Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 6,402
- 12,010
Sad...pole sana.uliendelea nae?Mtaani Kuna Mikasa mingi ya baba wazazi kutembea na mabinti zao either kimasihara ama kwa makubaliano
Mbona hizo shuhuda hatuzioni humu?
Me nitasema changu kipindi fulani wakati nasoma mkoani Iringa natoka chuo narudi ghetto kufika mitaa NMB hii ya jengo la Hans Pope Kuna kadada niseme binti kalikuwa na 17 to 18 ila alikuwa mrefu huwezi kudhania Kama ana huo umri
Nikakaita kakaja nikaomba namba akanipa nikasema nitakucheck, ajabu ni kwamba kadri nilivyokuwa nasonga mbele nayeye anakuja nyuma yangu nikamuuliza unakaa wapi? Akanielekeza kumbe ni kajirani kangu bhana nikasema twende kwangu kwanza then ndiyo uende home
Kakakubali kufika ghetto nikakala hakuwa mzuri Wala fundi so hakunivutia baada tu ya lile tendo kwa sauti ya huruma kakasema naomba 4000 nikauliza ya Nini? Akasema nimeambiwa nilipe chupa ya chai nilivunja asubuhi
Baadae nilikuja kugundua yule binti anaishi na Mama wa kambo na alijirahisi vile apate pesa ili alipe hiyo themosi
Nilimpa 10k ila niliumia na kujisikia vibaya ni bora kabla ya tendo angenieleza yamkini ningemsaidia bila hata kumgonga ina maana aliuza utu wake akasolve msala home
Nimekuwa raised na Mama wa kambo na wajua iliniuma mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

