Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Miaka fulani, siku ya alhamisi ofisi za NHIF pale Bandari Road kulikuwa na Tender Opening, muda wa saa nne asubuhi.
Sisi wazoefu mapema tu tukawasilisha tenda zetu, tukasaini na tukakaa pale tukisubiri muda wa ufunguzi wa Tenda. Maana walikuwa wanaandaa chumba cha mikutano kwa shughuli hiyo.
Saa nne na nusu asubuhi anaingia dada pale mapokezi akiwa na tender document yake kwa ajili kuwasilisha. Akaambiwa kuwa muda wa kuwasilisha tenda ilikuwa kabla au saa nne kamili asubuhi. Hivyo tenda yake haiwezi kupokelewa.
Niliona dada alivyopata mshangao na wasiwasi usoni. Bila shaka alikuwa anawaza ataenda kumwambia nini bosi ama mkuu wake wa kazi.
Alisihi sana kwa dakika kadhaa lakini watu wegine walioleta tenda zao wakagoma kuwa amechelewa hivyo tenda yake isipokelewe.
Dada alitoka akielekea mlangoni huku akiwa analengwa lengwa na machozi. Nami nikainuka kuelekea nje. Tukakutana pale parking huku nikamsomamisha na kumpa pole, hakuitikia badala yake akawa anamlaumu dereva kuwa ndio kamchelewesha. Nikamwambia naweza kukusaidia ili bosi wako asijue kama umechelewa kuleta tenda. Nikamsogeza pale kwenye ngazi na kumwambia nisubiri hapo ili tukimaliza tenda opening nikupatiea matokea ya ufunguzi wa zabuni na wewe uongeze orodha ya kampuni yenu ili usipate matatizo huko ofisini. Akanishukuru na kuniuliza vipi kuhusu hiyo document ya tenda maana dereva akiiona anaweza kujua. Nikaichukua na kumpelekea dereva niliyekuja naye ili ahifadhi. Binti akabaki hapo mimi nikarudi ndani.
Zoezi likakamilika na nikampatia binti matokea ya ufunguzi wa tender pamoja na orodha ya makampuni, binti alishukuru sana na kuniomba namba. Alinibeep nami ‘’nikasevu’’ namba yake. Tukaagana kila mtu akirudi kibaruani kwake.

Kumla kimasihara: -
Nilimfanyia msaada ili kulinda kibarua chake, lakini jioni ile dada alinicheki kwa meseji kuwa kila kitu kimeenda sawa na uongo wake haujagundulika ofisini kwao hivyo anashukuru sana. Baadaye akaniambia kama naweza kuwa na nafasi jumamosi ili walau tukae mahali anainunulie soda.

Ijumaa jioni akaniuliza tunaonana wapi? Huku akiniambia kuwa hapendi maeneo ya watu wengi, isiwe bar wala maeneo kama hayo, basi nikamwambia aje ninapoishi.
Jumamosi majira ya saa nne binti akawa amefika, ameshuka kwenye daladala nikamwandalia bajaji ili amlete uswahilini kwetu. Binti kafika amechangamka, amevaa jeans blue mpauko, tshirt nyekundu laini sana. Kiufupi alikuwa amependeza vya kutosha.

Tukaanza stori mbili tatu kuhusiana na kazi pamoja na mambo mengine huku tukiwa tumekaa kwenye kijisofa nilichoachiwa na kaka yangu, huyu binti alikunja miguu na kupandisha kwenye kochi, huku akigeukia upande wangu(Ukiona binti ameingia ndani kwako na ameamua kupandisha miguu kwenye kochi, jua amejisikia kuwa huru sana) . Baadaye akawa anasema amekuja kunipa zawadi ya soda kama alivyoahidi, nikamwambia yaani katika zawadi zote unataka kunipa zawadi ya soda kwani mimi mtoto mdogo?. Akatabasamu kisha akaniambia wewe unataka zawadi gani? Nikamjibu nikubusu tu itakuwa zawadi nzuri sana. Akacheka kisha akasema, kunibusu tu, nakuruhusu kiss me three times, nikaongeza je naruhusiwa kuchagua maeneo ya kukubusu, akajibu kuwa huru tu ila usining’ate na isiwe mdomoni huku akicheka.

Nilimsogelea na sehemu ya kwanza kubusu ikawa shingoni, mtoto ana shingo laini yule. Nilibusu na kumlamba kabisa upande wa chini.
Akiwa anatafakari huku akidhani nitaelekea shavuni, nikambusu tumboni pale kwenye kishimo cha kitovu kwa juu ya tshirt hapa alishtuka na kuhema huku akisema ooooh noooo! , nikawa nimebaki na sehemu moja tu hapa nikaona nikamalize kwenye matiti, huku nikimwambia namalizia ya mwisho, binti alikuwa kimya huku akinitazama kwa aibu.

Mkono mmoja ulikamata titi la kushoto, mdomo ukaelekea titi la kulia. Nilipominya, akajikunja mgongo huku akijaribu kuundamiza zaidi ule mkono uliokuwa juu ya titi la kushoto. Hapo sasa nikaamua kupitisha mkono chini ya tshirt katika maeneo ya tumboni. Binti akanipa ushirikiano wa kuinua tshirt kwa juu na hatimaye nikakutana na sidiria nyeupe iliyobeba vyema titi lililojaa sawasawa na chuchu iliyochongoka( huu ndio ugonjwa wangu – chuchu iliyochongoka). Nilifyatua vile vi-lock vya sidiria kwa nyuma na kukutana na ziwa jeupe, na chuchu iliyochongoka vyema.

Nilipapasa ziwa taratibu na nikapeleka mdomo ili kuanza kunyonya chuchu, nilinyonya kwa dakika kadhaa huku mkono laini wa binti ukiwa unapapasa kichwa changu, binti alikuwa akigugumia kwa utamu na kutoa sauti za kimahaba. Nilimaliza kunyonya ziwa moja, binti akavua tshirt huku akinielekeza kwenye ziwa la pili. Hapa sasa nilikuwa nanyonya huku mkono ukifanya utalii wa ndani kwenye kiuno na mgongo wa huyu binti. Binti akaomba kusimama ili avue suruali, nilimsaidia kuitoa na hatimaye nikakutana na chupi nyeupe (zile mnazoita G-string).

Hatukuwa na cha ziada zaidi ya kusogezana kitandani na nikaljilia tunda. Binti alinilaza chali na kuanza kupapasa mashine kwa mikono yake laini, baada ya muda aliisogelea na kuanza kulamba kama wanavyofanya kwenye zile AZAM ZA UKWAJU, huyu binti sifa yake kubwa ni kulamba mashine huku anakuangalia kwa macho yaliyolegea. Baada ya kuwa ametosheka kunyonya mashine akajisogeza na kuja kuikalia kwa juu huku tukuwa tumekutanisha viganja. Binti ana uke mdogo lakini laini yaani unagusa pande zote, huku yeye akinyoga kiuno na kujipimia kiwango anachotaka. Baada ya dakika kadhaa akamwaga maji ya kiasi, akitoa miguno na sauti za mahaba na akijipinda pinda. Nilimweka kifo cha mende nikajipigia dakika kadhaa namI nikawa nimemaliza raundi ya kwanza.

Hiyo siku aliondoka saa mbili usiku maana zoezi liliendelea. Huyu niliendelea kumla maana hakuwa na gharama, yaani gharama juice kubwa ya guava na chipsi kuku robo una uhakika wa kula mzigo walau mara mbili kila mwezi.
Katika stori binti akafunguka kuwa jamaa yake yupo mbali na vijana wa ofisini kwao wanampita kama hawamuoni kwa kuwa ana pete ya uchumba. Alikuwa hajapata huduma kwa miezi nane.
Kiufupi sikumshawishi kwa lolote bali alikuwa na hamu tu ya kufanya.

USHAURI: Mkichumbia jamani muwe mnapata muda wa kuwapa mahitaji ya kimwili hawa mabinti, kuna wakati huwa wanazidiwa. Sio unachumbia binti halafu wewe upo kikazi Botswana, tunasababishiana dhambi jamani.
Nimecheka eti tuna sababishiana dhambi hahaah
 
Hii sasa mara ya tatu nimekula tunda kimasihara tu kwa watu watatu tofauti. Kanyota kanang'aa sana sijui, manake ilikuwa kama utani utani.

Iko kuna mtoto mmoja mkali sana umbo la kibantu nido ndogo ndogo zilizotuna vizuri, ila rangi yake si nyeusi kivile wala si nyeupe. Nikiwa naenda mishe mishe huwa nakutana nae pale kituoni, yaelekea anakaa karibu na mitaa nayokaa.

Siku hiyo nkaenda zangu kuanzima gari cuz nilikuwa naenda umbali mrefu nkaona daladala ntachelewa na mafoleni haya ndo itakuwa soo. Bwana Kiduku Lilo akasema chukua hiyo Jeep Grand Cherokee 2019, nkamwambia sitachukua muda mrefu.

Nkapiga mishe mishe zangu nko na ndinga. Dakika kadhaa nkamaliza nkasema hawezekani nimalize mapema hivi wacha nizunguke mitaa manake nilikuta gari iko full tank. Nkala mitaa nkapita mitaa fulani nkaona mwanamke mbele, kwa sifa nkaanza kunyata.

Mwanamke akapiga mkono, kufungua dirisha nimcheki manzi wa kila siku kituoni. Nilitaka nipotee cuz nilikuwa namgwaya hatari kwa jinsi alivyo. Akauliza aah!! Kumbe wewe nilikuwa nataka unisogeze hapo mbele kituoni nipate daladala niende nyumbani, saivi waenda wapi? Nkajibu home (sikujua jibu limetokea wapi). Akasema basi twende wote manake nakuonaga pale kituoni. Ukiniacha pale nakuwa nimefika.

Hata sijamruhusu huyo ndani kashafunga na mkanda tayari. Nkaona isiwe case nkakiwasha mwendo mwendo cuz umbali ulikuwa mrefu ili niwahi kurudisha ndinga. Ndani tuko kibubu tu cuz mi mapigo ya moyo yalikuwa hayasomi vizuri.

Fasta kituoni tumefika akagoma shuka anataka nimsogeze kwake, nkamsogeza hapakuwa mbali sana, nkaingiza ndinga mpaka kwake, cuz kulikuwa na ua wa maana. Akagoma shuka tena nkamuuliza kisa nini, akasema chukua namba yangu nkachukua akasema piga nkapiga, ikasoma kwake. Akasema hapo safi. Ila nakuomba punzika kidogo kwangu.

Mi hapo natetemeka tu cuz mtoto alikuwa wamoto hatari. Nkashuka nkachoma ndani, nkakaa kama dk 2 mtoto katoka yuko mwelemwele anawaka sauti imekuwa nyingine anadai leo yuko mwenyewe mdogo wake hayupo, then ana hamu sana ya mambo yetu ya kiutu uzima. So sipaswi kukimbia ye ndo hivyo tena.

Na mimi huku sauti haitoki vizuri manake hapo kashagusa kunako, sijakaa sawa denda mdomoni, sijakaa sawa mtoto kanivua T-shirt... Eeeh!! Yakawa yakuwa kwenye sofa, kitandani, kwenye meza, bafuni, mara kule.

Nakuja kusituka kumekucha tayari. Nacheki pembeni mtoto anasema asante sana, unafanya kazi? Leo hauendi utakuwa umechoka sana, leo jumapili pia zingatia hilo. Kucheki simu mwenye gari kapiga simu kama mara mia hivi na kidogo. (NOTE : Si bwana Kiduku Lilo).
hii ligi yako na mwenye ndinga iliishaje mkuu

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mshikaji alikabilibisha madem wawili kukaa kwa muda kwa geto yake. Walikuwa mtu na Dada ake Sasa mshikaji alikuwa Domo zege yani kushindwa kushawishi Dada mtu mpaka wakaondoka. Nikachukua number ya mdogo mtu, aisee alikuwa na nyege sana. Nikachat naye cku moja tu nikamuita geto nikala tundaaa
 
Everything narrated in this story is fascinating but about frozen Vodca! come on give me a break

I was also wondering. Pure ethanol alcohol needs to be -173 degrees Fahrenheit to freeze. And while putting it in the freezer will affect it somewhat, it won't freeze solid in your traditional freezer., PERIOD.. drop....
 
Bado naendelea kufuatilia huu uzi kuna boya alinitafuna kwa kushtukiza sijui kama bado hajaandika humu halafu alikuwa vizuri sema tu alikuwa na haraka sijui hakuamini hata sielew 😂😂😂😂
Nilikuwa nawahi kwa mke wangu ndo mana nikakukula kidogo ila nadhan ulifurahia dkk zangu mbili za nguvu
 
Ndio nini ukaniacha na kiu muone vile mjuzi lakini haraka zimekushika 😡😡😡 bahati yako uko vizuri kam vipi nitafute tena unitafune kibahati nzuri 😂😂😂😂
Daaa kweli kabisa inabidi turudie game mana mara ya kwanza refa alikubeba uliponichezea rafu ikabidi nitoke uwanjani dkk ya pili
 
Ngoja nikague simu ya yule bibie Kama Yupo humu nitaandika ....Anafanya kazi na NGO Mona hivi somewhere humu wanadeal na Sexworkers.....Nimekula kimasihara na Sasa hivi najilia Tuu kiutani utani...
PILI: Mdada wa mpesa 1 hiviiii
Thanks to my sensi of huma 🤭🤭😂😂
 
Kiufupi yule maza hausi alikuwa Kama katufumania hivi maana niliamua kutoka nje kumsikiliza,nikamsalimia kwa heshima akadai alisikia mtoto analia Sana akagonga sana mlango hakujibiwa ndo akaingia kujua kulikoni
Kiukweli nilitahayari na aligundua hilo,akamuulizia yule demu Yuko wapi,nikamwambia yupo room anapanga nguo za mtoto (hapa nilijikanyaga maneno live,basi yule mama aliishia kuguna tu)
Alivyotoka nje nikarudi room kumtoa yule demu huku tukibishana kujua ipi ni busara Kati ya kubaki kumngoja mama mtoto wangu au yeye kuondoka kabisa kwao ili kuua soo.

Baada ya muda nikapata jibu kuwa mie ndo nitoke kwa muda pale home nirudi baadae,lakini kabla sijaondoka pale nikawa najipitisha sana kwenye korido ya ile nyumba ili nimuone maza hausi nimfinyie elf 20 afunge mdomo wake (rushwa haiwezi kuisha abadani) baada ya raundi kadhaa za korido sikumuona kupita ikabidi nimuite atoke nimuage,akiwa ananishangaa nikanyoosha mkono kumpa ile hela. Akaipokea huku anababaika (ilikuwa kubwa kwake maana hata kodi huwa hagusi,anapokea mumewe) basi alifurahia na kuniaga mara nyingi huku akiniita baba.

Nikaondoka zangu huku nikiwa nawaza jinsi ya kujitetea kwa mzazi mwenzangu km maza hausi ataamua kunichomea japo nimemuhonga.
Huo ukawa mwanzo wa yule mama kunizoea na akawa anakula sana noti zangu. Kule kumpa hela mara nyingi ili kutunza siri yangu ya kumla yule demu wa kitaa anayeshinda kwa mzazi mwenzangu ambaye bado tulikuwa tunaendelea kupeana raha kila tukitaka kukazua jambo jipya kabisa ambalo haikuwa kula kwa masihara so sitoihadithia hapa ila kwa ufupi alinipigia chapuo nimle mwanae ili aendelee kula noti zangu za ngama.

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

huko ni kuwakosea mabaharia
 
Back
Top Bottom