Ulishawahi kula tunda kimasihara?

nimekula tunda kimasihara

hii ilikua kipindi kifupi baada ya kuingia jf na kusoma uzi wa mkuu rikiboy "ushawai kula tunda kimasihara?" baada ya kuupitia pitia huo uzi nikaomuona mdada mmoja wa jf kakomenti eti sijui akumbuki mara ya mwisho kukojoleshwa ni lini, nikareply komenti yake mm naweza kukukojolesha mara 10 ndani ya lisaa

amuezi kuamini baada ya reply iyo nikaona bi dada kajaa kweny PM yangu anauliza unaeza nikojolesha kweli weww? kishoka nikajiuliza uyu msichana ananipima imani au yupo real?kimasihara na mm nikamjibu naweza, mara akataka tuonane uku kichwani siamini kama kweli anataka kukojoleshwa

nikamwambia kama unataka kukutana na mimi jua unakuja straight ninapo ishi maana mimi sipendi kuzurula zurula kwaiyo nikamuelekeza tu mtaani napo ishi, apo adi tunafika hatua iyo uyu mdada alitoa ma digits take ya simu mwenye pale kweny ubao wa pm, wakuuu! ilikua ajabu na kweli mdada wa jf ananiambia anaanza safari kuja mtaani napo ishi ili akojozwe, mara baada ya kama lisaa na dakika kama 50 hivi anipigia simu yupo kituoni niende kumchukua, kweli mdau nikatoka casual tu na unyunyu kwa mbali nikafika adi kituona nikamuona, uyu msichana ana sura nzuri kivilee lakin mkia wazee! tako alikua nalo lakutosha tu

tu cut the story, tukafika getto na mtu alikua amezamilia na amekuja kwa lengo la kukojozwaa nikamuuliza ndo umekuja kweli kwasababu iyo? akawa anacheka tu, na mm kwenye sheria zangu za mchezo mtoto akicheka cheka bila sababu huwa naanza kufanya yangu aste aste! nikaanza kufanya yangu wenyew wanasema ufundi kitandani sio maguvu kujikwamua, nimbonyeza mtoto wa watu kimasihara kabisa! lakin kiukweli nilimkojoza mara mbili tu hahah!

Asantw sana jf, asante sana rikiboy kwa uzi wako nikula apple kimasiahara kabisaa yani

bi dada kama utaiona hii komenti samahani! nimeona wadau wanatiririka sana na shuhuda zao adi nimepata wivu
Kweli hii ni kutafuna kimasihara, japo huyo alikuwa na ugwadu sio wa nchi hii, au ni kahaber
 
Mkuu hii ndiyo style ninayoitumia mimi naita bao moja lenye amazing power,kwanza isiwe below 30 minutes,na kabla hujafika hakikisha amepiga two clear goals ile ya tatu ndiyo mnafika kwa pamoja,hutasikia lawama.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hili Jambo la kusupportiana liwe na ukweli wazee Yani dakika 30+ mtu uko kiunoni na hata mzigo wa Kwanza haujatua???.......

Wengi husema kunogesha stories but kwa uhakika Mimi namudu masaa kadhaa endapo ntakua nimegida vyombo hivyo kichwa kinakua smart lakini kwa kawaida wazee Sina imani labda mtupe ufafanuzi wa hili Jambo!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu usiwe mbishi,hii kitu inawezekana sana,mimi situmii na sijawahi kutumia kilevi cha namna yeyote ile,na ninaweza kukaa kifuani kwa wife zaidi ya 30+minutes bila kumaliza,
Maandalizi ya kutosha na ikiwezekana amalize bao moja wakati unamuandaa tu,na la pili amalize kabla hujafika kileleni,lile la tatu ndiyo mnafika kwa pamoja hii huwa ni nzuri sana,kwanza mnakuwa kwenye speed na ni vizuri ukamuuliza style inayomkuna zaidi ndiyo mkamaliza nayo.

Mwanzoni nilijua pengine wife ni mchovu kwenye tendo,lakini niliapply kwa wanawake watatu tofauti japo ukikutana na mwanamke mpya unaweza kuwahi zaidi kufika cha kwanza pengine ni ndani ya dk 15 tu,lakini cha pili kinaweza ku survive karibia saa nzima.

Usiukamie sana mgegedo,kunywa maji mengi baada na kabla ya tendo.
Inawezekana kabisa.
Hili Jambo la kusupportiana liwe na ukweli wazee Yani dakika 30+ mtu uko kiunoni na hata mzigo wa Kwanza haujatua???.......

Wengi husema kunogesha stories but kwa uhakika Mimi namudu masaa kadhaa endapo ntakua nimegida vyombo hivyo kichwa kinakua smart lakini kwa kawaida wazee Sina imani labda mtupe ufafanuzi wa hili Jambo!


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili Jambo la kusupportiana liwe na ukweli wazee Yani dakika 30+ mtu uko kiunoni na hata mzigo wa Kwanza haujatua???.......

Wengi husema kunogesha stories but kwa uhakika Mimi namudu masaa kadhaa endapo ntakua nimegida vyombo hivyo kichwa kinakua smart lakini kwa kawaida wazee Sina imani labda mtupe ufafanuzi wa hili Jambo!


Sent using Jamii Forums mobile app
Ishu ni control mzee. Ukiona unakaribia unaregulate speed yako au unatulia kabisa, ikishuka unaendelea. Baada ya dakika 5 mpaka 10 unabadili style. Kama kucontrol huwezi fanya mazoezi kila unapokojoa kata mkojo af endelea. Au piga nyeto, bao moja tu mara moja moja. Kila unapokaribia kukojoa unarudisha hisia, mpaka inaisha af unaendelea, na coz ni nyeto af upo alone. Unaweza ukafanya hvyo hadi lisaa linapita.
Baada ya kama mwezi utaona matunda yake. Hii ishu ya control inabidi uifanyie mazoezi sana, ukishusha sana hisia inaweza ikalala kabisa ukawa ushaharibu mambo. Inabidi uipate balance, hisia zinashuka hukojoi lkn mashine inaendelea na kazi, hisia zikija tena unafanya hivyo tena, mpaka uwe tayari.
 
