ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,639
- 90,054
Kweli hii ni kutafuna kimasihara, japo huyo alikuwa na ugwadu sio wa nchi hii, au ni kahabernimekula tunda kimasihara
hii ilikua kipindi kifupi baada ya kuingia jf na kusoma uzi wa mkuu rikiboy "ushawai kula tunda kimasihara?" baada ya kuupitia pitia huo uzi nikaomuona mdada mmoja wa jf kakomenti eti sijui akumbuki mara ya mwisho kukojoleshwa ni lini, nikareply komenti yake mm naweza kukukojolesha mara 10 ndani ya lisaa
amuezi kuamini baada ya reply iyo nikaona bi dada kajaa kweny PM yangu anauliza unaeza nikojolesha kweli weww? kishoka nikajiuliza uyu msichana ananipima imani au yupo real?kimasihara na mm nikamjibu naweza, mara akataka tuonane uku kichwani siamini kama kweli anataka kukojoleshwa
nikamwambia kama unataka kukutana na mimi jua unakuja straight ninapo ishi maana mimi sipendi kuzurula zurula kwaiyo nikamuelekeza tu mtaani napo ishi, apo adi tunafika hatua iyo uyu mdada alitoa ma digits take ya simu mwenye pale kweny ubao wa pm, wakuuu! ilikua ajabu na kweli mdada wa jf ananiambia anaanza safari kuja mtaani napo ishi ili akojozwe, mara baada ya kama lisaa na dakika kama 50 hivi anipigia simu yupo kituoni niende kumchukua, kweli mdau nikatoka casual tu na unyunyu kwa mbali nikafika adi kituona nikamuona, uyu msichana ana sura nzuri kivilee lakin mkia wazee! tako alikua nalo lakutosha tu
tu cut the story, tukafika getto na mtu alikua amezamilia na amekuja kwa lengo la kukojozwaa nikamuuliza ndo umekuja kweli kwasababu iyo? akawa anacheka tu, na mm kwenye sheria zangu za mchezo mtoto akicheka cheka bila sababu huwa naanza kufanya yangu aste aste! nikaanza kufanya yangu wenyew wanasema ufundi kitandani sio maguvu kujikwamua, nimbonyeza mtoto wa watu kimasihara kabisa! lakin kiukweli nilimkojoza mara mbili tu hahah!
Asantw sana jf, asante sana rikiboy kwa uzi wako nikula apple kimasiahara kabisaa yani
bi dada kama utaiona hii komenti samahani! nimeona wadau wanatiririka sana na shuhuda zao adi nimepata wivu