo naye. Na kama ikitokea basi lazima huyo mtu nilikuwa namtamani long time...kama ambavyo namtamani mtu fudenge now!;););)
Mwanaume unatumia neno "Fundenge"! marijali tumebaki wachache sana.
 
INAENDELEA...

Aling'ang'ana mno kunipigania kwa sababu alijua sikua na hatia, na alificha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine, japo nilim-comfront mapema kabla ya chochote. Alijitetea kwamba walikua wamezinguana, hivyo alikua free kuwa na yeyote. Ilibidi niamini kwa sababu hata mimi nisingependa kukosa ule utamu.

Swali lilibaki kichwani ni Je, huyu mwamba alijuaje nakula pisi yake na tulikua very private? Mara zote alipokuja nafunga mlango, tunakaa ndani siku nzima, maana nilikua naandaa kila kitu mapema ili tusiwe na bughudha tukiwa kwenye tukio.

Nikamuuliza tena, hivi mwana alijuaje hadi nyumba nayoishi? At least ningeelewa kama tungekutana barabarani akaanza vita, ila lile jambo la kuibuka hadi geto lilinitatiza sana.
Muda ukaenda, mchana nikapigiwa simu na number ngeni ikinisihi nifike kituo cha polisi maeneo ya karibu na chuo. Kulikua na kituo kidogo cha polisi nje kidogo ya premises za chuo.

Ikabidi nimpigie Jessy haraka na kumuuliza kama ni yeye amepeleka taarifa zile polisi kwani nimeitwa muda si mrefu. Akaniambia we nenda, usiogope utakuta ujumbe wako. Nikajiuliza mengi mno, la kwanza kwanini Jessy kaamua kulikuza hili jambo na wakati nimemwambia fika kwamba sihitaji tafrani na mtu haswa kuanza kufikishana kwenye vyombo vya dola? Mimi ni mgeni nchi ya watu, sina hata wa kuniwekea dhamana in case of anything, kwanini hivi?

Basi bila hiyana nikatoka maktaba nikapitia geto kuchukua passport yangu na student ID nikaenda kituoni. Kufika tu wa kwanza kumuona ni Jessy!!!... Nikakosa amani kwa sababu ni mtu wa mwisho nilikua nategemea kumuona pale. Sikuwa namchukia kwa namna yoyote, kwa sababu nilijua jamaa kufanya vile ni ego ya kuwa mwananchi na ubabe tu wa kiume. Nilielewa sababu baadae.

Nikaingia tukasalimiana na officers na kuanza mahojiano. Nikaandika maelezo yangu japo niliomba haya mambo yasiende mbele kwenye uongozi wa chuo kwa sababu huwa yana adhabu zake zenye athari hasi kwenye maendeleo ya taaluma na nidhamu. Wakaniambia huyu bwana akikamatwa afanywe nini? Ukweli sikua na cha kusema, ukizingatia bado pia nilikua mdogo na uoga wa nchi mpya, nikawaambia mi nimemsamehe.

Wakaniambia watampa onyo kali na akirudia watamtia rumande. Tukamaliza pale tukaacha "kitu kidogo" (kama kawaida haya mambo nchi zetu yapo sana), tukaaga na kuondoka na Jessy. Tukawa tunaongozana huku sina kabisa story naye. Sikutaka mambo mengi, nikamwambia mi narudi zangu maktaba kumalizia assignment yangu. Kabla ya kuondoka akaniomba sana tuongee hata kwa dakika tano tu. Nikamwambia tutaongea jioni nikitoka maktaba.

Jioni kweli akanipigia, nikajaribu namna zote kumkwepa lakini alinisisitiza mno nikaona bora nimsikilize tu nijue anachotaka. Nikamuita maeneo ya karibu na maktaba akaja tukaanza kuzungumza. Swali langu la kwanza lilikua kwanini hukuniambia una mtu? Tena "violent boyfriend" namna ile? Kwanini unidanganye na kuhatarisha maisha yangu namna ile?

