nipekidogo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2019
- 1,587
- 3,041
Yes! Baada ya huu uzi naona wengi wanapanga kabisa kula kimasihara!
Ninachojua kimasihara wote me na ke mnakuwa hamjapanga! Yaani ni ile pasipo kudhamiria mnajikuta tu ishaingia!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninachojua kimasihara wote me na ke mnakuwa hamjapanga! Yaani ni ile pasipo kudhamiria mnajikuta tu ishaingia!
Haha!!
Ukishaplan ujue inakuwa sio kimasihara tena? Hapo kimasihara labda iwe kwa yule KE atakaelika bila kutegemea
Sent using Jamii Forums mobile app
nikiona tu ananiletea story hazieleweki namsindikiza na block.
maana inaonekana mko na mbinu konkii mno