The continuing story of how I met my wife.

Ile life story ya boss Rona kwa kweli ilinihuzunisha sana, ikawa sasa namuona kwa jicho tofauti kidogo. Mwanzo ilikua tu someone I enjoy making love to, maana niwe muwazi, sio kuwa nilikua nimefall in love nae, lakini pia sio kuwa nlikua simpendi.

There is a way she made me feel that I really liked, and no woman before had made me feel. She made me lough, she made me happy, nlipenda namna anavyojiachia akiwa na mimi, sometimes akiwa kwangu hata kama hatufanyi mapenzi atavua nguo na kubaki na chupi na sidiria, atakaa hapo mnapiga story mara ainuke aanze kucheza mziki (hii style ya kucheza kwenye wimbo wa Rayvanny wa Teamo yeye alikua ananichezea kitambo sana) and most of all, I loved the way we made love.

Zimepita wiki kadhaa tangu anisimulie mkasa wa maisha yake, and to be honest I sometimes felt guilty. Yaani ile kujua kuwa ameolewa na KM ilikua inanipiss off sio kitoto. Ikanipa mawazo pia ya kutafuta mpenzi sasa ambaye atakuwa wangu mwenyewe. Lakini nani sasa. And kama nlivyowahi kusema, nlikua na standards zangu, yaani mpaka nimedate na msichana lazima akidhi vigezo vyangu.

Pale ofisini kuna dada nliajiriwa nae kipindi kimoja, kama mtakumbuka nlimtaja kwa jina lake la ubini Lyamuya. Lyamuya alikua sio mbaya ila ni wale wadada ambao kutwa kucha misketi mirefu kama mfuko wa mashine ya kusaga, akibadilisha ni magauni ya kumpwaya tena ya mtumba.

Kwa wanaume wanaotafuta wife material ladies, Lyamuya anafaa. Na kwa kuwa na mimi nlidhamiria kutafuta mwenzi wa maisha, nikasema ngoja nione kwake, huenda akanifaa. Ingawa kiukweli sio aina ya wanawake wanaonivutia kwa hurka yake na jinsi anavyojiweka, nilijipa tu moyo kuwa nitampiga sop sop nimbadilishe aendane na mm. maana sura walau alikua nayo.

Basi mazee, nikaanza kumpa attention ofisini, mara nimtanie, mara nimsifie, nikaanza kumpigia simu night, kumtumia msg za goodmorning. Hii yote nilifanya ili kwanza nimpe idea ya nnachotaka. Hata haikuchukua siku nyingi, nikaona yeye ndo anaanza kunipa attention sasa. Ila yeye alivyoanza kujaa kwa kasi, moyo wangu ukawa kama unaanza kurudisha majeshi nyuma, maana nlikua nikimuona alivyovaa stim zinakata kabisa.

One day muda wa lunch nakumbuka alisuggest tukale wote, wakati tunapata msosi nikajikuta nimecomment kuhusu pilau nliyokua nakula. Haikua imeiva vizuri. Basi Lyamuya akaunga mkono pale na kunialika kwake ili nikale pilau iliyoiva vizuri. Ngoja niwape siri wazee, demu akikualika kwake kwa sababu yoyote ile, hiyo ni mualiko wa kwenda kumbanjua, sasa kama na wewe umemuelewa demu, au unataka kweli kumla, wala usivunge kubaliana na siku na muda aliopendekeza. Ila kama huna mpango wa kumla, tafuta kisingizio cha kumkwepa hasa kutumia siku au muda aliosuggest. Kwa mfano kama humtaki sema tu kuwa jumapili kuna mshkaji nlimuahidi kumsaidia issue flani, then unasuggest jpili inayofuata. Hapa dem ataelewa kuwa amekataliwa kistaarabu. Turudi kwenye story sasa, kidogo nikwepe mwaliko, ila nikajikuta nimekubali kuwa jpili ntaenda kwake.

That Sunday nikapiga pamba safi, unyunyu kama kawa nikapuliza, then huyooo mpaka mitaa anayoishi Lyamuya. Kanielekeza pale mpaka nimefika kwake. Lahaula! Namkuta amekaa kwenye ngazi za kuingia ghetto kwake, amevaa mijikanga imepauka amezungukwa na watoto kama sita wanamfumua nywele. That sight ilinifanya niconclude kuwa sitaweza kumbadili Lyamuya. Maana she knew I was going, at least angejiweka poa basi, wapi. Nikijiangalia na mm nlivyopigilia, nikajikuta nimekata tamaa mazima.

Ila kiuungwana sikutaka kuonesha kuwa disappointed, akanikaribisha ndani pale, mm nikasema tukae tu hapa nje umalizie kufumuliwa. Akasema hapana! Wewe mgeni wangu, kwa kuwa ushafika twen’zetu ndani hawa watoto watanimalizia hata usiku. Mimi ndo hata simsikilizi, kulikua na stuli pembeni nikaivuta nikakaa. Yeye kajikusanya pale kaingia ndani.

Nikabaki na watoto pale, nikaanza kuwapigisha story, na kwa kuwa napenda sana kids wala haikua kazi ngumu, tukawa tushazoeana navyo ndani ya muda mfupi. Mara Lyamuya akatoka, ananiambia ashatenga msosi nikaribie. Nikaona sio kesi, nikawashawishi na wale madogo tukazama ndani, tukapiga msosi wote. Msosi ulivyoisha na kila kitu kuondolewa kwa meza, dogo mmoja akamwambia Lyamuya, njoo tukumalizie kukufumua, nikaunga mkono hoja.

Basi wakawa wanafumuana huku tunapiga story pale. After few hours nikaaga nikasepa. Ile natoka tu, nikampigia simu boss Rona, “am honny babe”, [where are you], nikamjibu “nipo town”, [then hurry up, utanikuta kitandani kwako nishakuloanishia,ukifika nikuingiza tu, I hope utafika ukiwa bado umedinda]….

Boss Rona alikua na keys za home kwangu. Nilichofanya ni kuchukua taxi kabisa ili niwahi. Kufika home namkuta kweli on my bed, yuko kama alivyozaliwa kajitenga ule mkao wa mbuzi kagoma, it was a spectacular sight,yaani lile tako linaniface mimi dah!.

I removed my clothes, every piece of cloth. Inches zangu 8. S'thing zipo 45 degrees to the north, wala hata hatukusalimiana, wala kuongea chochote, ikawa kama nalenga shabaha. Mzee nikailengesha ikazama yooote, bila kumgusa sehem nyingine ya mwili, yaani mashine ikapenyezwa bila msaada wa mikono, mikono yangu nimeifunga nyuma ya kiuno changu, nikaacha kwanza mshedede usalimiane na mwenzie.

After some takos, nikaanza kumzabua vibao vya matako. Nnachompendea boss Rona, nyama zake laini kinyama. Ukizichapa kibao zinashake kama umedumbukiza shilingi kwenye beseni la maji. Kiufupi wazee, nliinjoi.

Lyamuya ofisini wala hakuonesha kukasirika, aliendelea kunichangamikia tu. Days went by nikawa namsoma kabisa anazidi kufall kwangu, ila mi ndo shaghairi mazima.

Then one Saturday evening something happened. Nlikua home siku hiyo. Nipo kwenye kibaraza cha hapa kwangu. Nimekaa kwenye ile misingi ya kibaraza, mgongo umeegemea nguzo nyuma na miguu imekanyaga nguzo mbele. Nlikua nasoma kitabu kimoja kinaitwa the Doomsday conspiracy kilichoandikwa na lengendari mwenyewe kwenye fasihi andishi, Sydney Sheldon.

Kwa mbali nikasikia vicheko vikaondoa concentration yangu kwa muda. Kucheki mbele, nikamuona msichana mmoja akiwa na dogo mwingine wa kiume wananyang’anyana kitu kama boksi huku wanacheka. Kilichonifanya niendelee kuwatazama ni huyu msichana. Kwa umri alionekana atakua yupo sekondari, sikuwahi kumuona hapa quarters za shirika kabla so mawazo yangu yakanambia atakakua yupo likizo hizi za mwisho wa mwaka.

Kilichokamata Zaidi attention yangu ni wajihi wake, she looked indian au half cast flani. Alikua amevaa mtisheti oversize na umepauka umeandikwa Celtel, pia kavaa pensi flani ya kijani kama ya timu ya Yanga material yale ya kuvutika, na pensi yenyewe ilikua kama imevutika eneo la mapajani na kumpa muonekano flani usiovutia sana. Miguuni kavaa ndala za umoja.

Yule binti ghafla akatizama nilipo, nikajistukia, nikarudisha macho kwenye kitabu. Nikaanza kuhisi kama anakuja vile uelekeo wangu. Na kweli, baada ya sekunde kadhaa nasikia shikamoo!, nikanyanyua macho, nikaitikia Marahaba! Then nikakosa cha kuendelea kusema. I will not lie, even though she was not appealing sexually to me at first sight, but she had the most beautiful eyes I have ever seen, Ever!!!!.

“kitabu gani unasoma?”, nikamjibu [Doomsday conspiracy], “ni kizuri?” [sana], “unapenda sana vitabu eeh?” akaniuliza huku akikichukua kitabu from my hands, [yup, unapenda pia kusoma vitabu?] nikajikuta namuuliza. Akajibu, “sio sana, apart from the novels we read in school kama the black hermit, sijasoma vitabu vingine”.

Nikajikuta naanza kutoa semina ya uzuri wa kujisomea vitabu . “wow! You really like books, unavyoongea naona kabisa unaongea from your heart, can I borrow this book nikajaribu na mimi kusoma?” nikamwabia, [hiki hapana, ila nina vingine kibao ndani, twende ukachague], hakua na kipingamizi, yule dogo mwingine ambaye nilifahamu baadae ni mtoto wa jirani yao akawa anafuata tu kwa nyuma.

Kufika ndani, nikaona binti anachanua midomo kwa mshangao. Hasa alipoona my library. I really like reading so ninavitabu vingi sana ndani. Nikaanza kumuonesha vitabu vya mwandishi aliyeandika kitabu alichokuta nakisoma. Nlikua nna collection ya vitabu Zaidi ya 15 vya Sydney Sheldon, kama vile; Master of the game, Tell me your dreams, Bloodline, Nothing lasts forever, If tomorrow comes, Rage of angels, The other side of midnight, Windmills of the Gods, The sands of time, Memories of midnight na kadhalika.

Then akaona yale mavolume makubwa akawa anashangaa, “unawezaje kusoma likitabu likubwa kama hili?” akauliza huku ameshika kitabu cha Pillars of the Earth cha mzee baba Ken Follett (ambaye pia nlikua na collection ya vitabu vyake kama Winter of the World, Eye of the needle, Fall of giants, Dangerous Fortune n.k).

Nikamwambia hata wewe ukikianza huezi kukiacha. Nikamuuliza kama ameshawahi ona movie ya hicho kitabu, akasema hapana, nikamwambia story tamu kama hizi Hollywood wanazitengenezea movie, ingawa kwenye movie mambo mengi yanakua yameondolewa, so its better to read the book than watch its movie.

“kitabu gani kingine kimechezwa movie?” akauliza, ‘the Bible’ nikajibu….. she got the joke and she laughed. Then nikamtolea kitabu cha mtaalam mwenyewe George RR Martin, A song of ice and fire . mpaka muda huo nlikua na vitabu vyake vinne,
- A game of thrones
- A clash of kings
- A storm of swords
- A fist of crows
Nikamwambia, “hapa duniani kuna intelligent people wengi, ila watu ambao ni genius wapo wachache sana, mind you, unaweza ukawa genius na ukafeli masomo darasani. Ma genius nnaowajua mm ni Albert Einstein, Michael Faraday, Alexander Graham Bell, Mozart na George RR Martin huyu aliyeandika hivi vitabu, ametengeneza a masterpiece in literary works” (kwa wasiojua hii a song of ice and fire ndo imetengenezwa series ya a game of thrones, kama ulipenda hii series, basi jua waliosoma vitabu vyake waliinjoi Zaidi),

maelezo yangu juu ya vitabu yalimvutia huyu binti ambaye mpaka wakati huo sijajua anaitwa nani na anakaa wapi. Baada ya lecture yangu, nikamshauri achukue kitabu kidogo ili akasome, na nikapendekeza kitabu cha James Hadley Chase, “find him, I’ll fix him” maana nlijua ni story fupi nzuri na itamjengea ham ya kusoma Zaidi. Akachukua hicho kitabu akasepa.

