Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,996
- 11,885
Either wewe ni mshamba ama hii ni chai.Hoy hoy hoy.....Kanuni yangu ya kiitelijensia nikiwa dar huwa nakaa hotel moja tu sinza (jina kapuni - ina gorofa saba). Sasa sk hiyo nimetoka mjini kati mimerudi nimeoga nikajilaza ktandani na kumkaribisha lucifer kichwani. Kwenye saa moja hivi nataka maji sm ya room mbovu ikabidi nidondoke mwenyewe restaurant. Basi maji nimepata ile naelekea kwenye lifti nirudi room (floor ya 3) jicho linatua kwa dem kasimama mapokezi anazoza na mhudumu wa reception mwana kanizoea sana. Dem bomba ni wale black beauty kalamba skin tight, sketi fupi na ndala za hotel. Mteja huyu alidondoka chini kwa mishe zake kama mie.
Sasa kichwani lucifer ananambia we zuga ili yule akimalizana na mapokezi kama anarudi vyumbani utimbe nae kwenye lifti. Bas nikazugazuga pale mapokezi sekunde kadhaa mara dem akaelekea kwenye lifti na mm huyo. Bas Mungu ni PATIGOO dem huyu hapa kwenye lifti na tupo wawili tu. Lifti ikaja nikabonyeza mlango unafunguka na mm hapo hapo nikatoa neno kwa yule dem. Kichwani kwangu lucifer ananiambia inabidi nimsomeshe yule dem haraka iwezekanavyo sababu ile hotel ina CCTV pale mapokezi na sk hiyo mama meneja alikuwepo recetion kakaa anapitia mahesabu.
Sasa nikaona yule meneja akigundua nawinda wateja kihasara inaweza niharibia CV yangu pale hotelini (pale hata nikiamka saa tano napewa chai binafsi na kwenye parking ya gari nahudumiwa vzr. Kwa maana hiyo suala la kutongozea corridor isingewezekana.
Basi ile dem yupo ndani ya lifti mi nikabonyeza na kukamatia kitufe cha lifti ili isipande huku sie tukiwa ndani. Nikamsifa yule dem akacheka, nikamuuliza yupo floor ipi akasema ya 5. Nikamuuliza yupo na nani akasema alone. Nikamwambia napenda kuongea nae ila si kwenye corridor wana CCTV. Akatema digits nika save nikambeep. Hapo ndio nikaachia lifti ipande nikabonyeza gorofa ya 7 ili kuvuta muda tena wakati inapanda ili tukifika juu turudi tena chini yeye ashuke ya 5 mi niende ya 3. Da..lucifer ananipiga tena assist wakati tunapanda hakuna aliebonyeza so tukabaki wawili mle ndani. Nikaamuliza kaja lini (jibu siku hiyo hiyo) katokea wapi ( jibu arusha, kabila mmeru) kazi ( biashara ). Upande wangu nikajitanbulisha na kusisitiza pale hotel mi mteja wananijua sana. Hii ilinisaidia ye kujua mi mtu wa heshma. Basi kila mtu akashuka na kwenda room yake. Kufika room nika mu add whatsap baada ya muda kdg tukaanza ku chati. Nikambana aje room kwangu akagoma akasema kama mm naogopa CCTV mbona yeye simjali? Ye sio changu. Basi lucifer akanipa mbinu nikamwambia dem mi naacha chumba wazi halafu naenda mapokezi kuzuga nao pale wasiangalie CCTV halaf namtumia message azame room. Akakubali. Nikashuka, meneja yupo nikalalamika simu kwenye room yangu haifanyi kazi. Wakati nazuga na lawama nikam text dem aende room kwangu. Halafu nikamuuliza unakunywa nini? (Jibu - serengeti light). Dk sifuri akani text "nimefika". Basi mapokezi wakasema sm kutengeneza hadi kesho yake. Nikaibuka restaurant nikanunua vinjwaji, nikapanda room. Kufika dem huyu hapa kwenye kochi anacheza na sm. Nikafungua vinywaji. Dem akaniambia inabidi aondoke saa tatu ana dinner na ma shosti na anasafiri kesho yake asbh. Nilipoona sina muda nikamwomba hapo hapo anipe kimoja cha afya. Anazuga nikamsogelea nikanyaka kifua ngumi ya tyson luke fury (ila dem hana mtoto). Nikamchojoa, shuka chini ya kitovu, chezea koumerr, chukua ndomu, zama ndani. Tukamaliza single nikaenda kum drop kwa mashosti zake wakimsubiri samaki×2 mlimani city. Mi nikazama bar moja inajaa sana inatazamana na mlimani city upande wa sam nujoma rd. Yule dem kwa TBS yangu nilimpa B+ ila alikuwa msafi sana maana usk ule nilirudi na mwingine hakushtukia pale wembley mechi ilishachezwa. Huyu wa pili nilipiga hat trick. Yule mmeru mpaka leo tuna chat.
Hivi inawezekana je uogope kutongoza demu hotelini kisa CCTV wakati na wewe ni mgeni. Au wewe ni mhudumu hutaki kusema?
Pili una ubavu wa kuleta changu hotelini usiogope CCTV lakini uogope mgeni wa hoteli
God save us