Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,458
- 21,176
ChaiWakuu leo nimeamini kuwa masihara yapo.
Leo nilisafiri kutoka Nzega kwenda Arusha safari nikanzia pale na bus halikuwa na watu hivyo viti vingi vilikuwa wazi. Basi bwana tukafika igunga wakapanda abiria demu mmoja mkaali akaja kukaa kwangu nikajisemea yes safari imekuwa njema sana.
Nikawa najiuliza nianzie wapi mbali na salamu maana tulisalimiana wakati huo akapanda wale wauza vitu vitu akawa anamfahamu yule dem, wanaongea hapa na pale sasa muuzaji akawa ananadi kwa kuisifu sugua gaga kwamba inaondoa mikosi na ina liwaza bafuni.
Nikamuuliza dem hayo kuna ukweli ebwanae tukaanza mazungumzo yetu na nikanunua kashata flani nikampea akapokea nikasema leo nitakula kimasihara maana safari bado ni ndefu ebwana hata singida hajafika akaniambia nashuka hapo nikajisemea acha ashuke wala namba yake sitaki.
Mbele kidogo akapanda jamaa tukaa nae jamaa nunda kweli kweli nikasema poa twende tu ila nae alienda kushuka nikabaki tena peke yangu.
Tukafika Katesh kuna binti kama 28yrs hivi mweupeee akaja kukaa kwangu tukasalimiana fresh. Akawa anapiga simu nini na nini ana kasauti katamu balaa. Walai roho ikawa inadunda dunda tu. Nikawa najiuliza tena nianzie wapi.
Baadae nikajilipua nikamwambia samahani wewe ni mtu wa kawaida? Akasema kwanini? Nikamwambia toka umepanda bus kukaa hapa nahisi moyo kwenda mbiyo akacheeeeka halafu nikamwambia halafu hiyo sauti ni tamu balaa ile ya wema sepetu haisogelei na nadhani ndiyo inayoniletea shida akachekaa basi kukawa kimya maana hakuwa anajibu chochote.
Nikawa naibia kumcheki nae anaibia hivyo hivyo nkaona huyu ngoja nimuonyeshe. Nilikuwa na jacket kubwa nikailaza mapajani mwangu nikaisambaza hadi miguu mwake. Nikatuliaa naipigia tyming mikono yangu iguse mapaja yake. Nikaeenda mpaka moyp unadunda nikajisema nikapeleka mkono mapajani nikamwambia samahani kama nakuumiza wakati huo nimeuficha mkono watu wasione tabia yangu aisee akajibu hapana. Baadae nikaaanza kumpapasa paja lake eneo la magoti akawa ananiangalia na kuona aibu flani hivi.
Nikaendelea akawa anausogeza mguu nikamwambia samahani. Nikaacha kwa muda flani hivi baadae nikarudia zoezi naona this time akaniachia nikawa nasogeza mkono kuelekea ikulu katulia tu.
Tuliendelea kupiga story hapa na pale kufika babati akasema anasikia njaa hivyo nifungue dirisha anunue kitu mimi huwa sipendelea kula njiani hadi nifike nitafute hoteli nipate kula bu nilinunua crips mbili tukala baadae mimi nikamuuliza unapokwenda watakuja kukupokea akajibu hapana naends tu mwenyewe nikamwambia basi tukifika naomba tutafute sehemu faragha tupate chakula huku mkono unaendelea na ile kazi yake akatabasamu tu huku akiangalia kwa jicho la aibu nikamkazia macho nikamwambia tutapata chukula.
Tukafika mjini bwana tumeshinda nikamwambia tuende wapi akasema wewe tu nikasema leo nakulaaaaa. Tukatafuta sehemu tukaita msosi wa nguvu huku tukipiga story ya maisha kimsingi ni msomi wa bachelor na anaenda interview.. nikamuita mhudumu nikamuuliza guest ipo wapi hapa akanionyesha tukamaliza kula tukaondoka haooo hadi guest.
Nikalipia chumba na mabegi yetu kama wanafamilia na wala sikuuliza kwamba ni short time nikalipia elfu 15 tukazama ndani nikarudi kwa mhudumu nikaomba mpira. dah kadema katamu balaa kitu ni tight mbaya nilipitisha kidole kitu ipo tight kidole hakiingii sijui anaibana? Niliinjoy zile pis tatu nilizitendea haki kabisa.
Tukamaliza tukaoga tukatoka nikampa buku 10 ya boda akasepa nami nikasepa japo tukibadilishana namba kwa ajili ya salamu wakati mwingine.
Ndiyo hivyo wakuu