Kesho yake jpili jioni nasikia hodi mlangoni. Kufungua, ni yule binti. Kuniona akatabasamu then akasema, “huezi amini bro, ive finished the book, kidogo nikeshe” akawa ananisimulia jinsi kilivyo akasahau mm ndo nlimuazima hahahah. She liked the book. Akasema leo anachukua kingine, nikampa kitabu cha Danielle Steel kinaitwa Zoya. Ni kikubwa kiasi, nikajua kitamkeep busy wiki yote.

Na kweli, kuanzia j3 hadi ijumaa sikumuona. Nikajikuta natamani weekend ifike nimuone tena, sio kwa ubaya, ila niliinjoy zile conversations. Halafu pia, nilikua napenda jinsi anavyojiamini, yes she is young bt ni mtu ambaye hana ule uoga wa kitanzania, anaconfidence na akiwa anakuhoji maswali yake ya kiudadisi hakwepeshi macho, anakutazama direct kwenye mboni zako, unajikuta wewe ndo unakwepesha macho.

Na kweli jumamosi akaja. Ila alikua kama hajakimaliza kitabu, yaani ile ameingia ndani kapitiliza kwenye kochi kakaa then kafungua kitabu akawa anakisoma. Kuangalia alikua amebakiza page chache amalize. Nikaona na mm niendeleze kitabu changu, by now nlikua nasoma kitabu cha John Grisham, ‘the rain maker’. Nikiwa nasoma huku nnapata kinywaji changu pendwa, mm nakiitaga ndege (the famous grouse),. She is a student so I didn’t even bother to offer her a glass.

Baada ya muda namuona amemaliza kusoma alafu ananiangalia. “Don’t ever give a book of this kind to me again” akaniambia kwa sauti isiyo ya ukali lakini yenye userious. Why?, “last night I slept at 4.30am, and I cried a lot” akanijibu huku akielekea kwenye shelf la vitabu.

Akarudi kwenye kiti akiwa ameshika kile kitabu alichonikuta nakisoma last week. “whats your name?” akaniuliza, nikamtajia, nikamuuliza pia jina lake, aliponijibu ndo nikaunganisha dots ambazo wewe msomaji ushaziunganisha tayari. Anaitwa Norah Mekonnen (somo lingine kwa.mabaharia, ukimuuliza binti jina akakujibu kwa majina mawili jua huyo bado mwanafunzi kihalisia na pia ktk haya mambo)

Alivyotaja jina nikawa kama nimeduwaa. Baada ya sekunde ndo kuanza kumhoji vizuri, akasema ndiyo, ni mtoto wa Rona, yani ni mtoto wa boss Rona, mtoto wa mwanamke nnayejilia kama mke wangu. Dah!, na binti naye kaanza kunihoji pale nafahamiana vipi na mama yake, nikasema ni boss wangu, akajidai kuniuliza pale kama she is a good boss, nikamwambia she is the best,

alivyosikia hivyo akatabasamu then akanambia, “my mother is the most amazing woman I have ever met, I love her to death, and I am happy that she is my best friend, maana mama yangu bado kijana so we hang out and we talk abt everything, she is amazing”.

Alivyokua anamdescribe mama yake, nikajikuta napandisha midadi, ukichanganya na ulevi niliokua natumia, nikajikuta nachukua simu namtumia ujumbe boss Ronna.

[i know weekends ni muda unakuwa na familia yako, bt I need your body boss, pls njoo bila chupi], baada ya muda nasikia milio ya msg zinaingia bt hata sikuziangalia.
Norah akawa ananihoji pale khs what I studied, nikawa namjibu. Then kaniuliza plans zangu, nikajikuta naropoka tu, “after 5 years I will start my own company”, wow! Akajikuta ametamka, then akawa ananipongeza kwa vision na nini hahaha.

Mara ngo ngo ngo, dogo kaenda kufungua, uso kwa uso na mama yake. Baadae nlikuja kufahamu mama yake alikua anajua binti amekuja kwangu kurudisha kitabu na kuchukua kingine, kimsingi Ronna hakua na wasiwasi na mimi, she thought im a good boy and wont **** a teenager hahahaha.

Boss Ronna akamwambia dogo arudi home maana kuna issue mimi na yeye tunatakiwa tudiscuss abt work. Wakati anaondoka akaniaga, “Bye Bro” mm nikamjibu ‘by Kiddo’. Yaan mpaka leo ananiita bro, na mm namwita kiddo hahahaha.

Norah alivyosepa, boss Ronna kanifuata nlipo. Nlikua nimekaa kwenye office chair, akanikalia na kuanza kula denda. Kumpapasa ndani ya gauni naona sigusi chupi, yaani nakutana direct na nyama za tako. Ayah, yah, yah, yah, yah, yah. Akiwa bado anahangaika na lips, nikafungua zipu ya jeans nliyokua nimevaa, dushe nikaitoa then nikaiweka usawa wa nanlii. Kuisugua sugua kwenye kitumbua naona boss kaishika kailengesha then kaisokomeza. Meeeeeen. I lasted very few takos. Maana she knows how to shake that waist…

Kiga!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu chukua LIKE yangu kabisa,uandishi wako na wa yule mzee JBourner59 nautamani sana lakini ndiyo hivyo sina hiyo talanta,kwanza stori zenu hazichoshi harafu matumizi ya lugha yanashawishi msomaji,kugha ya picha unahisi unaangalia series.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ishu ni control mzee. Ukiona unakaribia unaregulate speed yako au unatulia kabisa, ikishuka unaendelea. Baada ya dakika 5 mpaka 10 unabadili style. Kama kucontrol huwezi fanya mazoezi kila unapokojoa kata mkojo af endelea. Au piga nyeto, bao moja tu mara moja moja. Kila unapokaribia kukojoa unarudisha hisia, mpaka inaisha af unaendelea, na coz ni nyeto af upo alone. Unaweza ukafanya hvyo hadi lisaa linapita.
Baada ya kama mwezi utaona matunda yake. Hii ishu ya control inabidi uifanyie mazoezi sana, ukishusha sana hisia inaweza ikalala kabisa ukawa ushaharibu mambo. Inabidi uipate balance, hisia zinashuka hukojoi lkn mashine inaendelea na kazi, hisia zikija tena unafanya hivyo tena, mpaka uwe tayari.
Inakua kama umeme wa mgao unakuja na kukata!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndugu yangu usiwe mbishi,hii kitu inawezekana sana,mimi situmii na sijawahi kutumia kilevi cha namna yeyote ile,na ninaweza kukaa kifuani kwa wife zaidi ya 30+minutes bila kumaliza,
Maandalizi ya kutosha na ikiwezekana amalize bao moja wakati unamuandaa tu,na la pili amalize kabla hujafika kileleni,lile la tatu ndiyo mnafika kwa pamoja hii huwa ni nzuri sana,kwanza mnakuwa kwenye speed na ni vizuri ukamuuliza style inayomkuna zaidi ndiyo mkamaliza nayo.

Mwanzoni nilijua pengine wife ni mchovu kwenye tendo,lakini niliapply kwa wanawake watatu tofauti japo ukikutana na mwanamke mpya unaweza kuwahi zaidi kufika cha kwanza pengine ni ndani ya dk 15 tu,lakini cha pili kinaweza ku survive karibia saa nzima.

Usiukamie sana mgegedo,kunywa maji mengi baada na kabla ya tendo.
Inawezekana kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa nakubali cz mara nyingi kwa chuma unayotumia mara kwa mara huchukua muda kweli tofauti na mpya so hapo kidogo umeongea kitu nimeelewa mkuu!!.......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MIMI NA BOSI WANGU MIAKA 7 ILIOPITA.

Miaka hiyo nilikuwa nafanya kazi kwenye miradi ya afya. Nilikuwa mfanyakazi mpya nilieletwa kureplace nafasi ya mtu alieenda kimasomo nje ya nchi. Nilikuwa kama assistant data analyst wa huo mradi na nilipelekwa kukaa ofisi moja na bosi wa mradi. Yeye alikuwa na meza kubwa, mi nimejibanza kwenye kona na kidesk changu nipo busy na Forex wakati kazi zimepungua, ofcourse nilikuwa nafurahia kujibanza pale kwasababu hakuna aliekuwa anajua nafanya nini muda wa free. Mimi sikuwa mtu wa story kabisa, nikishamsalimia boss asubuhi ni headphone masikioni sina story na mtu. Yule boss akawa hapendi hicho kitendo akawa ananipisha story huku namjibu shortshort tu. Ila badae tukawa tumezoeana kiaina. Namuita Mama manake alikuwa mtu mzima kidogo.

Ofisi yetu ilikuwa moja tu nchi nzima (Dar) na tulitakiwa tuwe tunatembelea mikoa yote ambayo hiyo miradi inafanyika na kuangalia performance yake. November ya 2013, tulitakiwa tukapitie miradi ya nyanda za juu kusini na kuhitimisha ripoti ya huo mwaka. Siku ya safari tuliondoka ofisi nzima, kila gari wanaenda wawili pamoja na dereva. Mi na boss tukaenda na gari yetu na dereva mmoja naye kauzu tu kama mimi.

Njia nzima hakuna story, boss alikaa nyuma mi mbele na dereva naangalia kushoto. Maeneo ya ruvu tukakoswakoswa kugongwa na fuso ya nyanya. Story ndo zikaanzia hapo sasa. Boss alikuwa curious kujua nadate na nani nikamwambia nipo single sina hela za kumuhonga mwanamke. Akasema mshahra wangu naupeleka wapi, nikamwambia naweka akiba benki. Basi story zikapigwa kwa sana na dereva wetu kauzu akawa anachangia mara moja moja. Yule mama alikuwa peace sana sema mi ndo niliikuwa namuangusha kujidai kauzu.

Kuna timu ilikuwa imeshatangulia muda mrefu, wakati tupo maeneo ya mafinga, tukapigiwa simu wakasema hoteli ambayo tulitakiwa tufikie imejaa kwahiyo tuji-sort. Yule boss akasema sasa tufanyaje, nikamwambia wewe boss utapata hoteli ya hadhi yako mi ntaenda kulala kwa aunt yangu anaishi mbeya na dereva atajua la kufanya. Asiwaze.

Nipo Uyole nikasema nimcheki aunt nimwambie naenda, akasema amesafiri ila dada wa kazi yupo atanipokea fresh. Tulipofika mjini kila mtu na hamsini zake. Nikawa nachukua gari ya aunt naenda mpaka ofisi alofikia boss tunaanza safari kuelekea huko wilayani. Kuna siku tukaenda Tunduma, tulipiga kazi mpaka saa 11 jioni, tukamshauri boss tulale manake tutachoka sana tukiwa tunaenda kulala mjini na kurudi kila siku mpaka week iishe itakuwa ni soo. Akasema lazima turudi.

Baada ya siku kama tatu hivi na yeye akasalimu amri. Ikabidi siku hiyo tulale Tunduma, tukapata hoteli fulani ndo ilikuwa mpya, ina kama week mbili toka ianze operation. Baada ya kama siku mbili hivi nikawa nimewazoea wale wahudumu wa kike. Tukienda kula boss akawa anakasirika wanavyonizoea, akanipiga mkwara, tupo kazini hatujaja kuendekeza mapenzi. Nikawa mpole.

Sasa wale walioenda mikoa mingine kama Njombe, Ruvuma na Iringa wakawa wanatuma data mi nazifanyia analysis na kuandika summary halafu nampa boss, yeye ana compile kuandika final report. Kwakuwa first draft ilihitajika mapema, tulikuwa tunapiga mzigo haswa. Kazi ilikuwa kubwa sio mchezo. Boss akasema inabidi tukae pamoja tunafanya hiyo kazi. Nikamwambia tuchukue sehemu ambayo tunayokulia chakula, akasema hapana. Tufanyie chumbani kwake ambapo kuna meza kubwa na viti na atakuwa comfortable. Nikasema fresh, akiwa tayari awe ananiita.

Yule boss alikuwa workaholic si mchezo, tulikuwa tukianza kazi saa 3 usiku tunafanya mpaka saa 10 alfajiri non stop, nikasema leo nafwa. Nalipwa hela nzuri ila cha moto nakipata. Baada ya siku mbili kufanya kazi hivyo nikasema leo ikifika saa 8 usiku naenda kulala. Siku hiyo zilitumwa data nyingi si mchezo. Nimepiga kazi hadi saa 8 usiku, kichwa kinawaka moto, nikainuka kwenye meza, niikainga bafuni nikanawa uso, nikapanda kitandani kwa boss nikajilaza.

Boss akaniuliza, unafanya nini, nikamwambia leo hali ngumu, nikiendelea hapa kesho mnanizika. Akasema poa, lala kama nusu saa halafu tuje kuendelea. Kimoyomoyo nikasema, siamki mpaka kesho hata uninyonge. Nimepitiwa usingizini, baada ya kama lisaa hivi na yeye akajitupa kitandani kupumzika. Ile anajitupa kukawa kuna kama mshindo hivi nikashtuka, nika kaa naangalia nini kinaendela, akasema nisiwaze tulale. Tukalala tukawa kama tunaangaliana, nikamwambia sikuwahi kuwaza kama ningelala na boss wangu kitanda kimoja, akacheka akasema we ni mama ako kumbuka. Nikamwambia mama angu ni mzuri kama wewe, akacheka. Akiwa hana la kufanya nikamsogelea nikamkiss shavuni, nikamwambia wewe ni boss poa ever. Hakuna alieonge na mwenzake tena, tukaanza kukiss. Nikampandisha sweta alokuwa amevaa, nikaanza kunyonya matiti kwa sana, lamba masikio mara shingoni. Nikamvua suruali yake kwa nguvu akasema unamvua mama ako nguo nikamwambia acha hizo basi. Hapo nimedindisha si mchezo. Akaniuliza are you ready for this, nikamwambia ndio. Akavua suruali mwenyewe, nikamvaa nikazamisha ukuni moja kwa moja. Akatoa sauti tu ahhh halafu basi, nikaanza kumkiss huku napiga mashine. Nilliikunja miguu yake kifuani kwangu kwahiyo ukuni ukawa unazama wote.

Yani kama dk 5 tu nikapiga bonge la bao ever na nikamkojolea ndani, yani lilikuwa jingi mpaka akaona kero(nadhani ni bao jingi halitakaa litokee kama lile maisha yangu yote) na sikutumia kinga, alikasirika si mchezo. Kimoyo nikajua nime underperfom leo ukichanganya na uoga na kutojiamini. Akanifukuza nikalale kwangu. Na siku hiyo kazi ikaishia hapohapo.

Kesho yake hakuna alimuongelesha mwenzake, zaidi ya shikamoo. Badae tupo hospitali ya pale Tunduma tunawasubiri madokta, akanisogelea akaniambia madhara ya kutokuwa na mwanamke ndo hayo. Binadamu wa kawaida hawezi piga bao kubwa vile. Mi nikawa namwambia am so sorry tu.

Tumemaliza Tunduma tukawa tunaelekea Mbozi nikamtumia sms, nikamwambia "i have fallen in love with you, you are so nice to me" ananiambia yalotokea ule usiku haimaanishi kwamba we are there for love. So i have to focus with work. Nikamwambia next time i won't disappoint you. Akasema there will be no next time, katafute mwanamke ujifunze mapenzi kwanza. Nilijisikia vibaya sana.

Hatukufanya mapenzi tena, alikuwa kauzu, kazi ikawa sio tamu tena. Nilikuwa napigishwa kazi kama punda. Mpaka tunarudi Dar nilikuwa nimepungua kama kilo 5 hivi. Tukafunga mwaka tukaenda likizo.

Mwaka uliofuata nikahamishwa toka ofisini kwake nikapelekwa kwenye pool na wengine.

Fast forward..baada ya miaka mitano, tukamaliza mradi. Tukawa tunafanya sherehe ya kufunga mradi. Siku hiyo nililewa kinoma, nikasema lazima kieleweke na huyo mama. Akawa anaondoka mapema aiwahi familia yake, nikaenda msubiri pale parking mida ya saa 5 usiku hivi. Aliniona wakati anakuja, akanitania, ushapata mwanamke sasa? Nikamwambia ndio, na nimejifunza na nimeweza.

Akaondoa gari mpaka kwenye hoteli fulani mitaa ya makumbusho, akachukua chumba, kuingia ndani, nilimpiga romance, lamba mwili mzima, nyonya kila sehemu, hapo najisemea leo lazima kieleweke. Nikapiga mashine siku ile nikahisi nakufa. Nikapiga kavu bao zangu tatu, mboo inawaka moto si mchezo. Yeye alikuwa akifika ananikumbatia kwa nguvu anatoa kisauti flani hivi halafu ananiachia. Saa 8 usiku akaondoka, akaniambia nisimtafute maisha yangu yote. Na hata nikionana naye hataki nimsalimie. Nikiijiendekeza atanipiga risasi.

Mwaka jana nilikutana naye mlimani city, alinikumbatia, akafurahi sana, tukakaa pale tukaongea mengi sana. Alisema alinipiga mkwara kulinda heshima yake na familia yake, hakutaka pale ofisini mazoea ya kijinga na isitoshe yeye ni boss wa mradi ingemuharibia reputation yake. Akasema weekend iliofuatia angenitafuta, akaja kwangu tukaongea mengi tu nikala mzigo tukiwa tumerelax kabisa, nikampikia akala akasepa. Akaniambia niendee South tukafanye nae kazi na tuwe huru mi na yeye, nikamwambia siwezi, sipapendi kwanza.

