Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kiuhalisia kwenda muda mrefu ukiwa juu ya kifua ni mapungufu kama ilivyo kwenda kwa sekunde. Na mimi si kwamba kwa huo muda wa kuanzia dakika 20-40 au hata zaidi sipigi bao. Bao linapigwa ila sio lile tamu la kubana makalio na misuli ya mwili na hapa ndio penye mechanism ya kulast long ukiwa umepiga bao na ukaendelea kupiga mechi bila mtarimbo kusinyaa.

Nilikuwa na tatizo la kuwa na mbio fupifupi ila nyingi lakini sikumbuki ilikuwaje nikaanza kutafuta mbinu ya kukaa muda mrefu angalau hata 20 minutes badala ya dakika 10 au 15 nilizokuwa natumia na ndio nikajikuta ninaweza kuamua mwenyewe nitumie dakika ngapi nikisugua mashine kwa bao la kwanza na yanayoendelea.

Iko hivi, bao la kwanza lina speed kwa mtu yeyote unaweza piga bao hata kwa dakika moja. Sasa mimi huwa naruhusu bao litoke lakini nalifanya lisiwe tamu naondoa feeling kabisa kuwa kuna bao linatoka. Na kuruhusu kwenyewe si kwa kukaza misuli au kujikamua kama ilivyo kawaida kwa bao linapotoka. Sasa kwa hapa unaweza pigia nje au sehemu yoyote lakini isiwe ndani ya K. Ukipigia ndani ya k automatically utapata utamu na nguvu za ajabu kumaliza gemu kutokana na utamu, msuguano na joto la ndani ya K na baada ya hapo misuli ya uume italegea tu. Lakini ukipigia nje ya hapo misuli ya mtarimbo haisinyai.

Pia unaporuhusu bao hilo kutoka kwa faida ya muendelezo wa game usiushike uume ili upige bao itakuwa kama unapiga punyeto na hivyo kusababisha kuipata ile feeling ya utamu wa bao na baada ya hapo uume utasinyaa na hutaendeleza game. Jambo la msingi ruhusu bao bila kushika wewe au yule unayemt........ kumbuka nilichosema mwanzo hapo juu, bao hili usilikamue kwa hisia acha litoke naturally na iwe kwa vipande vipande kama unavyobana mkojo ule wa asubuhi unatoka unaacha. Na hili bao inatakiwa uliruhusu kiduchu bana, then kiduchu bana. Tafadhali usiruhusu litoke lote utapoteana. Bao unalopaswa kuruhusu kutoka ni lile kihelele na nafikiri huwa ni majimai yaliyo kwenye prostate gland au kokwa na si kuruhusu wareno wanaotoka kwenye testis then unaendelea na game. Na hapa ndio unapata point ya wale wenye uwezo wa kuunganisha bao hata 4 mpaka 6 bila kushuka na hii huwa naweza fanya ila baada ya hapo huwa siwezi kurudi on top kwa muda mfupi. Huwa inanichukua saa 1-2 au nisiwe na hamu tena ya kuendelea maana nakuwa nimemaliza kila kitu kwa hiyo round moja yenye mishindo mingi.

Na kwa upande mwingine ili ufanikiwe kwenye hili ni lazima ukwepe baadhi ya style kama vile woman on top na ile ya kuinua mguu mmoja, kumbeba mwanamke au nyinginezo zenye friction kali. Kwa hizi hutaweza kujicontrol, lazima wazungu watakuja mapema. Hapa ni lazima utumie style ambazo unacontrol game wewe itakuwa rahisi kucontrol bao linalotoka lisiwe lenye madhara vinginevyo kuna style ukianza nazo huchukui round na ndio maana makahaba waliokubuhu wanacharge pesa kwa bao. Wanajua style ya kukufanya upige bao kwa sekunde chache usimchoshe ili aendelee na biashara.

Kumbuka bao unaloliruhusu ni majimaji machache yanayotoka kwenye prostate gland na sio bao lote halafu unabana unaendelea na game, usishike uume au kushikwa unaporuhusu haka kabao, usiruhusu woman on top style na zingine zenye friction kali, Usitumie nguvu za misuli unaporuhusu bao hili, tena unaweza kojoa kidogo unabana then unarudi kwa game, Usipigie ndani haya mabao mpito kama bado hujajizoeza vizuri ingawa hata ndani inawezekana ila usiingize uume wote unapiga bao hili. Chovyachovya juujuu kichwa mb...na usivuke mabega kama utaweza.

Sina uhakika kama nimeweza kuelezea kwa ufasaha na utaelewa ila ndio hivyo mimi hufanya na mara nyingi huwa 3-5 hata six goals in 1 na baada ya hapo ndio naamua kupumzika. Na mara nyingi naruhusu zamu ya mwanamke kunihudumia na kuonyesha uwezo wake pale ninapoona huu ni muda wa kumaliza na yeye ametosheka na huwa namuambia namaliza kama bado mwendo ni uleule. Akiruhusu tu namuambia go on top do ur things u have darling na kwa speed ya hatari hapo napiga bao langu la mwisho safi.

Nenda kajaribu ukiweza ikikufaa it will good for you Boss!!!



Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee huu mchezo hapo kwenye kubana utoe nje ndio shughuli, lakini wengi wao siku hizi wanapenda kweli hako ka style ka kuwa on top yani friction yake hapo ni chapuuuu wazungu hawa.
 
Na hapo ndipo unapokosea! Usituamini kivipi..? Kuna wengine humu mbona tupo vyema.. si vyema kuhalalisha usemi usemao "samaki mmoja akioza basi wote wameoza"!!

Typically binadamu tunatofautiana, wengine hujitia ufahali ktk mambo haya lkn tupo tunaoheshimu nafasi ya mambo haya!.. tupo wenye kifua na koromeo la kutunza siri ikiambatana na kumaanisha.
Usiweweseke kwa wenge la kimasihara ukatutoa thamani hata sisi tuliowatiifu.
Usiuzurumu moyo kwa maneno ya kimasihara,upe upeo wako nafasi ya kutanabaisha tofauti ya masihara na halali!!
Hata Adam mbona alilishwa tunda kimasihara na Eva..? Lkn pamoja na hilo ni wapi tumekengeuka na kuifuta nafasi yenu..?
Mwili wako ni shahidi tosha kuwa ulivyonavyo ni kile Mimi kama mwanaume navihitaji!! Ila nafasi ya kunipa ipo ktk ufahamu wako!!

Usiogope tupo tusio masihara,tupo tupendao watoto wa kike kwa nafasi zao.. tupo tunaofurahia nafasi ya maumbile bila kuumiza mtima wa mtoto wa kike.
Naona umejimaliza
 
Hapa nipo mkoa fulani nikisubiri usafiri wa kwenda vijijini. Kwa kuwa nina mda wa Massa 2 kusubiri usafiri naomba nitimize ahadi yangu ya kumla boss kimasihara.

Ilikuwa mwaka 2008 nilihamia mkoa X kikazi baada ya mda nikaamua kuacha kazi serikali ni na kujiunga shirika binasfi. Hapo kazini Director alikuwa ni binti wa mmiliki wa kampuni hivyo maamuzi yote alikuwa wanafanya huyo Dada.

Huyu dada kiumri alikuwa ananizidi miaka kama 3. Alikuwa ni mrembo kama member moja humu mrefu mweupe guu la bia na kiuno kama nyigu.

Kufupisha story ili nisiwaboe kwani siko vizuri kwenye uandishi; huyu Director akiweka kanuni kuwa ni mwiko kuwa na mahusiano ya kimapenzi baina yetu ofisini.

Baada ya miezi kadhaa tulipata staff mpya kutoka +254 yule dada alikuwa mzuri uzalendo ukanishinda. Ikabidi nimpe sound mrembo. Alinikubalia ila akawa anaogopa Kwani tulikuwa tumesha taarifa wa kuwa ikibainika kuna staff wana mahusiano kazini itabidi moja aachishwe kazi na moja abaki. Hiyo ilinibidi nimwambie tufanye kwa siri na tukiwa ofisini tusijuane.

Zoezi la kutojuana ofisini lilifanikiwa na binti wa watu alikuwa akikosea kazini nilikuwa namwajibisha utadhani simjui.

Baada ya miezi kama 5 ikaja gundulika kuwa namgegeda huyo mdada. Hili nililisababisha mimi maana kuna story nilisimulia boss akaunganisha vidot. Ilikuwa siku ya jumapili nimejilaza kwenye kochi simu ikaita kuangalia ni boss lady.

Kupokea simu nikasikia, "yaani wewe ni mshenzi kweli kweli mda wote huu ulikuwa una mgegeda N bila kujulikana?

Wewe ni noma"

Sasa hapa mwanaume kiroho kikawa kinanidunda nikijua kuwa nimeshamharibia mkenya wa watu kazi maana kulingana na nafasi niliyokuwa nayo pale kazini nisingeweza kufukuzwa.

Kesho yake ikafika tukiwa ofisini boss lady ajamwambia GM aitishe kikao cha dharula. Hapo mwanaume mapigo ya moyo yanaenda mbio.

Mda wa kikao ulipofika GM akaongea mimi kama Asstant wake sikupewa nafasi. Boss lady akaanza kuongea; kasema anayosema alipotaka kusema juu ya jambo langu pressure ikampanda ikabidi apelekwe kwenye chumba fulani hapo ofisini apumzike.

Kitendo cha boss kupata pressure kilimpa nafasi shetani anishawishi niende huko kumuona boss chumbani na ni weke wazi kuwa nilikuwa namzimikia mda mrefu tu. Nilijitahidi sana lakini nilishindwa kwenda baada ya masaa 2 nikaamua kujilipua; mwanaume nikanyanyuka nikaelekea alipopunzika boss bahati mbaya sijui nzuri nikakutana nae ndio anarudi ofisini. Nikamwambia pole boss vipi shida nini? " akasema yaani wewe nilitaka kuanzisha ishu yako presha ikanipanda; sijui nilipata wapi ujasiri nikajikuta nimemshika mkono akatulia nikamwambia basi kwakuwa ni mda wa kwenda nyumbani nitakuja jioni kukujulia hali. Akakubali.

Ilivyofika jioni kidume nikajisogeza kwa boss kuingia namkuta yuko sebuleni na kanga. Nikakaa tukaanza kupiga story. Mara akamuita dereva akamtuma aende anunue grants na kuku choma (kipindi hicho grants ndio ilikuwa kinywaji changu pendwa ilikuwa inauzwa 17000/=)

Dereva alipoondoka tu kahoro kakaniambia fursakibao tukilimpasa kabla dereva hajarudi. Basi mwanaume nikajisogeza kwa boss nikamshika paja Toto la kinyamwezi likaka kimya nikapeleka mikono kusini nikakuta hakuna kufuli. Hapo ndio nikachizi nilijikuta nazama uvinza ghafla baada ya dakika kadhaa nikauchomeka ile nasukuma kama Mara nne ghafla derava huyo. Ikabidi niairushe zoezi. Nikala kuku ni kapiga grants nikaishia zangu.

Sasa kakawa ndio kamchezo kangu nikaendekea kumgegeda boss.

Kupitia kwake nilipata kuzifahamu tabia za wanawake. Wanawake sio watu wazuri kabisa.

Mwisho nitoe angalizo: kumla boss mwisho wake sio mzuri. Hivyo nawapa tahadhali vijana iwe kimasihara ama kwa kudhamiria msile ma boss zenu.

Kuna mtu aliniomba nimtagi lakini sikumbuki ni nani.

God save us
Ilikuwaje ulifukuzwa kazi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa umenikumbusha mbali. Niliwahi kuitwa kwenye interview; sehemu ya kukutana ilikuwa Holiday Inn. Tulikaa hapo nje karibu na parking. Asikuambie mtu yule dada alikuwa ni mzuri balaaa wakati naulizwa maswali akili ilikuwa imehama kabisa. Nilivyotoka nikamsimulia jamaa yangu moja kuwa ikitokea nikakosa hiyo kazi hasishangae maana akili yote ilihamia kwa huyo bidada badala ya interview.

Jamani ma HR wakike muwe mnavaa vizuri mnatupa wakati mgumu kwenye interview

God save us
Holiday in iringa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wengine tumekutana na mikasa mambo kibao tu mpaka hapa tulipo sasa
Kama ni kula matunda KIMASIHARA tumekula mengi tu kwa aina na njia tofauti tuna mikasa matukio mengi tu
Lakini nashangaa tukileta ushuhuda MTU anasema ni CHAI uongo mpaka MTU unavunjika moyo kuleta shuhuda zingine

SASA NINGELETA YA KULA MAITI KIMASIHARA KUNA MTU ANGEBAKI HUKU
Tupeni Uhuru wa kujieleza jamani tuseme CHAI uongo kwa faida ya nani
Mimi natoa SHUHUDA za kweli ni mambo yaliyonitokea kweli au vibaya kushare nayi



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wengine tumekutana na mikasa mambo kibao tu mpaka hapa tulipo sasa
Kama ni kula matunda KIMASIHARA tumekula mengi tu kwa aina na njia tofauti tuna mikasa matukio mengi tu
Lakini nashangaa tukileta ushuhuda MTU anasema ni CHAI uongo mpaka MTU unavunjika moyo kuleta shuhuda zingine

SASA NINGELETA YA KULA MAITI KIMASIHARA KUNA MTU ANGEBAKI HUKU
Tupeni Uhuru wa kujieleza jamani tuseme CHAI uongo kwa faida ya nani
Mimi natoa SHUHUDA za kweli ni mambo yaliyonitokea kweli au vibaya kushare nayi



Sent using Jamii Forums mobile app
Duh tupe hiyo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifanya jitihada za hapa na pale, nilikaa nje miaka mitatu na kidogo, niliendelea kumuandikia barua ambazo pia hazikujibiwa, niliporudi Tanzania pia niliandika barua moja tu, tena kwa "airform" maana barua za hivyo zilikuwa zinapewa kipaumbele.

Baada ya kimya cha miezi kadhaa nikaondoa akilini na kushugulika na wengine, kati yao akabahatika mmoja kiwa mke wangu. Hii ni stori nyingine kabisa na ya kusisimua ila siyo ya kimasihara.

Akiniruhusu (wife) nitaanzisha uzi wa stori yake.

James Jason
Ingekuwa poa Sana Kama ungepanda gari kwenda Lindi kumtafuta Rose,haijalishi umepita muda gani cha msingi upate feedback ya alipo kwa Sasa,nadhan itapendeza,inawezekana barua Zako hakuwahi kuzipata hivyo Basi naamini Kuna taswira yako inamtesa moyon

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani huu uzi ni balaa sana, nishakula kimasihara mademu wawili toka nianze kuusoma huu uzi na wote siwajui majina yao.
Mmoja ilitokea mkoani Tabora wiki kama mbili zilizopita, nimetoka zangu ofisini nikarudi lodge kuacha begi ili niende nikale. Kufika lodge namkuta mtoto anaangalia TV(lodge ilikua na sebule) nikampita ila baadae shetani akafanya kazi nikarudi kumsalimia vizuri
me: Niaje
she: poa
me:Mbona unaangalia tv mwenyewe?
she: akasema hana kampani ya kuangalia nae
me:nikamwambii njoo room kwangu tuangalie wote
she: nitakuja
basi nikaingia room kwangu nikaacha begi nikamuaga kuwa naenda kula lakini nakuja mda c mrefu. Basi nikaenda kugonga msosi fasta nikarudi room. Nikamkuta nikamwambia tayari njoo. Basi nikawa naangalia zangu muvi huku mlango sijafunga namsubiri kama dakika 20 hivi mtoto kaingia room, nikasema kaisha huyu. Basi tukaanza story za hapa na pale kujua alikua anafanya nini pale lodge akaniambia alikuja kwa rafiki yake kumuangalia huyo rafiki yake alikua anafanya kazi pale lodge, basi nikamkaribisha kitandani tukawa tumekaa wote, nikaanza touch za hapa na pale mtoto analeta upinzani kdg but sikuacha, shika sana baadae akatulia tu nikasema yes, basi zidisha touch pale mototo akaanza kulainika, kupima oil kidole kinateleza tu nikamvua chupi katulia tu, nikachukua kondom nikavaa nikamla kimoja saaaafi kbs. Hapo hata jina lake silijui wala ye hajui jina langu. Baada ya kumla nikatafuta safari ili nimtoe tu room coz muda huo nilikua namsubir demu wangu alikua anakuja kutokea dar. Sorry kwa uandishi mbovu
Umegonga malaya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro una PhD ya kushawishi KE. Hahaaa
Na hapo ndipo unapokosea! Usituamini kivipi..? Kuna wengine humu mbona tupo vyema.. si vyema kuhalalisha usemi usemao "samaki mmoja akioza basi wote wameoza"!!

Typically binadamu tunatofautiana, wengine hujitia ufahali ktk mambo haya lkn tupo tunaoheshimu nafasi ya mambo haya!.. tupo wenye kifua na koromeo la kutunza siri ikiambatana na kumaanisha.
Usiweweseke kwa wenge la kimasihara ukatutoa thamani hata sisi tuliowatiifu.
Usiuzurumu moyo kwa maneno ya kimasihara,upe upeo wako nafasi ya kutanabaisha tofauti ya masihara na halali!!
Hata Adam mbona alilishwa tunda kimasihara na Eva..? Lkn pamoja na hilo ni wapi tumekengeuka na kuifuta nafasi yenu..?
Mwili wako ni shahidi tosha kuwa ulivyonavyo ni kile Mimi kama mwanaume navihitaji!! Ila nafasi ya kunipa ipo ktk ufahamu wako!!

Usiogope tupo tusio masihara,tupo tupendao watoto wa kike kwa nafasi zao.. tupo tunaofurahia nafasi ya maumbile bila kuumiza mtima wa mtoto wa kike.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom