Mangusha1040
Member
- Jan 15, 2020
- 92
- 194
Hongera sana bahariaHAYA NDO MASIHARA SASA
Jana jioni mida ya saa 12 nikiwa natoka kazini narudi home gari yangu ikaniwashia taa ya mafuta,hii taa huwa siipendi kabisa..kucheki mfukoni nina 20,000/- tu..Bahati nzuri sikuwa mbali na ATM za NMB..nikaamua kwenda ATM kuchukua hela ili nijaze mafuta..kufika ATM hazifanyi kazi kama mnavyojua ATM za NMB huwa zinakata network ikifika saa 12 jioni..basi bana kwa sababu nilikuwa nimechoka sana nikaamua kuondoka..ile nafika kwenye gari ndo nikakumbuka nina elfu 50 Airtel Money sikuwa nakumbuka maana mimi si mpenzi sna wa kutumia mitandao kuhifadhi pesa naamini sana katika benki...basi nikaelekea kwa Wakala kutoa elfu 45..ile nafika nikamkuta wakala anamhudumia mdada mmoja rangi ya chocolate figure imejichora sawa sawa kwenye kisketi cha kazi vile vifupi vya ofisini kachomekea na shati lake jeupe peee na kiatu cha mchuchumio...nilivyofika sikuwasalimia wala nini nilifika na kuuliza
Mimi:naweza kutoa elfu 45 Airtel Money?
Wakala:Mambo kaka?toa tu
Mimioa,sawa natoa
Yule dada:akaniangalia tu
Yule dada:Wakala Mbona meseji yangu ya kutoa tayari ila wewe unasema kwako bado?si unipe tu hela niondoke jamani au soma meseji yangu
Wakalaada vumilia kidogo
Yule dada:nachelewa nyumbani
Mimi:Nitakupeleka usijali
Yule dada:Akaniangalia akatabasamu tu na kuguna mmmhhh
Mimi:Kimyaaa sijaongea chochote tena
Mimi:Wakala mimi nilishatoa nipe hela nisepe zangu
Yule dada:Wewe si umesema unanipeleka mbona unaniacha sasa?huku anacheka
Mimi:Nikacheka tu maana sikumaanisha lolote kuwa nitampeleka
Wakala:Kaka jina nani?
Mimi:Stanboy(hii ni code)
Wakala:Hela yako hii
Yule dada:Akaipokea na kuniambia ngoja nikushikie(huku anacheka)
Mimi:Nikatoka nje huku namwambia haya nishikie kwa muda nakusubiria hapa nje uniletee niondoke zangu.
Yule dada:Njoo uchukue nisikucheleweshe maana huyu wakala hata simuelewi hatajapata meseji yangu na siwezi kuondoka
Mimi:kimyaaaa
Wakala:Una bahati meseji imefika
Yule dada:Asante
Yule dada akapokea hela zake na kuja nje,akanipa hela zangu na kuniaga...hapo ndo akili ikacheza na kuniambia hebu jaribu masihara kidogo..twende pale parking nichukue gari yangu then tupite petrol station niongeze mafuta nikupeleke kwako..bila hiyana akasema nitashukuru kama kweli maana na wewe hueleweki..nikamwambia real sieleweki au wewe?kwani wewe unaweza kutimiza unachoahidi?akasema ndio tena kwa wakati..basi tukacheka huku tunaelekea kwenye gari..tukaenda kituo cha mafuta tukaongeza na kuelekea mtaa wa 7 ambako siyo mbali na pale tulipokua..njiani akaniambia zima AC ya gari baridi sana jamani..mimi huwa sizimi AC hata nikiwa Arusha au Njombe sipendi hewa ya nje iingie kwenye gari harufu inakuwa mbaya..alivyosema nizime AC nIkapata wazo chapu nikachombeza kidogo tu ili kujua status yake...na hii baridi ya Dar es salaam kwa sasa mlioolewa kama wewe hivi mna raha maanake waume zenu mahaba yameimarika wanarudi mapema nyumbani kuwakumbatia,sisi wengine mateso tu aisee...akacheka kwa sauti na kunipiga kikofi begani yaani wewe si ungeona pete mkononi hapa kama ningekuwa nimeolewa,nikamjibu siyo wote walioolewa wanavaa pete wengine wanazivua na dini zingine hawavai pete..akasisitiza hajaolewa na anaishi peke yake..binafsi sijawahi kutembea na mke wa mtu na huwa naheshimu sana mke wa mtu...hapo hapo nikatafuta mahali nikasimamisha gari maana tulikuwa rough road za mtaani tu nikamwambia sasa una haraka gani ya kwenda home?hebu hamia seat ya nyuma tupeane hata joto kidogo tu na stori then nakupeleka kwako..mtoto akakubali..nikasema basi tena masihara tayari.
Wazee kuhamia tu nyuma ila anakaa mapaja yote nje,mshale wangu ukasoma na kwakuwa nilivaa suruali ya kitambaa akaona kabisa kitu hicho..nikachukua mkono wake nikamshikashika pale kisha nikamshikisha mshale(mwanamke akashika mshale umekakamaa huwa akili zinamruka) akaanza kuupapasa..nikafungua zipu ya sketi yake ili iregee niipandishe juu..fungua vishikizo vya shati lake..aisee chuchu saa sita zile papasa sana..mtoto anafungua mkanda wa suruali yangu na kuanza mablow job ya kufa mtu..ila shetani jamani tukajikuta tumevua nguo wote kama tuko room kazi iliyofuata hapo ni kama mpira wa Prison Vs Simba yaani ujuzi na speed plus rough za kutosha ukizubaa,nachoshukuru huwa sikosi kinga kwenye gari naogopa UKIMWI kuliko kitu chochote duniani..gari yangu ni tinted hivyo sikuwa na shaka yoyote na ule mtaa siyo wa kiswahili hauna watu wengi..wazee wa masihara nimepiga ile kitu pale mpaka nikaridhika na yenyewe ikaridhika..
Baada ya hapo ndo tukaulizana majina na kazi zetu..yule dada ni mhasibu wa kampuni moja kubwa tu hapa Tz...nyie masihara yapo na yatae delea kuwepo..
Tuendelee kufurahia masihara
Wanawake wameumbwa kwaajili yetu
Nawasilisha