Kuna siku niko round round nikakutana na mdada umbe lake lilinivutia kwa nyuma.
Mwemba hana chura kihivyo ila figure yake nzuri. Niliogopa kumsemesha kwa kuwa nilihisi mke wa mtu kwa alikuwa anatembea mdogo mdogo mbele ya nyumba nyumba. Mi nikampita nikaenda zangu. Ghafla kuna jamaa akanipigia simu nimesimama naongea na simu akanipita, naondoa pikipiki akaniomba lift kumbe si mkazi wa maeneo yale. Nikachukua namba yake ila ilikuwa mida ya mfungo nikampotezea, unajua tena mida ile huchelewi kudaiwa nguo ya sikukuu.
Leo nimvutia waya ananilaumu siku zote nilikuwa kimya.
Mi nilichofanya nikaomba msamasahama namba niliisevu vibaya, nikamwambia jioni nakuja kukufata tuje tusheherekee idd yetu, akaniuliuliza kwa hiyo nilale huko huko. Na mi nikamuuliza kwani umesikia mi nalala nje, akajibu sijui nimemwembia utakuja kupaona nnapolala. Hapa nipo na robi kila ya karanga, tende, kweme, nazi na mihogo mibichi nasubiri saa 12 jioni nikachukue mzigo kimasihara
Hawa mademu ukijifanya mr love,au mapenzi ya Romeo na Julieth utaishia kuliwa vyako tu badala ya kula tunda