Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ngoja namimi nitoe kisa changu
Ilikua mwaka 2013 siku moja asubuhi ninaenda kwa rafiki yangu tulikua tunapiga nae mishe wakati niko njiani ghafla nkamuona binti Fulani kwa mbele ikabidi nikaze mwendo ili tuongozane nilivomfikia nikamsalimia tukawa tunapiga story mpaka nilipofikia sehemu niliokua naenda tukabadilishana namba kwa ajili ya kuwasiliana baadae! Ilivofika mida ya SAA 10 nikampigia akapokea tukapanga kukutana restaurant moja hv kupiga story akakubali akasema saa 11 nikajiweka safi nikisubiria muda ufike mda ulivofika nikapiga simu akapokea mwingine akadai mwenye simu ametoka nikasubiri kama nusu Saa nikapiga tena haikupokelewa nikapiga Mara ya pili yule aliepokea Mara ya kwanza akapokea tena akanambia samahani kaka huyu mwenye simu ana mchumba wake unaogopa kukuambia tu ameniambia nikueleze, ikabidi nibadilishie gia angani nikamuomba kampani kama hatajali akanambia ngoja nimuambie Hutu anilete nikasema poa baada ya dakika mbili akanitext kwa namba yake baada ya kama dk 15 akaja na yule mwenzake tena yeye akawa mzuri kuliko yule wa kwanza tukaenda restaurant moja tukawa tunapata vinywaji wote watatu ilivofika saa 2 yule mwenzake akaaga kuondoka nayeye akataka kuondoka nae nikamwambia ntakusindikiza baadae tulivobaki wawili nikamwambia Leo tunalala wote akakubali nikachukua chumba tukazama nikala mzigo mpaka asubuh ikawa ni kawaida kulana kimasihara tumedumu nae kama mwaka mzima kama wapenz na mama yake akawa ananifaham siku zimeenda nikaamua kumuweka gheto tukaish kama mwaka mmoja hv tukazinguana siku moja akakasirika akabeba kila kitu ndani nikamruhusu chukua kila unachoona kinafaa akabeba kila kitu alivomaliza nikafunga mpango nikaenda kununua godoro na ndo ya maji nikaweka gheto nikaendelea na Mishe zangu akaenda kwao baada ya week 2 ananipgia simu anataka kurudi nikakataa kumbe tayar alikua na mimba baadae akanambia suala la mimba nikamwambia ntakuhudumia kwa kila kitu lakn kuishi pamoja never
Akakaa kwao kama miez 3 baadae akaondoka kwenda jiji la makonda muda wote tunawasiliana na matumizi natuma kumbe alivoenda akatoa mimba Mimi sijui nikahudumia mpaka miez 9 nikapigiwa simu siku moja usiku na dadake akanambia mkeo kajifungua mtoto wa kike kidume nikatuma hela kama laki 3 hv nikaendelea kuhudumia mama na mtoto kama miez 3 nikamwambia mlete mtoto nimuone nikatuma nauli na siku ikawa imepangwa week moja kabla ya siku ya kuja nikapiga simu haipatikani baada ya siku 3 siku nikapigiwa na mama mtu huku analia anadai mwanae yuko hospital alipata Ajali yuko hoi yuko njian anaenda dar nikachanganyikiwa akasafiri mpaka dar anafika ananieleza hali ni mbaya ya mama na mtoto nikawatumia hela kama laki na nusu baada ya siku 4 akatoka hospital na mtoto baada ya miez kama miwili tena ikabidi nifanye mchakato amlete mtoto coz alikua bado hajapata recovery vzr ghafla mtoto akaugua akapelekwa hospital akafariki nikajiuliza hapa kuna kitu nachezewa si bure nikafuatilia kijasusi nikagundua mimba ilitolewa ukiwa na miez 3 kwahy hapo nlikua nahudumia mtoto hewa nikaumia sana nikampotezea mazima kimya kimya nikakaa kwama mwaka mzima nkaoa tena now Nina watoto 2 ila alinipa funzo kubwa sana kwenye maisha saiv yupo tu kwao amepauka kama kopo la mkojo
ila jamani lhaaaaaah,
 
NJISI NILIVYOMLA KIMASIHARA MPANGAJI MWENZAGU
Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 12,mwaka 2016 niliomba kufanya field ya miezi 3 moro,sikuwa na mwenyezi yoyote hivyo basi ilinilazima nichukue chumba KHD,karibu na campus ya sua,baada ya chumba nilinunua mahitaji ya mhimu,godoro na kitanda nilipatiwa na mama mwenye nyumba,alikuwa single maza mwanae alikuwa anasoma Dsm kidato cha 2,
kwenye hiyo nyumba kulikuwepo na mpangaji mwenzangu wa kike,binti wa kihaya ,mweusi,sura ya kawaida tu lakini ana mzigo balaa,alikuwa anafanya kazi ya stationary.
baada ya kama wiki 2 hivi tukaanza kuzoeana na kubadilishana mawavo,nilikundua kuwa ananizidi miaka 3,pia pale geto kwake wageni wa kiume walikuwa wengi saana.yaan alikuwa anabadilisha sana wanaume hali iliyonifanya nisiwe na hisia nae za kimapenzi licha ya umbo lake kunivutia.
Alikuwa anaishi maisha mazuri sana,kuanzia mavaji mpaka vyakula anavyokula,per day kuspend elfu 30 ilikuwa kawaida sana,baada ya kumsoma saikolojia yake nikagundua ni money oriented na haamini katika love ok,nikaishi nae tu kibingwa
Siku moja aliniomba bioline HIV test ajipime yeye mwenyewe,aisee mwanzoni moyo ulisita kabisa,niliwaza akikuta majibu ni POS nani atakaempa ushauri?niliona kwa maisha anayoishi yupo kwenye risks sana,nikasema anyway nikampa,baada ya dakika 20 akaniletea ile kit nimsaidie kusoma,majibu yalikuwa negative,kuona vile nikajisemea moyoni huyu lazima aliwe ki FBI.
Nikaanza kupanga mipango,mpango wa kwanza niliopanga ni yeye kuniamini ,yaani nilikuwa mwanminifu sana kwake hivyo aliniona innocent boy,haaa baada ya muda akaanza kuniambia siri zake za ndani ikiwemo masuala kugegedana nikasema yes nimefanikiwa.
Mpango wa pili ni namna ya kumgegedaukizingatia yeye alikuwa mkubwa zaidi yangu ,baada ya kuwaza sana nikabuni mbinu,mbinu yenyewe ilikuwa ikifika usiku nijifanye nimepoteza ufunguo wa chumba changu,nilijua tu lazima angenikaribisha chumbani kwake,baasi kesho yake nakumbuka ilikuwa j2 mida ya saa 3,mama mwenye nyumba hakuwepo,ilipofika night nikaficha funguo nikamwambia jirani yangu akasema nisijari atanihifadhi kwake mpaka kutakapokucha ili nitafute fundi asubuhi.,kimoyo moyo nilifurahi kinyama,mara nikakaribishwa ndani akaanza kunifanyia orientatiom mle ndani,sehem ya kulala na bafu la ndani.baadae akanipa elf10 nikanunue chipis,tukala,
Muda wa kulala ukafika akanipa shuka nijifunike ili nisimuone wakati anasaula nguo,ni kweli nilijifunika mwili mzima mpaka kichwani,nikaacha sehemu ndogo nikawa nampiga chabo,wakati anavua alikuwa amegeukia kioo bila kujua nikawa namuona taswira yake kupitia kile kioo,ahhhh baadae akagundua akacheka kwa mahaba then akaniambia na yeye anataka anichungulie nikamwambia nikamwambie aje tu nipo tayari,akaja on bed,aisee mapigo ya moyo yalienda kasi sana,alikuwa na mzigo wa maana afu kiuno kama nyigu kiunoni alivaa shanga chache,hapo mimi nishavua kila kitu,akanisogelea akanishika videvu vyangu ,then akashusha kidogo mpaka kwenye dushe ,alivyozidi kushika ndivyo dushe ilizidi kuvimba,nikajiongeza nikamvuta kiuno,piga denda kwa dakika kadhaa baadae nikahamia kenye masikio nyonya sana akaanza kucheka ,nikashuka kidogo kwenye nipples na kuzing'ata taratibu mtoto hoii,nikahamia uvinza kudeki bahari,pandisha shusha ulimi,ingiza na kutoa ulimi,then nikaanza kudili na kiharage nyonya sana ,huku kidole kimoja nikizamisha na kutoa kwenye k,mtoto akaanza kunyesha mvua sio mchezo nikasema sio kesi,condom zilikuwepo lakini sikuvaa,nikatomb... sana hata nikahisi joto limepanda maeneo hayo,nikajipigia bao langu safi ndani,baadae tukaenda kuoga ,sasa muda wa kumsungua ngongo dushe likasimama tena nikambendisha na kupiga doggy styl aisee alikuwa na tak kubwa halau laini,tukarudi on bed nikapiga kimoko tena,mtoto akadai amechoka tutaendelea asubuhi,bwana wewe ilipofika saa 10 usiku dushe likasimama tena wakati nipo usingizini nikaamka,na kuanza kumuandaa upya ,mwanzo alijifanya kama amelala lakini akaanza kuonesha ushirikiano,nikapiga viwili tena,
tukapitiwa usingizi ,nakuja kusituka saa 3 asubuhi nikamwamsha mtoto anacheka tu na kufurahi,nikatoka nije kujifanya kama naitafuta funguo,nikafungua geto langu baadae nikamjulisha kuwa nimepata funguo.
huu ndo ukawa mwanzo wa penzi letu,japo majamaa yalikuwa yanakuja kugonga ila nilijua part yangu ni ipi,baadae nikarudi chuo, tuliendelea kuwasiliana mpaka paale alipoolewa.nimekumis sana war.... na uno lako,
nb;hii ilitokea kipindi sjaokoka ,saivi siwezi kuzini hahaaaa
 
JANA NIMEMLA MKE MTARAJIWA WA RAFIKI YANGU KIMASIHARA BAADA YA KUSOMA UZI HUU NIKAAPLY MAUJANJA YA WADAU;
Ebhana kuna dada mmoja alikuwa anakuja sana office ambayo kwayo ndipo mimi ninahudumu sasa tukawa tunasalimiana alafu basi mm huwa sio mtu wa kuwaangalia wanawake sijaumbwa tu hivyo ila sio kwamba sipendi mm jicho moja tu siangalii mara mbili.
Ni zaidi ya miaka mitatu anatembelea office yetu kwa huduma zake sasa kuna rafiki yangu katokea kumpenda ni mtoto wa Kiarabu sasa jamaa yangu akatangaza nia but awali hakuwa na mazoea naye n alikuwa anamhofia siunajua waburushi wanavyojisikia.
Nikamuombea namba sasa bhana wakapanga wasifanye chochote mpaka ndoa na ndoa ni tar 12 Mwezi wa nane mwaka huu.
Huyu swaiba yangu ni muislamu na huyo mwarabu vilevile sasa ramadhani yote wanajifanya eti hawaonani ila jamaa anatumia eti mm nimsalimie jamani.
Mimi mzee wa mizigo ya Sheikh kipozeo huyu mwarabu ni size ya kati na mara zote sasa bhana huyu mwamba haisi kujifariji kwa kumsifia mara eeh rangi adimu mara kabinuka si ikabidi na mm nimwangalie vizuri alipokuja tena.

Nikamtania shemeji hatimaye nimewaunganisha katka mema na mnafunga ndoa soon nitafutie zawadi basi huku nikijichekesha
Akasema usijali utapata zawadi shem wangu uchague tu huku nikimcheki shingoni ninaona mapigo yake ya moyo yakienda kasi sana ilw paah paaah paah ya fasta.
As a medical personel nikajua huyu kashajaa nikamwambia zawadi yenyewe ni ww ila chondechonde usimwambie rafiki yangu akasema kwa aibu sawa ila tutaongea mm sikukubali tuongee baadae baada ya shetan kumtoka nikamkazia kabisa kuwa tuongee kabisa na prome me iwe siri yangu mm na ww.
Akasema sawa nikamwambia lini sasa akasema tufanye jumamosi asbh nikasema poa ila jumamosi nikabanwa sana na kazi nikasema akizingua basi bhana nikamtext kuwa jmosi haitawezekana nipo bize akasema vp jpili!!
Nikapata mshangao inakuwaje anakuwa na uchu na mm kiasi hiki au kuna mtego nn.
Nikamwambia kuwa j3 coz ninajua swaiba yangu yupo bize so kama kuna mchezo wananichezea sitamwona job ebhana j3 saa3 asbh text kibao vp sasa umenitia minyege kibao shem alafu hutaki kuzishusha nikamwambia panda uber njoo town nikamwelekeza venue kisha alivyofika tu nikampitia pale kwenye ile lodge nikaondoka naye nikaenda kumtafunia nje ya mji mtoto mtamu sana aisee na anatoa mpaka ndogo ila nimeikataa coz sichezi na mavii.

Funzo
Usimtume mtu akutongozee wala usimsifie demu wako kwa marafiki zako hawa viumbe ni dhaifu sana.
Dah ina uma sana jamaa anafeli wapi.
 
Asee hui uzi unashawishi sana, sikufikiria kama ntaandika kisa changu hapa.

MTOTO WA MWANAJESHI.

Miaka kadhaa nikiwa Advance (Uboizini), nilikua naishi kwa Kaka angu (mjeda) tena alikua msela msela tu, yaani hakuwa na mambo ya kiutu -uzima.

Nilikua boarding lakini kila weekend niko nyumbani. Nilikua mtoro hadi nikapewa jina 'mwenye shule'. Sasa pale jeshini nilikua na washkaji zangu 'watoto wa kota'. Mmoja akawa ananipaga details za wachumba.

Siku moja akaja akanipa namba za manzi mmoja (mtoto wa kota pia). Akanipa jina na short details zake. Nikampigia hapohapo nikamuomba appointment. Akaanza ooh sikutani na watu nisiowajua na blah! blah!. Nikampanga akakubali tuonane kwao jioni. Mida ya saa 2 nikatimba kwao, ati nikaanza kumtongoza na ndo siku ya kwanza namuona.

Akaniambia niende atanipa jibu kwa txt, narudi geto akajibu kakubali. Daah nikikumbuka nachekaga sana.

Huyu manzi alikua form four leaver lakini hakuendelea hivyo aliajiriwa kwenye duka flan wanauza Vyupi na nguo nyingine za ndani.

MTU KULIWA.

Kwakua anarudi usiku kutoka kazini, nionane nae akitoka. Weekend ilofuata nilitoroka alhamisi badala ya ijumaa niliyoizoea.

Siku hiyo manzi akaniita kwao, Nikakoki mwenyewe nikaenda. Akanipa direction chumba cha kuingia nikifika. Nilipokaribia akazima taa za nje ili nisionekane. Nikazama mwenyewe hadi ndani.

Kumbe chumba anacholala kinapakana na cha wazazi wake. Nikiwa mle nikawa naskia sauti ya mzee wake akiwa anaongea na mkewe.

Manzi alikua na ny**g hatari. Akanivua taritubu nguo akaficha uvunguni. Nikaanza kula mzigo taaratiibuuuu, wakati huo manzi anajikaza kinyama asitoe sauti. Na alikua anapenda nikwende Uvinza kila saa.

Nilit*mb wee nlivomaliza nikaondoka. Kesho yake nikampa msela stori hakuamini hata kidogo.

Ikawa kila weekend najilia vitu vyangu wakati huo masela nliowacha shule wanaNyetoka. Na sijawahi pata manzi fundi kama yule. Maana alikua anafanya vitu so vya nchi hii. Vya ughaibuni huko.

Baadae sana nikaja kujua kuwa yule manzi alinizidi age sema alikua na mwili mdogo. Mdogo wake ndo alikua makamo yangu. Tulikua tunasakata kabumbu na mdogo ake pale jeshini.

Natafakirigi siku ile Mzee wake angenikuta kwa binti yake sijui angenifanya nini.
BASTOLA TU
 
NJISI NILIVYOMLA KIMASIHARA MPANGAJI MWENZAGU
Nakumbuka ilikuwa mwezi wa 12,mwaka 2016 niliomba kufanya field ya miezi 3 moro,sikuwa na mwenyezi yoyote hivyo basi ilinilazima nichukue chumba KHD,karibu na campus ya sua,baada ya chumba nilinunua mahitaji ya mhimu,godoro na kitanda nilipatiwa na mama mwenye nyumba,alikuwa single maza mwanae alikuwa anasoma Dsm kidato cha 2,
kwenye hiyo nyumba kulikuwepo na mpangaji mwenzangu wa kike,binti wa kihaya ,mweusi,sura ya kawaida tu lakini ana mzigo balaa,alikuwa anafanya kazi ya stationary.
baada ya kama wiki 2 hivi tukaanza kuzoeana na kubadilishana mawavo,nilikundua kuwa ananizidi miaka 3,pia pale geto kwake wageni wa kiume walikuwa wengi saana.yaan alikuwa anabadilisha sana wanaume hali iliyonifanya nisiwe na hisia nae za kimapenzi licha ya umbo lake kunivutia.
Alikuwa anaishi maisha mazuri sana,kuanzia mavaji mpaka vyakula anavyokula,per day kuspend elfu 30 ilikuwa kawaida sana,baada ya kumsoma saikolojia yake nikagundua ni money oriented na haamini katika love ok,nikaishi nae tu kibingwa
Siku moja aliniomba bioline HIV test ajipime yeye mwenyewe,aisee mwanzoni moyo ulisita kabisa,niliwaza akikuta majibu ni POS nani atakaempa ushauri?niliona kwa maisha anayoishi yupo kwenye risks sana,nikasema anyway nikampa,baada ya dakika 20 akaniletea ile kit nimsaidie kusoma,majibu yalikuwa negative,kuona vile nikajisemea moyoni huyu lazima aliwe ki FBI.
Nikaanza kupanga mipango,mpango wa kwanza niliopanga ni yeye kuniamini ,yaani nilikuwa mwanminifu sana kwake hivyo aliniona innocent boy,haaa baada ya muda akaanza kuniambia siri zake za ndani ikiwemo masuala kugegedana nikasema yes nimefanikiwa.
Mpango wa pili ni namna ya kumgegedaukizingatia yeye alikuwa mkubwa zaidi yangu ,baada ya kuwaza sana nikabuni mbinu,mbinu yenyewe ilikuwa ikifika usiku nijifanye nimepoteza ufunguo wa chumba changu,nilijua tu lazima angenikaribisha chumbani kwake,baasi kesho yake nakumbuka ilikuwa j2 mida ya saa 3,mama mwenye nyumba hakuwepo,ilipofika night nikaficha funguo nikamwambia jirani yangu akasema nisijari atanihifadhi kwake mpaka kutakapokucha ili nitafute fundi asubuhi.,kimoyo moyo nilifurahi kinyama,mara nikakaribishwa ndani akaanza kunifanyia orientatiom mle ndani,sehem ya kulala na bafu la ndani.baadae akanipa elf10 nikanunue chipis,tukala,
Muda wa kulala ukafika akanipa shuka nijifunike ili nisimuone wakati anasaula nguo,ni kweli nilijifunika mwili mzima mpaka kichwani,nikaacha sehemu ndogo nikawa nampiga chabo,wakati anavua alikuwa amegeukia kioo bila kujua nikawa namuona taswira yake kupitia kile kioo,ahhhh baadae akagundua akacheka kwa mahaba then akaniambia na yeye anataka anichungulie nikamwambia nikamwambie aje tu nipo tayari,akaja on bed,aisee mapigo ya moyo yalienda kasi sana,alikuwa na mzigo wa maana afu kiuno kama nyigu kiunoni alivaa shanga chache,hapo mimi nishavua kila kitu,akanisogelea akanishika videvu vyangu ,then akashusha kidogo mpaka kwenye dushe ,alivyozidi kushika ndivyo dushe ilizidi kuvimba,nikajiongeza nikamvuta kiuno,piga denda kwa dakika kadhaa baadae nikahamia kenye masikio nyonya sana akaanza kucheka ,nikashuka kidogo kwenye nipples na kuzing'ata taratibu mtoto hoii,nikahamia uvinza kudeki bahari,pandisha shusha ulimi,ingiza na kutoa ulimi,then nikaanza kudili na kiharage nyonya sana ,huku kidole kimoja nikizamisha na kutoa kwenye k,mtoto akaanza kunyesha mvua sio mchezo nikasema sio kesi,condom zilikuwepo lakini sikuvaa,nikatomb... sana hata nikahisi joto limepanda maeneo hayo,nikajipigia bao langu safi ndani,baadae tukaenda kuoga ,sasa muda wa kumsungua ngongo dushe likasimama tena nikambendisha na kupiga doggy styl aisee alikuwa na tak kubwa halau laini,tukarudi on bed nikapiga kimoko tena,mtoto akadai amechoka tutaendelea asubuhi,bwana wewe ilipofika saa 10 usiku dushe likasimama tena wakati nipo usingizini nikaamka,na kuanza kumuandaa upya ,mwanzo alijifanya kama amelala lakini akaanza kuonesha ushirikiano,nikapiga viwili tena,
tukapitiwa usingizi ,nakuja kusituka saa 3 asubuhi nikamwamsha mtoto anacheka tu na kufurahi,nikatoka nije kujifanya kama naitafuta funguo,nikafungua geto langu baadae nikamjulisha kuwa nimepata funguo.
huu ndo ukawa mwanzo wa penzi letu,japo majamaa yalikuwa yanakuja kugonga ila nilijua part yangu ni ipi,baadae nikarudi chuo, tuliendelea kuwasiliana mpaka paale alipoolewa.nimekumis sana war.... na uno lako,
nb;hii ilitokea kipindi sjaokoka ,saivi siwezi kuzini hahaaaa
Hapo uliliwa kimasihara chief,hiyo kutaka ajipime HIV ilikuwa Ni kutaka kukujulisha kuwa yeye Ni mzazi na u can *** her ukitaka

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom