ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,670
- 90,151
Achana nae huyo mrembo wetu!!Hivi wewe una shida gani na mimi? Una mtindio wa ubongo ama ni nini? Yaan mitusi yako kule umeona haitoshi umeamua kunifata na huku? Unikomee.
Achana nae huyo mrembo wetu!!Hivi wewe una shida gani na mimi? Una mtindio wa ubongo ama ni nini? Yaan mitusi yako kule umeona haitoshi umeamua kunifata na huku? Unikomee.
Story yako tamu
Story yako tamu
Sasa mtumishi wewe kwa hizi comments za humu unafikiri watafuatilia hivyo vifungu. Usije kuwa kama yule mtumishi aliyefungua kanisa uwanja wa fisi, anawaita waumini watarajiwa wenyewe wako bize na kusaka utamu na hela.Akipandacho Mtu ndicho akivunacho ni lazima kuvuna. Kama umepanda Mema basi utavuna Mema na mabaya pia. Hivyo tabia ya kufanya mapenzi kinyume na Maumbile ewe Mume kufira mtu mke au Mume uwe na hakika na wewe Ama mwanao ama mjukuu atafanya hayo kugeuzwa. Hii ni kama hakuna Toba ya kweli. Taman kuishi maisha ya Toba lakin ombea na wengine.
Penda sana Kuwa lala wa dada na ww dada Penda sana wanaume kabla na baada ya ndoa. Mambo ambayo hutopenda mwanao afanye na wewe uliyafanya. Nakukumbusha utavuna unachopanda sasa hivi hapo badae. Pasipo Toba ya kweli hakika utavuna. Mlango mda wote huwa upo wazi kwa ajir ya wanyenyekeao.
Mungu anatupenda ndo maana analeta habari njema kila iitwapo leo hata kama hatuzipendi masikio yanawasha lakini Yeye hachoki maana anawajua walio wake.
Toba itatuweka huru siku zote. Roho i radhi lakini mwili ni dhaifu. Ni muhimu Roho ikajifunza kuishi maisha ya mbinguni ikiwa duniani maana ilikuwapo mbinguni hapo kabla na shetani hataki irudi. Yeremia 1:5
Ukiona anakusumbua unaweka kwenye 🗑 na kuachana nae mazima.Huyu mpuuzi ukituma pic selfika linasave alafu linatuma tena linadai picha ni zake kulikosoa likaanza mitusi. Badala litulie kule limekuja na huku kunisumbua, limtu la hivi ni kutupia kwa wasiojulikana.
Ok. Mzma lkn?Ukiona anakusumbua unaweka kwenye 🗑 na kuachana nae mazima.
Mzima kabisa rafiki. Wewe je?Ok. Mzma lkn?
Sasa mtumishi wewe kwa hizi comments za humu unafikiri watafuatilia hivyo vifungu. Usije kuwa kama yule mtumishi aliyefungua kanisa uwanja wa fisi, anawaita waumini watarajiwa wenyewe wako bize na kusaka utamu na hela.
Ni hekima kufanya kila jambo kwa wakati na mahali sahihi. Unayapata haya mashambulizi kwa kuwa ujumbe wako hauko mahali sahihi. Ndo maana sisi watu wazima tunasoma bila kuweka mikasa yetu ya ujanani, lakini ninayoyasoma yananikumbusha niliyofanya zaidi ya miongo mitatu iliyopita. Then unajua hakuna jipya chini ya jua. Waachie hawa vijana wetu nao waongee, hayo ya biblia yana platforms zake nyingi sana hapa nchini.Sbb alienda kwa akili zake. Mimi wala sina shida afatilie asifatilie nimemaliza nilichowiwa kusema. Si wote ni wa Mungu ila wote wameumbwa na Mungu hata ibilisi. Hapa nakumbusha Toba yaani ukitoka kujichafua basi jioshe ipo neema. Ukinya lazima uchambe. Au mtu ajaribu kutembea bila kuchamba na kiroho ni hivo hawachambi hawa nawakumbusha.
Kaa mbali na huu uzi unaweza kumrudia mzee shetaniAmani Kabisaa. Hakuna magonjwa, hakuna ajari, nalikuwa kipofu sijui dhambi wala sion dhambi sasa naona, kuna uzima, naijua kesho yangu, na uhakika wa kuishi miaka timilifu na ikibid kuongezwa kama ntazid kumfurahisha Mungu kama Ali Poa Muongezea Hezekia. Ndugu zangu wanalindwa na Bwana, hakuna kulogwa, mashetani yakiniona yanatetemeka. Yote haya ni kwa sbb Yesu amenipa Neema. Hiyo Neema kiu yangu uipate na ww. Ila kwa mapenzi yake Mungu maana Mungu hachanganywi. Hivo nitokapo Ni kwema na sitoki kwa Yesu maana ni kwema
AsanteMkuu, bonyeza user name yake, kwa chini utaona Follow, Ignore na start conversation, wewe bonyeza Ignore hautaona mahubiri yake. Shetani nimetoa ushauri kwa wafuasi wangu wa kula kimasihara
Niko good pia, thanks.Mzima kabisa rafiki. Wewe je?
Ni hekima kufanya kila jambo kwa wakati na mahali sahihi. Unayapata haya mashambulizi kwa kuwa ujumbe wako hauko mahali sahihi. Ndo maana sisi watu wazima tunasoma bila kuweka mikasa yetu ya ujanani, lakini ninayoyasoma yananikumbusha niliyofanya zaidi ya miongo mitatu iliyopita. Then unajua hakuna jipya chini ya jua. Waachie hawa vijana wetu nao waongee, hayo ya biblia yana platforms zake nyingi sana hapa nchini.
Nakupa mkasa uliotokea nikiwa nasafiri na basi mmoja, aliingia muhubiri akaanza kushusha nondo zake lakini kumbe yale mahubiri yaliikwaza familia moja iliyokuwa inakwenda msibani. Kilichofuatia ni kondakta kusserender na kumshusha mtumishi. Ila kosa lake kubwa ni kutokuwa mahali sahii na kutoijua audience yake.
Kaa mbali na huu uzi unaweza kumrudia mzee shetani
Wacha weeeNahitaji masomo ya bibilia kutoka kwako huko piemu nimeamua niokoke
Yes, hakuna mtu asiye na dhambiKwani kila siku si tunatenda madhambi tu mkuu. Nitatubu..
mwili unasumbua..Hapa Sabasaba kumenoga aiseee. Watoto ni wakali balaa. Mmoja kanasa tumepata nae chakula Cha mchana, saa 11 tukafanye yetu. Cha kushangaza, nimepata hofu ya ndoa. Duuh nafsi inapambana, dk zinakaribia! Tuombeane tu jmn!