"Ni venye hujui tu Jimmy, I wish you knew how much detest that guy. Unajua mara ngapi ameniweka kwa ngori ka izi? Hii si mara ya kwanza ana-claim ati mi ni manzi yake". Akaendelea "Jimmy we mwanaume fiti sana, sikua tayari nikae nione mtu anakuchapa juu yangu na nikae tu ivo, no way. I've known you for few days but I feel I belong with you more than with him."

Nikamuuliza lakini si mtu wako? Akajibu "Ndio 'alikua' chali yangu sema sai ni kama tuko break kiasi ili ajisort juu ni mlevi na hakai anaeza change anytime soon." Sasa una mpango gani? Nikamuuliza. Akajibu "Kwanza huyu ni mtu nimejua for like 3 years now, tunatoka side moja huko Nax (Nakuru) na tumekuja chuo tukapatana hapa last semester, but honestly sina kitu ingine nataka na huyo mtu tena. Story yetu ni ka imeisha."

Tukaongea mambo mengi mno, na la mwisho nikamuuliza nani kampa taarifa za nnapoishi? Na alijuaje kwamba we're having 'a thing'?
"Huyo mtu kwao wako na doh, unajua ile doh fiti kiasi kwamba hapa chuo ako na mbogi (marafiki/washkaji) ye huwanunulia tei (pombe). Hata beshte yake moja anakaa kwa hio hostel yenye unaishi, namjua anaitwa Kevo. Huyo ndo alichoma, juu kuna siku nilipatana naye kwa gate nikitoka kwako."

Ohoo hapo sasa ndio nikaelewa kumbe snitch wangu aliyepeleka haya maneno ni jirani kabisa yuko upande wa pili wa korido ya hostel nayoishi. Nikakumbuka kuna siku nimekutana na mtu nje ananiangalia sana, mi sikutilia maanani kwa sababu sikuwa na kasoro yoyote, nikajua ni kawaida tu mtu kushangaa.

Wadau yule binti alifungua moyo wote siku ile, kwa mara ya pili kwenye maisha yangu "nikatongozwa na demu" . Najua sio kawaida ila ilishanitokea tena kabla ya kuanza chuo. Kwa namna nilivyomjua kwa kipindi kifupi tulichokaa pamoja, ukweli yule binti alinielewa na mimi hivyo hivyo. So the feelings were "mutual". Tukakubaliana sasa amchane jamaa live bila chenga, tena mbele yangu ili tujue kweli ile "situationship" yao imeishaaa.

Kabla ya kumaliza, akapigiwa simu na jamaa tukiwa pale pale, nikamwambia pokea tusikie anasemaje. Akapokea wakaanza kuongea:

Jessy: Sasa?
Jamaa: Fiti sana, uko?
Jessy: We sema chenye unataka.
Jamaa: Ni kama ulireport stenje (polisi) juu ya story ya Mtz? Ama si wewe?
Jessy: Si ndio, ama ulijua utachapa msee na you get away with it?
Jamaa: As in ni nini hu-get? Si nilikushow u-come kwa hao we sort this?
Jessy: Mi na wewe story yetu iliisha, na sina kitu nadai na wewe. I told you several times na kuonesha I moved on, lakini sijui nini mbaya na wewe hutaka kushikanisha.
Jamaa: We unajua unapenda kuongea mbaya but nikiambia matha ako anaweza kasirika mbaya?
Jessy: Hahahaha daamn kwani hajui?
Jamaa: Nakusubiri kwa nyumba.
Jessy: Utoke kwa nyumba yangu na kifunguo uachie caretaker ama nichange locks.
Jamaa: Fiti.

Conversation ikawa imeisha hivyo, mbele yangu. Short and sweet. Kwa akili ya kawaida tu, kama we ni mwanaume unajua kabisaaa hapa sina changu .
Kweli nikaamini hapo mambo yalikua yameiva. Nilijisikia faraja kwa sababu alimkana jamaa mbele yangu nikiwa nasikia, na hata kwenye simu alikua amesave jina tu kuonesha kama ni mtu wa kawaida tu kama wengine. Nikamuuliza kumbe mlikua mnajulikana hadi nyumbani? Akasema ndio, aliwahi kumtambulisha kwa mama yake, walipokutana kwenye hafla moja huko kwao.

Na kuhusu funguo? Akasema alimpa spare in case amepoteza, au amesahau kitu, actually hata yeye alikua na spare key ya nyumba ya jamaa, ila alikua ameshakabidhi kwa caretaker wa nyumba.

Wadau hapo nikadhani kwamba mambo yameisha sasa, kumbeee ndio kwanza yanaanza. That guy was a psychopath, yaani alikuwa mwendawazimu kabisa tena akilewa.

Ngoja nivute pumzi tena, badae naendelea.
Kupenda kubaya hata simshangai huyo mwana
 
Nilitomba demu ofisin kimasihara, ilikuwa 2019.. Dem amenikuta ofisin kutafuta mahali nikamwonesha Kwa kumsindikiza ..nimempeleka mpaka alikokuwa anapataka.. nikarud tukaongea kidogo.. akaacha vitu vyake ofisin.. akaja viridia siku nyingine. Amevirudia AKAENDA zake.. Kuna siku akja kunipa hai... Tukaongea AKAENDA zake... Akaja Rudi tena next day.. siku hiyo ANATAKA nimpakate.. bila hiyana nikaona mbona kama joto lake lipo juu... Nikampekeka chemba Fulani maana ofis ilikuwa Ina sehem nyingi.. nilaza kirago fulani hivi nikamla.. **** ndogo ya moto hatari nikapiga viwili nikampekeka washroom .. alinipenda Bure huyu demu nilikuwa na mambo yangu ANATAKA abebe mimba yangu . Wanawake wakiwa na nyege wanasumbua sana
Oyaa ulikuala na mtandao pendwa? 0712???
 
Nilitomba demu ofisin kimasihara, ilikuwa 2019.. Dem amenikuta ofisin kutafuta mahali nikamwonesha Kwa kumsindikiza ..nimempeleka mpaka alikokuwa anapataka.. nikarud tukaongea kidogo.. akaacha vitu vyake ofisin.. akaja viridia siku nyingine. Amevirudia AKAENDA zake.. Kuna siku akja kunipa hai... Tukaongea AKAENDA zake... Akaja Rudi tena next day.. siku hiyo ANATAKA nimpakate.. bila hiyana nikaona mbona kama joto lake lipo juu... Nikampekeka chemba Fulani maana ofis ilikuwa Ina sehem nyingi.. nilaza kirago fulani hivi nikamla.. **** ndogo ya moto hatari nikapiga viwili nikampekeka washroom .. alinipenda Bure huyu demu nilikuwa na mambo yangu ANATAKA abebe mimba yangu . Wanawake wakiwa na nyege wanasumbua sana
Chai
 
INAENDELEA...

Aling'ang'ana mno kunipigania kwa sababu alijua sikua na hatia, na alificha kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwingine, japo nilim-comfront mapema kabla ya chochote. Alijitetea kwamba walikua wamezinguana, hivyo alikua free kuwa na yeyote. Ilibidi niamini kwa sababu hata mimi nisingependa kukosa ule utamu.

Swali lilibaki kichwani ni Je, huyu mwamba alijuaje nakula pisi yake na tulikua very private? Mara zote alipokuja nafunga mlango, tunakaa ndani siku nzima, maana nilikua naandaa kila kitu mapema ili tusiwe na bughudha tukiwa kwenye tukio.

Nikamuuliza tena, hivi mwana alijuaje hadi nyumba nayoishi? At least ningeelewa kama tungekutana barabarani akaanza vita, ila lile jambo la kuibuka hadi geto lilinitatiza sana.
Muda ukaenda, mchana nikapigiwa simu na number ngeni ikinisihi nifike kituo cha polisi maeneo ya karibu na chuo. Kulikua na kituo kidogo cha polisi nje kidogo ya premises za chuo.

Ikabidi nimpigie Jessy haraka na kumuuliza kama ni yeye amepeleka taarifa zile polisi kwani nimeitwa muda si mrefu. Akaniambia we nenda, usiogope utakuta ujumbe wako. Nikajiuliza mengi mno, la kwanza kwanini Jessy kaamua kulikuza hili jambo na wakati nimemwambia fika kwamba sihitaji tafrani na mtu haswa kuanza kufikishana kwenye vyombo vya dola? Mimi ni mgeni nchi ya watu, sina hata wa kuniwekea dhamana in case of anything, kwanini hivi?

Basi bila hiyana nikatoka maktaba nikapitia geto kuchukua passport yangu na student ID nikaenda kituoni. Kufika tu wa kwanza kumuona ni Jessy!!!... Nikakosa amani kwa sababu ni mtu wa mwisho nilikua nategemea kumuona pale. Sikuwa namchukia kwa namna yoyote, kwa sababu nilijua jamaa kufanya vile ni ego ya kuwa mwananchi na ubabe tu wa kiume. Nilielewa sababu baadae.

Nikaingia tukasalimiana na officers na kuanza mahojiano. Nikaandika maelezo yangu japo niliomba haya mambo yasiende mbele kwenye uongozi wa chuo kwa sababu huwa yana adhabu zake zenye athari hasi kwenye maendeleo ya taaluma na nidhamu. Wakaniambia huyu bwana akikamatwa afanywe nini? Ukweli sikua na cha kusema, ukizingatia bado pia nilikua mdogo na uoga wa nchi mpya, nikawaambia mi nimemsamehe.

Wakaniambia watampa onyo kali na akirudia watamtia rumande. Tukamaliza pale tukaacha "kitu kidogo" (kama kawaida haya mambo nchi zetu yapo sana), tukaaga na kuondoka na Jessy. Tukawa tunaongozana huku sina kabisa story naye. Sikutaka mambo mengi, nikamwambia mi narudi zangu maktaba kumalizia assignment yangu. Kabla ya kuondoka akaniomba sana tuongee hata kwa dakika tano tu. Nikamwambia tutaongea jioni nikitoka maktaba.

Jioni kweli akanipigia, nikajaribu namna zote kumkwepa lakini alinisisitiza mno nikaona bora nimsikilize tu nijue anachotaka. Nikamuita maeneo ya karibu na maktaba akaja tukaanza kuzungumza. Swali langu la kwanza lilikua kwanini hukuniambia una mtu? Tena "violent boyfriend" namna ile? Kwanini unidanganye na kuhatarisha maisha yangu namna ile?

"Ni venye hujui tu Jimmy, I wish you knew how much detest that guy. Unajua mara ngapi ameniweka kwa ngori ka izi? Hii si mara ya kwanza ana-claim ati mi ni manzi yake". Akaendelea "Jimmy we mwanaume fiti sana, sikua tayari nikae nione mtu anakuchapa juu yangu na nikae tu ivo, no way. I've known you for few days but I feel I belong with you more than with him."

Nikamuuliza lakini si mtu wako? Akajibu "Ndio 'alikua' chali yangu sema sai ni kama tuko break kiasi ili ajisort juu ni mlevi na hakai anaeza change anytime soon." Sasa una mpango gani? Nikamuuliza. Akajibu "Kwanza huyu ni mtu nimejua for like 3 years now, tunatoka side moja huko Nax (Nakuru) na tumekuja chuo tukapatana hapa last semester, but honestly sina kitu ingine nataka na huyo mtu tena. Story yetu ni ka imeisha."

Tukaongea mambo mengi mno, na la mwisho nikamuuliza nani kampa taarifa za nnapoishi? Na alijuaje kwamba we're having 'a thing'?
"Huyo mtu kwao wako na doh, unajua ile doh fiti kiasi kwamba hapa chuo ako na mbogi (marafiki/washkaji) ye huwanunulia tei (pombe). Hata beshte yake moja anakaa kwa hio hostel yenye unaishi, namjua anaitwa Kevo. Huyo ndo alichoma, juu kuna siku nilipatana naye kwa gate nikitoka kwako."

Ohoo hapo sasa ndio nikaelewa kumbe snitch wangu aliyepeleka haya maneno ni jirani kabisa yuko upande wa pili wa korido ya hostel nayoishi. Nikakumbuka kuna siku nimekutana na mtu nje ananiangalia sana, mi sikutilia maanani kwa sababu sikuwa na kasoro yoyote, nikajua ni kawaida tu mtu kushangaa.

Wadau yule binti alifungua moyo wote siku ile, kwa mara ya pili kwenye maisha yangu "nikatongozwa na demu" . Najua sio kawaida ila ilishanitokea tena kabla ya kuanza chuo. Kwa namna nilivyomjua kwa kipindi kifupi tulichokaa pamoja, ukweli yule binti alinielewa na mimi hivyo hivyo. So the feelings were "mutual". Tukakubaliana sasa amchane jamaa live bila chenga, tena mbele yangu ili tujue kweli ile "situationship" yao imeishaaa.

Kabla ya kumaliza, akapigiwa simu na jamaa tukiwa pale pale, nikamwambia pokea tusikie anasemaje. Akapokea wakaanza kuongea:

Jessy: Sasa?
Jamaa: Fiti sana, uko?
Jessy: We sema chenye unataka.
Jamaa: Ni kama ulireport stenje (polisi) juu ya story ya Mtz? Ama si wewe?
Jessy: Si ndio, ama ulijua utachapa msee na you get away with it?
Jamaa: As in ni nini hu-get? Si nilikushow u-come kwa hao we sort this?
Jessy: Mi na wewe story yetu iliisha, na sina kitu nadai na wewe. I told you several times na kuonesha I moved on, lakini sijui nini mbaya na wewe hutaka kushikanisha.
Jamaa: We unajua unapenda kuongea mbaya but nikiambia matha ako anaweza kasirika mbaya?
Jessy: Hahahaha daamn kwani hajui?
Jamaa: Nakusubiri kwa nyumba.
Jessy: Utoke kwa nyumba yangu na kifunguo uachie caretaker ama nichange locks.
Jamaa: Fiti.

Conversation ikawa imeisha hivyo, mbele yangu. Short and sweet. Kwa akili ya kawaida tu, kama we ni mwanaume unajua kabisaaa hapa sina changu .
Kweli nikaamini hapo mambo yalikua yameiva. Nilijisikia faraja kwa sababu alimkana jamaa mbele yangu nikiwa nasikia, na hata kwenye simu alikua amesave jina tu kuonesha kama ni mtu wa kawaida tu kama wengine. Nikamuuliza kumbe mlikua mnajulikana hadi nyumbani? Akasema ndio, aliwahi kumtambulisha kwa mama yake, walipokutana kwenye hafla moja huko kwao.

Na kuhusu funguo? Akasema alimpa spare in case amepoteza, au amesahau kitu, actually hata yeye alikua na spare key ya nyumba ya jamaa, ila alikua ameshakabidhi kwa caretaker wa nyumba.

Wadau hapo nikadhani kwamba mambo yameisha sasa, kumbeee ndio kwanza yanaanza. That guy was a psychopath, yaani alikuwa mwendawazimu kabisa tena akilewa.

Ngoja nivute pumzi tena, badae naendelea.
Mwendelezo mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom