Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Nilivyomaliza kidato cha nne nikarudi kijijini kwetu huku nikisikilizia matokeo, kuna binti mmoja nilikuwa namkubali sana baba yake kimazoe mazoea namuita kaka kwahiyo pale nyumbani kwao huwa naenda sana, yule binti kila nikimuimbisha naona hataki kuelewa nikaona isiwe shida nikaachana nae.

Baada ya matokeo kutoka yakiwa poa nikaenda shule, bahati mbaya bi mkubwa nae akafariki hivyo kule kijijini ikawa nadra sana kurudi, kila ikifika likizo basi nakuja dar, yule binti ikawa imepita miaka zaidi ya 10 sijamuona.

siku moja nipo mitaani huku dar nikaona simu yangu inaita na ni namba mpya, kipindi hicho nilikuwa mwingi sana hivyo sikuwa napokea namba mpya kizembe zembe, nikaacha ikaiita hadi ikakata kisha nikaangalia jina iliyosajiliwa nikaona silifahamu.

Nikapiga nikasikia sauti ya kike kuuliza we nani? akajibu mimi H, nikamuuliza H gani ?akasema H wa fundi M akataja na kijiji chetu , nikashangaa nikamuuliza umeota nimekufa au? akasema hapana nimekukumbuka tu, mhh baada ya miaka zaidi ya 10.

cha kushangaza yeye anapoishi ndo kituo ninacho shukia nikitoka job ila sikuwahi kumuona, basi akaniambia yeye yupo tu kama nikitaka kumuona nimwambie, nikamwambie kesho tutaonana akasema poa, nikamuuliza mumeo vipi au hajaolewa akasema ameolewa ila mume wake anarudi job saa 2 usiku.

Siku ya pili tukakutana , nikamuuliza ungependa tukae maeneo gani? akanitupia mpira mimi, basi huyo nikaongoza hadi nyumba ya wageni nikajua atasita ila nikamuona ananifuata tu.

kufika ndani story mbili tatu, nikampeleka mdomo akaupokea,tukalana mate sana,chezea sana kisha nikashtua kimoja kwanza, tukaenda kuoga baada ya hapo nilimkula hadi saa moja tukaagana. Baada ya hapo alikuwa anakuja mzima mzima nikaona hapana nika m block mana nikawa namuonea huruma mumewe japo sikuwa namjua
[emoji23][emoji23][emoji23] wake za watu sumu
 
KUMLA KIMASIHARA MAMA WA MWANAFUNZI WANGU.

Baada ya kumaliza Chuo Kikuu nilibahatika kupata shule ya kujishikiza huku nikisubiri kupata ajira ya Serikali kama ilivyo kwa wahitimu wengi ambao hatuna akili za ubunifu. Elimu ya Tanzania, haichechemui, Wala kuamsha ari ya ubunifu wa kujiari.

Unaanza primary na Kinjekitile Ngwale na unamaliza form Six na Kinjekitile Ngwale, Chuo kikuu bado unamsoma kinjekitile Ngwale ili akusaidie kujikomboa kimaisha. Mawazo ni kuajiriwa tu. Ndo maana hata Mawaziri wanalia, na kujipendekeza ili wateuliwe upya, kwa sababu maarifa mengine nje ya siasa ni hayapo. Tumezoea kunyonga, kuchinja ni ngumu.

Anyway, nikiwa pale shuleni bahati nzuri nikapewa Ofisi. Ofisi ambayo Mzazi Kama kweli umeleta mtoto wako kwa ajili ya kusoma, lazima unifahamu au ukija shuleni lazima upite ofisini kwangu. Kama umefika shuleni na hujapita kwangu maana yake, umemleta mwanao kufuta ubao.

Hii ofisi ukweli ilinipa umaarufu Mkubwa.Hadi nikaanza kukumbuka nyimbo ya Prof J, jina langu linavuma kwenye mitaa, wengine nawajua, wengine siwatambui, jina langu. Lugumya tunakuzimia, jina langu. Katika ofisi hii ndo nikagundua kuwa kisigino hakivaliwi mbele, na kwamba ni ngumu kukuta mfupa kwenye mshikaki, labda Mara kwa sababu ya ujasiri wao.

Ilikuwa ni blue Monday, lilipokuja gari aina ya PRADO shuleni, na akashuka dada mmoja mzuri Sana. Sikuwa na namfahamu. Aliingia kwa Headmaster, baada ya muda Headmaster alimleta ofisini kwangu. Akanitambulisha, akatia na mbwembwe kwa kumwambia huyo ndo mwenye shule Sasa. Bila huyo (Lugumya), hii Taasisi haina maana. Wakati hayo yanaendelea mimi nilikuwa natabasamu, nikitamani nimtunuku Headmaster PhD ya Heshima, kama ile ya Jakaya.

Wakati wanaingia nilisimama, kwa heshima kubwa. Nikatabasamu, nikawaambia karibuni kwa unyenyekevu Mkubwa zaidi ya ule wa Lijualikali, alipokuwa akimwomba namba spika ili akipige Chama la Wana. Hivyo baada ya utambulisho, Headmaster aliondoka, na kutuacha na yule dada mzuri.

Nilimkaribisha upya, nikamuomba akae kwenye kiti Cha Wageni, yale mabenchi ya special ya chuma Kama ya benki. Alikaa akasema ahsante. Nilikuwa naandaa notisi zangu kwenye desk top computer ya Ofisi, ikabidi niache nikaenda kukaa nae kwenye benchi la Wageni, ili nisimsumbue mteja wangu mzuri kuongea kwa sauti kubwa. Nilionyesha kujali Sana, hapo hapo nikamtumia meseji muuza duka la shule alete mirinda nyeusi. Fasta imeshakuja, ikafunguliwa.

Mara mdada wa Watu anaanza, mmmh jamani. Nikamwambia usijali. Karibu dada, feel at home. Nyie ndo wateja wetu, na nyie ndo waajiri wetu. Jisikie huru na tarajia kheri. Karibu nikuhudumie Sister.

Akasema ahsante, na kunishukuru kwa ukarimu wangu. Akaniuliza Maendeleo ya mwanae, nikampa kwa kutoa kichwani, ili ionekane niko nae karibu, kumbe wapi? Nitakariri Wanafunzi 1000+ nimekuwa Magufuli kwenye kilometa za barabara?. Hahaha wapi thubutu. We are here for season. Japo ukweli ndo lilikuwa jukumu langu.

Baada ya kumweleza Maendeleo ya mwanae kwa ufasaha, alifurahi Sana. Nikampa mkono, akanipa mkono. Tukatizamana usoni kwa tabasamu. Akasema ahsante Mwalimu. Nami nikamwambia ahsante, mama.....! Tukaachiana mikono, nikarudi kwenye kiti changu kuendelea na maandaliz ya notisi zangu.

Nilivoinuka, akanambia Mwl umependeza. Ukweli siku hiyo nilikuwa nimevaa mchongoko, suruali ya model, na koti single button, na tai. Shortly nilivaa suti( ila si kama ile inayomweka Idrisa Sultan ndani, msije mkasema wasukuma ndiyo swaga zetu). Nikamashukuru, nikamwambia mi niliogopa kumsifia, lakini kwa kuwa ameanza, basi ngoja nimpe sifa zake. Nikampa, za kweli na za uongo! Kwani shilingi Wajumbe! Ukweli niliona anafurah, akaanza kurudisha nywele zake nyuma, huku meno ya mbele yakionekana.

Huyu dada alikaa ofisini Kwangu, saa mbili, tumehama Hadi kwenye topic, mi kazi kumchekesha tu. Baadae akasema Mwl! Nikasema Yes, you have made my day. Nikasema ahsante, lakini hata wewe umeasha ari yangu ya kufanya kazi. Ahsante kwa busara na uchangamfu wako.

Aliniachia elfu 20,000 akanambia, pliz take care of my daughter! Nikamwambia, mama....keep your memory out of worries, am here for you and you alone. Akasema thank you! Bye Sir! Bye Madam. Nikaamka kumsindikiza, oooh, your number pliz? Nikamtajia. Akaandika. Tukaenda Hadi kwenye gari lake, akaingia akaondoka. Nikarudi ofisini.


JIONI MIDA YA SAA KUMI.

Nilipokea sms kutoka kwake. Akajitambulisha. Okay, tukachati. Akanambia kwani unakaa wapi? Nikamwabia Mtaa, kumbe hata yeye ni mtaa wa Jirani. Basi akanambia anapfahamu hadi hiyo nyumba ninayokaa. Na mm akanielekeza anapokaa, nikapafahamu. Nikamwambia bado nipo naweka Mambo yangu sawa, saa kumi na mbili nitakuwa home. Akanambia powa, bye Sir. Nami Bye!


SAA MOJA NA NUSU USIKU.

Sms iliingia, Sir umesharudi, nikamwambia ndiyo. Nipo Madam. Akanambia pouw. Nikatulia nikimalizia kuangalia taarifa ya Habari Chanel 10. Mara sms, niko hapa nje. Duuh, nikaenda kumfuata, nikaingia nae getho. Kichwani, Wimbo wa matonya, ukawa uniijia, siamini macho yangu, Kama Leo umekuwa wanguuu, siamini fikra zangu, Kama leo ndo....moyo wangu. Mtoto mzuri kuwaacha wenye gari na mapesa, ukaamua kuja kwangu kunilizaa, yayayayayah.

Mara ya Moto band, na Kisima Cha Kijiji nikiwekee uziooo, najua wanipenda, Mimi mwana wa mwenzioo. Manyimbo mengi mengi yalikuja. Nikamwambia karibu madame, akasema ahsante. Soda gani, akasema Kama ya shuleni. Hahahaha, nikaifata, nikanunua kabisa na Kondom huko huko, nilivoingia nikafunga na mlango, nisikie anavyosema. She was silent utafikir kapata mkwara wa monitor or monitress juu ya wapiga kelele.

Alikuwa kavalia bonge la kimini. Ananukia balaa. Ukweli akili ilinambia, kaja kwa ajili ya mkuyenge. Hivyo, ilikuwa nitest mitambo tu, then, aliwe.

Soda naona haiendi, nikamfuata kwenye kochi alilokuwa amekaa, nikamsogelea karibu kabisa. Nikamnong'oneza kitu sikioni, lengo likiwa nimpumlie, akijikunja nimlambe sikioni. Kweli nikafanikiwa. Nikazungusha mkono, kuelekea kwenye ziwa Turkana, nikashika kwa juu, kidogo nikashusha kwenye band ya chuchu sound. Naona anajikunja kunja tu. Akanambia naomba nimalizie soda yangu kwanza basi. Sikumpa hiyo nafasi.

Nikapeka mdomo nikapiga denda, akatoa ushirikiano zaidi ya ule wa Kenya na Tanzania kwenye mpaka wa Namanga, na Kule Tanga. Dada alikuwa mzoefu hatari, tukachezeana, hadi nikapizi sijaweka. Sikukoma kumchezea niliendelea, kumchezea na yeye hakutaka kushindwa. Ilikuwa ni mchuano mkali zaidi ya ule wa Trump na China kwenye vita vya Covid-19.

Mara kitu, simama dedeee, nikupe mkateee. Naona Kama ameshakojoa, nikaweka kitandani kula balanced diet. Mtoto anacheua tu. Saa nne yupo geto, kipindi tunaendelea na shughuli Mara kitanda changu sijuii zile chaga zilikuwaje wajumbe wangu wa Kikao, nilishtukia tu chini putuuuuu! Yaani kwa nguvu! Hadi nikasikia mpangaji mwenzangu nje anasema teacher polepole.

Ghafla mwenye nyumba, akaja dirishani, anasema teacher, umekuaje? Nikamwambia nilikuwa napanga madumu moja ndo limeanguka. Akanambia, dogo hata sisi tulipita huko. Kama unaona show zako ni za kiwango Cha Lami tafuta kitanda Cha chuma. Hahahahah, show ikaishia palepale, akavaa, akanyata, nikamtoa. Alivofika akanambia. Tukaagana kwa kicheko kuhusu chaga.

Kesho yake, alinitumia elfu 70, akanambia tengeneza chaga, uweke imara. Kweli nikafanya hivo. Tuliendelea kulana, hadi nilipohama kwenda mkoa mwingine wa mbali. Hatuna mawasiliano Tena.

Sina hakika Kama Kuna kiporo Tena kuliwa, maana Sasa ni miaka takribani 10+.

NB. Mtoto wake alifaulu kuendelea na form V hapo nikajiongezea credit.


Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka takriban 10+ na wimbo wa Yamoto!!?? Mmmhhh interesting
 
Kuna story humu Hadi unamaliza kusoma mkuyenge upo Dede Sasa nilikuwa najihisi labda na tatizo Ila nimekuja kugundua humu kila mtu anadindisha Hadi MODS humu Wana Hali mbaya Sana!!!
Mods [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kumekucha jamani.
Kuna jirani yangu hapa huwa anajipitisha pitisha sana nikikaa nje na mimi sina story.
Sasa hivi amepita anaenda dukani, nimempa hela akaninulie kondom.
Akirudi atanikuta ndani, akiingia kunikabidhi ndio hivyo tena hakuna namna nyingine. Siku hizi hakuna kutumia nguvu ni masihala tu yanatosha
 
Kula tunda kimsihara unaweza dhani haitokei au labda inatokea kwa maajabu, lkn matunda yanaliwa Sana.

Jana Kuna dada alinipigia kwa simu ya kazin kwao kwa mambo ya kikaz. Simu sikuipokea nilikuta missed call, akaacha ujumbe. Baadae nikaanza kumjibu.

Mwisho wa picha nikauliza HII SIMU NI YAKO AU YA OFISI? akajibu YA OFISI. KWANINI UNAULIZA? nikamwambia nauliza kwa sababu najitaji mawasiliano na ww, lkn Kama uko single Kama Mimi.

Akajibu "Aaah, KUMBE wewe unapenda walio single?? haya namb hii hapa 074............."

Leo nimelala nae usiku kucha
 
Kuna story humu Hadi unamaliza kusoma mkuyenge upo Dede Sasa nilikuwa najihisi labda na tatizo Ila nimekuja kugundua humu kila mtu anadindisha Hadi MODS humu Wana Hali mbaya Sana!!!

Utakula za uso Mkuu mhuri25 hadi mods[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kumekucha jamani.
Kuna jirani yangu hapa huwa anajipitisha pitisha sana nikikaa nje na mimi sina story.
Sasa hivi amepita anaenda dukani, nimempa hela akaninulie kondom.
Akirudi atanikuta ndani, akiingia kunikabidhi ndio hivyo tena hakuna namna nyingine. Siku hizi hakuna kutumia nguvu ni masihala tu yanatosha
Hawa watu ukijifanya Messi huwapati, wee kuwa tu Kama Chicharito, utafumania nyavu Hadi waanze kukuita Pele wa Kiafrika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dem
Kumekucha jamani.
Kuna jirani yangu hapa huwa anajipitisha pitisha sana nikikaa nje na mimi sina story.
Sasa hivi amepita anaenda dukani, nimempa hela akaninulie kondom.
Akirudi atanikuta ndani, akiingia kunikabidhi ndio hivyo tena hakuna namna nyingine. Siku hizi hakuna kutumia nguvu ni masihala tu yanatosha
Demu karudi kaniletea ndomu nikamwambia pita ndani. Kuingia ndani anakibidhi mzigo wako huo,
Nikamwambia mzigo huu wetu wote, akaanza oooo wote na nani.
Nikamwambia si wewe jirani akadai sitaki ukitaka siku nyingine.
Nikamwambia tatizo hizi zikilala zinachacha, kicheko.
Akasema kwanza sitaki ukinot.mba leo utakuwa umenipata kirahisi sana au unanidharau.
Nikamwambia jirani wewe ni mtu unaeheshimika kama malikia Elizabeth. Sasa ili isionekane nimekupata kirahisi subiri.
Nikaingia ndani nikatoka na chapi 3, nikamwambia zivae hizi pamoja na uliyovaa ziwe 4 ili nipate tabu ya kuzivua na niwe nikupata kwa tabu.
Akacheka sana akaniambia we jirani chizi kweli mi nilikuwa nakuona mtu wa maana kumbe hamna kitu, kwanza una uhakika kama nimevaa chupi, nikamwambia sina hakika hebu nihakikishe nikapeleka mkono kunako kazi ikaanza refa kapuliza kipyenga. Nimempiga kimoja cha fasta kaondoka
Sometimes unajifanya chizi unakula kimasihara. YADUMU MASIHARA
 
Kula tunda kimsihara unaweza dhani haitokei au labda inatokea kwa maajabu, lkn matunda yanaliwa Sana.

Jana Kuna dada alinipigia kwa simu ya kazin kwao kwa mambo ya kikaz. Simu sikuipokea nilikuta missed call, akaacha ujumbe. Baadae nikaanza kumjibu.

Mwisho wa picha nikauliza HII SIMU NI YAKO AU YA OFISI? akajibu YA OFISI. KWANINI UNAULIZA? nikamwambia nauliza kwa sababu najitaji mawasiliano na ww, lkn Kama uko single Kama Mimi.

Akajibu "Aaah, KUMBE wewe unapenda walio single?? haya namb hii hapa 074............."

Leo nimelala nae usiku kucha
Hahahahaj hii ipo kibabe saana dah
 
Dem
Demu karudi kaniletea ndomu nikamwambia pita ndani. Kuingia ndani anakibidhi mzigo wako huo,
Nikamwambia mzigo huu wetu wote, akaanza oooo wote na nani.
Nikamwambia si wewe jirani akadai sitaki ukitaka siku nyingine.
Nikamwambia tatizo hizi zikilala zinachacha, kicheko.
Akasema kwanza sitaki ukinot.mba leo utakuwa umenipata kirahisi sana au unanidharau.
Nikamwambia jirani wewe ni mtu unaeheshimika kama malikia Elizabeth. Sasa ili isionekane nimekupata kirahisi subiri.
Nikaingia ndani nikatoka na chapi 3, nikamwambia zivae hizi pamoja na uliyovaa ziwe 4 ili nipate tabu ya kuzivua na niwe nikupata kwa tabu.
Akacheka sana akaniambia we jirani chizi kweli mi nilikuwa nakuona mtu wa maana kumbe hamna kitu, kwanza una uhakika kama nimevaa chupi, nikamwambia sina hakika hebu nihakikishe nikapeleka mkono kunako kazi ikaanza refa kapuliza kipyenga. Nimempiga kimoja cha fasta kaondoka
Sometimes unajifanya chizi unakula kimasihara. YADUMU MASIHARA
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ila watu....
 
Kuna story humu Hadi unamaliza kusoma mkuyenge upo Dede Sasa nilikuwa najihisi labda na tatizo Ila nimekuja kugundua humu kila mtu anadindisha Hadi MODS humu Wana Hali mbaya Sana!!!
Utakula ban mkuu...shauri yako
 
Dem
Demu karudi kaniletea ndomu nikamwambia pita ndani. Kuingia ndani anakibidhi mzigo wako huo,
Nikamwambia mzigo huu wetu wote, akaanza oooo wote na nani.
Nikamwambia si wewe jirani akadai sitaki ukitaka siku nyingine.
Nikamwambia tatizo hizi zikilala zinachacha, kicheko.
Akasema kwanza sitaki ukinot.mba leo utakuwa umenipata kirahisi sana au unanidharau.
Nikamwambia jirani wewe ni mtu unaeheshimika kama malikia Elizabeth. Sasa ili isionekane nimekupata kirahisi subiri.
Nikaingia ndani nikatoka na chapi 3, nikamwambia zivae hizi pamoja na uliyovaa ziwe 4 ili nipate tabu ya kuzivua na niwe nikupata kwa tabu.
Akacheka sana akaniambia we jirani chizi kweli mi nilikuwa nakuona mtu wa maana kumbe hamna kitu, kwanza una uhakika kama nimevaa chupi, nikamwambia sina hakika hebu nihakikishe nikapeleka mkono kunako kazi ikaanza refa kapuliza kipyenga. Nimempiga kimoja cha fasta kaondoka
Sometimes unajifanya chizi unakula kimasihara. YADUMU MASIHARA
da we fala kweli ulijitoa akili[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom