mbususu kwa mfululizo mkuu, ungekata moto
Isingekuwa rahisi mkuu. Kumbuka yule wa kwanza nilipiga kamoja japo ka muda mrefu maana yeye alipiga viwili. Huyu wa pili nilipiga viwili, mida ya saa 10 nilipiga show ndefu. Tukapiga breki saa 11, tukarudia saa 12 na nusu kuelekea saa moja tukaja kumaliza saa 1 usiku. nikaagana naye kwa siku ile. Baada ya hapo meza ikapinduliwa rasmi
 
Wiki jana nipo kwenye gari natoka dar kwenda mbeya kwenye mishe kama kawaida kusaka ugali wa kila siku.
Gari imefika mafinga waliofika wakashuka wakupanda wakapanda, sasa bwana me nimekaa zangu upande wa konda dirishan, upande wa dereva opposite kwangu kuna seat mbili hazina mtu kakapanda katoto kazuri kamoja kakaniuliza hapa kuna mtu nikamwambia hamna mtu so kakakaa seat ya dirishan na seat nyingine ikawa haina mtu. Mimi nilikaa na dingi mmoja anakoroma kiroho mbaya nikawaza nkaona Mbeya bado mbali ngoja ntafute namna, na nishapata sababu ya kuhama hapa.
NAMNA NILIVYOHAMA

Nikisafirigi huwa huwa nakuwa na backpack na huwa naiweka kwenye draw opposite na mimi ili niweze kuiona everytime nikitupia macho juu sasa basi kwa mazingira yalokuwepo backpack yangu ilikuwa above ile seat alokaa yule mrembo.
Basi lilikuwa limesimama for sometimes, nikajilipua nikasimama nikachukua backpack yangu nikaiweka pemben ya seat alokaa yule mrembo then nikamwmbia naomba uniangalizie naenda nje onetime nikirud nakuja kukaa hapa, akasema okay..nikashuka onetime nikazuga kidogo nikarudi ndani nikachukua bag yangu nikaiweka tena the opposite side nikakaa pale na mrembo.



Sikutaka kumchelewesha nikamsemesha kwa kumsalimia Mambo, nilifanya hivi makusudi nilijua atanishangaa sababu tulisha salimiana mwanzo(this was my opener) and it worked , akashangaa then akasmile alafu akasema si tulishasalimiana, nikamwambia me huwa nasahau kama nimesalimia especially nikiwa nimesalimia mtoto mzuri kama wewe , nikampa mkono nikamwambia umependeza , akasema asante..the convo went on na nini then nkamuuliza unakaa mbeya au unaenda kutembea akasema kwao mafinga ila mbeya ni chuo so anaenda tu gheto kwake mara moja then anarud kwao, nikapumua kama mtu aliepata relief fulan , nkamwambia bora nimepata mwenyeji wangu Mbeya nikikosa lodge au hotel ya kukaa ntakuja kukaa kwako, akasema kwangu hapana ila kama lodge ntakuelekeza uende , me nikamwambia kuwa inabid unipeleke lodge then wewe utaenda kwako, akaubali katika story story kasinzia kwenye bega yangu nikaanza kumshikashika kiuno pale akawa kalegea gafla naona anampigia mtu ambae yupo mbeya akimpanga kuwa atafika mbeya saa moja wakati mbeya atafika saa kumi, kimoyomoyo nkasema yeees, maongezi yakaendelea pale tulivyofika igulusi akawa mwanamke wangu tayari tulivyofika mbeya nilikapasua ile mbaya saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake anaomba awahi, hapa do nikajua kumbe mwenye mali aliambiwa aende gheto la mwanamke akasafishe mwanamke anakuja na nadhani mwanamke alikuwa anapeleka pusy ikapasuliwe manake alikuwa na upwiru, saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us…TUENDELEE KUTAFUTA HELA SABABU BAJAJI NA CHAKULA NILIPASUKA MIMI NA SAIVI NIMEMWONGEZA HELA YA KUNUNUA SIMU MPYA….

Ulitumia ndomu, maana abiria wa mafinga hapo mhhh
 
Mkuu wanawake wa Dar wanambinu nyingi sana za kujiuza, unakuta demu yupo kwenye kituo cha dala dala kumbe mwenzako ndipo ofisi yake ilipo anasubiri aombwe namba, yani mji wa Dar una malaya wengi sana. Yani unaweza kuona demu pis kali sana kumbe anajiuza kwa bei cheee.
Kuna Mijimama huwa inajitembeza madukani Kariakoo asubuhi mpaka jioni,ukitongoza hukataliwi unaenda kulila muda huo huo *****
 
Wakuu...ma broo na ma sista...Kwanza poleni na majukumu ya Kila siku...

Kwa kuzingatia michango ya Wana jf member hapa...Kuna namna imenisaidia na kuweza kumla huyu demu siku ya Jana jumapili kwa maana ni siku pekee ya huyu mdada kuwa off kazini... Wazo kubwa nililolipata hapa jukwaani ni lile la kutenga bajeti ya kiasi Cha pesa ambacho Mimi nilitenga laki moja ...hii niliifanya ya kumhudumia shida zake ndogondogo kwa sababu nature yake ni kuomba vocha Sana na hela ya kula..bhasi kufika Jana huyu dada akajaa kwenye kumi na nane ...mwamba nikamaliza.

Sasa wakuu baada ya kumla niliaona si vibaya nikampa 50k Kama zawadi na kumjengea imani ili wakati mwingine arudi tena,Sasa wakuu hapo kumpa hio 50k nimekosea?swali hili naliuliza kwa maana sijajujua ninajenga au ninabomoa katika kumrekebisha tabia yake ya kuomba omba hela...

Lakini baada ya mizengwe ya wiki ya Kwanza kabisa Ile mpka nikalipia outing ya 74k,nilijifunza kutokana na michango ya Wana member humu Kuna vitabia nilimkemea na binti kweli aliviacha..vijitabia vyenyewe ni vilikuwa nipale anakuomba hela labda ten...halafu baada ya kutuma asemi asante au siku nzima anaponitafuta ni pale anapokuwa anauhitaji wa kula hayo machipsi yake na mavocha ...bhasi Mimi sikusita kumpigia na kumchana na kumuelimisha kuwa Mimi Kama mwanaume wako na kiongozi wako nataka aache hio tabia Mara moja na sipendezwi kabisa na tabia chafu hapo ikumbukwe ni bado hajaja ghetoni lakini aliweza kuobey hio Sheria na akawa ananipigia hata Kama Hana uhitaji...

Sasa wachangiaji nisiwachoshe Sana siku ya Jana nilivomalizana nae nikaona isiwe tatizo nikampeleka mpka mbezi...kufika mbezi ambako shoga yake yule wa mara ya Kwanza siku Ile alikuwa amekuja nae outing waliaahidiana nae wakutane hapo ili warudi kwa pamoja sababu wanakaa mtaa mmoja akawa amewahishwa na haraka zake...nikaona isiwe tatizo nikamwambia bhasi ntakupeleka mpka goba mpakani ili achukue bajaji aende kwao ..akasema sawa nikamrusha chap Ile tumefika tu ananiambia tena Sina hela ya kula,nikamuangalia nikasema kimoyomoyo huyu anamashetani Nini elfu hamsini nimempa na naul nilimpa 15k goba mpka kibamba ya kuja ameungaunga usafiri akabaki na chenchi ya kutosha tu kwa maana nililijua hilo alivokuwa anaenda kuoga baada ya show nilichukua simu yake nyuma ya kava ana elfu Saba. imebakia....nikajikausha sababu mi kiukweli nampenda nikatoa ten nikamwambia boda anirudishiie buku tano na kumpa 2k nyingine ya boda ili amfikishe kwao kwa maana mda huo alikuwa ameshanikwaza nikasepa nikapitia ngao pub nikapiga mboliko nikirudi home mda huo nahasira tu.

Kinachonichanganya nikiweka amri nzugu naona nidemu ambaye anazi tii kwa kiasi Sasa sielewi nimfanyaje Kuna muda Kama ana Mambo mengi unaweza kumtafuta asipokee simu lakini haachi kunitafuta hata Mara moja tangu nilivomchana.

Saivi naangalia game ya Totten na full ham nimemcheki na kumuelekeza nataka nimuweke ndani nimuowe kwa maana sote sisi ni waislamu na ni dhambi kuzini naona ananiambia mpka mwakani ni mpaka amalizie koz ya kompyuta ambayo aliiachaaga njiani, nimemwambia sawa ..tutaongea zaidi Ila nimtu ambae naona kapokea kwa wema na amenisihi nimjulishe nitakaporudi nyumbani kwa kuwa mi nipo baa na sijajua lengo ni Nini labda ajue Kama niko salama ...Yani Kuna mda anajali hadi nafurahi ila Kuna vijitabia vya kingese hadi simuelew..

Ila nampenda Sana na Jana kanilazimisha nitumie ndomu maana yuko danger mi nikamkazia kinomanoma pale ilikuwa vita akakubali nikamwambia atatumia p2 Kama anawasiwasi na mimba Ila mi hata asipotumia akipata mimba ndio vizuri tu kwa kuwa namuhitaji...

Sasa kaka na dada zangu embu nisaidieni wakuu...hapa kipi kifuatie hadi awe anaelewa kabisa na mwishowe awe ni mwanamke wa ndoto zangu?ni kwa namna gani atajinyenyekeza kwangu nakutambua Mimi ni mme wake?nitumie njia zipi? Ili atulie ma broo ...msaada unahitajika Ila hajaacha kuvaa yebo za kutuna na yebo za vitobovitobo hata alivokuja alivaa...
Unaoa Malaya aliekubuhu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom