Griseofulvin
JF-Expert Member
- Sep 15, 2016
- 1,013
- 2,001
Mabaharia eeh me nazidi kukwama tuu kula kimasihara, sijui nakwama wapi nimefata ushauri wote mlionipa still bado nafeli tuSio kubaka mkuu nilitumia njia kama wanazotumia mabaharia wa humu,
Maana jirani kaja getto simu yake imezingua nimtengenezee alafu kavaa kanga chini juu kibode flani sasa wakati nalekebisha simu yake nikakumbuka kuna uzi humu wa kula tunda kimasihara,
Nikasema ngoja na mimi leo nijaribu c nikajarbu kumshika kumleta kifua kwangu nikaona analuka akasimama akaanza kunituka matusi kama yote, akaona haitoshi nikapigwa na kibao daahh jirani huyo akasepa mpaka leo hanisemeshi,.
Sasa najiulza nmekosea wapi mbona humu kuna comment ukizisoma watu wanakula wanawake kimasimahara sana wakiwagusa tuu tayari imoo, ila me nmejaribu kugusa nmepigwa na kofi na matusi juu![]()

Nyie mnaweza vipi?


hiyo siku nililia, nikajifunza kutokuwaamini wanaume

maana inaonekana mko na mbinu konkii mno