Daah!, Umenivunja mbavu kijana. Amaa kweli, jamiiforum ni sehemu nzuri sana ya kutibu msongo wa mawazo.Joto la mapenzi haliwezi kumuacha virus wa covid salama. Cha kuzingatia zima AC/Feni kama ipo. Jitume shughulika kama hutashughulika tena!!!! chemsha mwili, acha uvivu..... team magogo mpooo