Sahivi yupo South Africa kuna miradi anasimamia huko. Ila huyu mama nampenda sana. She's so nice.
mkuu why hukwenda south ,nadhani ungepata kipato kizuri plus exposure ukimaliza hiyo miaka mitano unarudi Bongo Land unaanzisha miradi yako ila anyway uliamua sahihi kulingana na mipango na matazamio yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninazo 3 ila naona hii inafaa kuwa ya kwanza kuiweka hapa
Demu wa mpangaji mwenzangu
Sikua na mazoea nae lkn huwa tunaonana kila anapokuja kwa mpangaji mwenzangu Mara nyingi huja na kuondoka mda mwingine hulala hapo hapo siku ya tukio sasa
Huyu demi anatoga milio kichizi akiwa na mshikaji demi ni zile type za mwajuma dala ndefu /mwantumu/amina nipe yaani demu wa uswazi uswahilini kufika getto kwa mpangaji mwenzangu jamaa hayupo sijui hawakuwasiliana kabla au vipi demu akanikuta Mimi pale naona mpangaji mwenzio katoka nikamjibu ndio ila nadhani hatukuwa mbali mpigie basi yule demu akampigia mpangaji mwenzangu jamaa akasema hayupo mbali kabla ya nusu saa atakuwa pale basi demu ikabidi amsubili mpangaji mwenzangu Mimi nilimaliza jambo ambalo lilinifanya nikawa nje nikataka kuingia ndani nikamwambie yule demu kalibu ndani demu bila kuvunga akanyanyuka tukazama ndani kufika akakaa kwa bed mm kwa sofa nikampa maji baridi kutoka kwenye ka friji kangu nikamuashia feni TV demu naona anangazaangaza macho tu getto
Sasa hapo ndio akili ikanijia na kukumbuka huu Uzi nikasema ngoja nijalibu kula kimasihara nikamfata pale kwa bed nikamwambia jamaa anakupaga nini mpk unaliaga vile akawa anacheka Cheka tu nikamwambia na Mimi nipe uku naanza Fanya uchokozi naona kitu inaelekea kibla demu alivaa dera na chupi kiunoni shanga kibao nikawa nazichezea demu akaanza kuhema nahisi alikuwa na genye nikaomba romance kitu IMO piga denda za maana nikakumbaka mpangaji mwenzangu kabla ya nusu SAA alisema atakuwa ameludi nikalivuta dera fasta shusha chupi demu alikuwa wet tyr nikapiga kitu inaitwa mguu juu mwendo wa mateka yaani wote tulisimama nikanyanyua mguu wake mmoja juu nikaushika kwa kuukamatia na mkono wa kulia uko mm nikisimama mbele yake basi nikachomeka kitu chakatachakata na we sijui kwa sababu ya ile style au vipi wanzungu hawaji kabisa piga piga ikibidi nimuweke style pendwa nikamtupa kwa bed nikampiga kifo cha mende chakata wazee hao nikamwambia unaonaje akasema jamaa getto lake ni chafu lipo ovyo ajipendi mchafumchafu ajui mapenzi kama we mm nataka uwe MTU wangu basi nikamfungia ndani usiku kucha jamaa aliludi nikamwambia shemeji alikuja na kuondoka kumbe mzee ngoma IPO ndani kazi ikawa ni kuifunga mdomo usiku kucha ili jamaa asije sikia sauti koz anaijua si demu wake yule demu toka ajue mapenzi akuwahi kufikishwa kileleni basi ile usiku naona demu ana tetemeka mwili mzima maji kibao vibration za kufa MTU akawa kama ametulia hivi uku mm nikeendelea kuchakata akaanza kulia kilio cha chini chini akawa anasema asante asante sasa nimeonja nimejua raha ya mapenzi basi asubuhi nikaangalia usalama nikamtoa tukabadilishana namba na nikamvua demu mpangaji mwenzangu

Hii ni ya kwanza Nina ya 2 na 3 ni za kutisha na kuogopesha kidogo ila nilikula kimasihara japo mazingira hatalishi nitazileta kesho
kwahiyo Huyo demu wajamaa nini kiliendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee tuko wengi, hii juzi kuna mama huwa unanitunuku kitumbua.
Nilimpiga katelelo mara maji waaa kuja kuingiza piga show kwa style tofauti akapiga cha pili mara akaomba mm kukojoa
Mkuu hii ndiyo style ninayoitumia mimi naita bao moja lenye amazing power,kwanza isiwe below 30 minutes,na kabla hujafika hakikisha amepiga two clear goals ile ya tatu ndiyo mnafika kwa pamoja,hutasikia lawama.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
asee
Nimeludi tena hii ni ya kutisha kidogo

Nilikula jini kimasihara ndio jini
Nina huhakika %90 alikuwa jini
Kama unaona chai soma kwa makini utaelewa vizuri

JINSI NILIVYO KULA JINI KIMASIHARA
ilikuwa siku ya mkesha wa mwaka mpya tulikuwa maeneo ya nyumbani tukifulahia baruti zilizo kuwa zikilishwa juu kutoka ktk kambi ya jeshi nyumbani ni mbali na jeshini ila tunaziona kwa juu zikilushwa ni tukio ambalo tumelizoea kila unapoingia mwaka mpya pale mtaa kulichangamka sana watu badoboda walikuwa wakipiga kelele honi basi kila mmoja kuufurahia mwaka kwa jinsi anavyojua yeye
Mara likapita kundi la watu wakishangila kwa vigoma na kuimba walikuwa wengi kiasi walipendeza jinsi walivyokuwa wakipiga goma na kuimba bila kujiuliza Mara mbili nikaungananao kushehelekea mwaka tulikuwa tukiimba tumeona mwaka mpya basi bhana kuimba kigoma vimenoga tunakata mitaa tu uku tukiwakusanya watu wengine baada ya kufika mbali kidogo nikaona bora nigeuze niludi mtaani kwangu
Ile mitaa niliyo kuwepo haikuwa imechangamka Giza Giza watu hakuna basi nikawa napita balabala kuu ya mtaa kuludi mtaani kwangu wakati natembea mbele nikaona boda boda ikiwa imesimama huku demu mmoja akiwa pembeni nadhani walikuwa wakielewana bei ya kumplekeka mahali yule demu alivaa nguo nyeupe kuanzia kiatu mpk mkoba aliokuwa amebeba kabla sijawafikia yule boda boda aliondoka na kumuuacha yule demu pale ikiwa amesimama mm nikamfikia na kumuuliza kulikoni akaniambia Kuna mahali anataka kwenda lkn yule boda boda ameogopa kwende koz ni usiku na kuna tisha nikamuuliza wapi akanitajia hiyo sehemu naijua ni kweli kunatisha na kunaogopesha wakati wa usiku na maeneo yenye makaburi ukipita kwambele Kuna kiwanja cha mpira kunashule mbili za msingi ni eneo tulivyo na lakutisha sana kwa nyakati za usiku sasa demu alikuwa anaenda huko alafu unapita hayo makaburi uwanja adi shule yenyewe kwa mbele kidogo kutoka pale kwenda hilo eneo ni kama mwendo wa dkk30 \20kwa miguu
Sijui nilipatwa na nn nikamwambia kula huwezi pata boda boda ya kukupeleka twende nikusindikize Yule demu alijifikilia akasema huogopi nikamwambia kwa urembo wako acha nikusindikize basi tukaanza safari na story mbili tatu nikamuuliza umetoka wapi usiku huu anachonijibu akiheleweki mm nikaanza kumtongoza na kumuuomba mzigo kabisa kwa sababu ilikuwa usiku na yule demu alikuwa mrembo na tumeonana kwa Mara ya kwanza nikasema acha nimuombe game bila uwoga yule demu akasema unanijua mm nani utaweza kunitomba huogopi Yale majibu yake sikuyatilia maanani kabisa sijui akili ilikuwa wapi
Nikamwambia we ni mrembo umenivutia sana nataka penzi lako akasema we hata mm nimekupenda angekuwa kijana mwengine angeniibia kunipola kunibaka ila ww unaonakana kijana mzuri na sitakufanya lolote
Alivyo sema sitakufanya lolote pia sikuelewa kitu kabisa sijui akili yangu ilikuwa wapi labda kwenye game tu basi akasema ntakupa zawadi unayotaka
Wakt huo tunayakalibia makaburi nyumba zipo chache chache kimya Giza Giza mm nikamwambia kwa nn usinipe hapa hapa kabla atujafika kule mbele
Demu akasema kule ndio kuzuri
Mm nikamwambia hapn we nipe hapa hapa basi demu akakubali tukaenda kwenye nyumba moja iliyokuwa klb na makaburi akashika ukuta nikavuta gauni lake jeupe na kutana na chupi nyeupe nikaishusha nikachomeka mboo mm nimchakataji mzuri tu lkn ile mbunye sijawahi ona kitika maisha yangu kabisa kabisa ile mbunye sijui ilikuwaje nashindwa hata kuelezea tamu unajua tamu tamu jamani piga sana piga yule demu akaachia ukuta akashika viatu kabisa yaani akawa ameinama kushika viatu basi akaacha vitu vyote mm nachakata tu sijui utamu ukaanza kumkolea au vipi akawa naongea lugha ambayo sikuwahi kuisikia kabla yaani haieleweki kabisa sasa akili zikaniludi nikaanza kumuuangalia vizuri yule demu lkn sikuona tofauti kichwa alikielekeza chini koz alishika chini viatu nikashindwa kumuona zile sauti zikawa zinabadilika badilika Mara kama mtoto Mara mwanaume yaani sielewi hapo akili zikanicheza na stimu zikakata na uwonga kuaanza kuniingia nikachomoa yule demu alikaa bile vile kama dkk moja ndio akanyanyuka akaniuliza VP mbona umechomoa ikibidi nidanganye mlango kule home sikufunga alafu usiku huu wezi wanaweza kuingia na kuimba yule demu akaniangalia sana nadhani aliniona nilivyokuwa na wasiwasi akaniambia kwa ukali sana toka ondoka haraka hakika naludia hakika nilitola nduki unajua nduki kuelekea upande tulio toka nikageuka nyuma sikuona kitu yaani MTU au kitu chochote nilikimbia mpk nlpofika balabala kuu nikisimama kozi kulikuwa na watu watu nikiwa nahema sana nikaanzatembea kuludi mtaani kwangu
Mm naamini alikuwa jini na hakutakia kunidhulu

Hivyo ndio nilivyokula jini kimasihara wakuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe Huu uzi watu wanaandika bila codes ndo maana waume zao wanajua.

Wakuu jitahidini msifunguke sana, kuna jinga moja limesema mpaka aliyemla sasa yupo south africa wakati mama wa watu alishamwambia japo amempa ila analinda heshima yake.

Kwann mabaharia wana akili za kitoto hivi? Kuna mpuuzi huko nyuma ametaja ofisi anayopatikana aliyeliwa, akataja mpaka mtaa na nyumba aliyoingizwa na huyo mke wa mtu huko Arusha mumewe akiwa hayupo.

Tukio la miaka mingi nyuma linakuja vunja familia na kusababisha mauaji.

Hizi ni akili za nzi kucheza na mavi, angekuwa na akili angetengeneza asali.
nawashauri wa edit wabaili majina, location etc

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi nimekutana na demu kwenye daladala nikabahatika kukaa naye siti moja.
Wazo la uzi wa rikkiboy likanijia kuwa nitest zali hapa. Changamoto iliyokuwepo ni umbali mfupi na nilipokuwa nashukia mimi,nisingeweza kumtongoza ndani ya muda mfupi hivyo akanielewa. Nikaona niombe namba ili mengine niyamalize kwenye simu. Nikamsemesha akawa anajibu vizuri tu,nilipofikia kuomba namba ya simu mdada akawa ananiangalia tu halafu anacheka. Nikahisi huyu ashapita kwenye uzi pendwa hivyo anazijua mbinu zote. Nikamuomba anielekeze atakapokuwa ili nikipata nafasi nije kumuona akasema siwezi kumpata kabisa.
Wadau nilifeli wapi kula kimasihara hapa?
Wearing style pamoja na low confidence ya siku hiyo uliyokuwa nayo ndo vilimfanya akuone nothing as utampotezea mda tu.

Ila usikate tamaa jaribu tena sehemu/ dem mwingine mwisho wa siku utakuja kuushukuru huu Uzi pendwa. Baharia hakati tamaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom