moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,900
- 4,865
Wenye akili kama zako hawakosi humu.Nlikuwa nimekaa chini mti wa tunda, mara likaanguka, nikajiuliza hili tunda limeangukaje chini, kwa nini lisianguke juu
Hapo basi Nikala tunda kimasihara hivi hivi...
View attachment 1892624