Duh.... alipungukiwa shingapi
katika mishe mishe za maisha kuna kipndi niliwahi kupiga bod boda mitaa ya dodoma mjini, kipindi hicho wateja mda wa mchana sio wengi wateja wanaanza kupatikana kuanzia saa 12 jioni mpaka usiku wa manane, mida ya saa 7 usiku nilipata mteja sista duu yupo chakali alikuwa anakwenda mitaa ya njedengwa.nimemfikisha mpk anapokwenda akatoa hela pungufu na tuliyokubaliana iliyobaki akadai anaifidia kwa papuchino aaahh mimi mwenyewe nilikuwa na uarosto aka nyegelesi nikamshikisha pikipiki na kupiga tako zangu kadhaa wazungu hao. nikawasha pikipiki nduuuuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana mitaa ya tatu nne usiku baada ya kutoka kula mtungi nimedrive home, packing kama unavyojua maeneo ya wazi mf .CCM, baada ya kujiridhisha nimeacha chombo vzr, Ile naondoka tu, nikasikia samahani Kaka. Nacheki Mama wa kati ya 30-35 mjamzito miezi 6 nilimuuliza.

Nikamwambia unasemaje mama mbona hapa saa hizi!, ni kijimtaa wanamopita watu kila baada ya dakk 2-3.

Nikasikia boy mmj anasema bro msaidie huyo. Nacheki madogo wa kitaani nawafahamu. Akili ikanipa basi wanamjua.

Huku nawaza kula tunda na mjamzito lilivyotamu(K ya moto). Lakini maadili yangu yananikataza,as if pana kitu, kinanambia kiumbe tumboni anasikia vyote mnavyoongea.

Akasema shida zake ikiwa ni njaa tu kikubwa, maskini ninatabia ya kununua nyama nikaitoa imekaangwa na ndizi. Akanishukuru Sana akanipa namba, sikumbuki nilivyo isevu. Naona tunda linakuja taratiiibu.

Nia ya kumla sina kabisa. Ukizingatia aliomba niende nae gheto. Chakula na vijicent nilivyompa viniache huru na yeye awe na amani. Tusifurahie kula tunda kimasihara,lakin tuangalie jinsi ya kusaidia watu tukikwepa kuwala warembo wetu, mkumbuke usemi ...'ukila utakiwa..' mwisho wa kunukuu.

Ipo siku mke wako, mtoto wako, dada ako ataliwa kimasihara.
 
Ulitumia ndom u
katika mishe mishe za maisha kuna kipndi niliwahi kupiga bod boda mitaa ya dodoma mjini, kipindi hicho wateja mda wa mchana sio wengi wateja wanaanza kupatikana kuanzia saa 12 jioni mpaka usiku wa manane, mida ya saa 7 usiku nilipata mteja sista duu yupo chakali alikuwa anakwenda mitaa ya njedengwa.nimemfikisha mpk anapokwenda akatoa hela pungufu na tuliyokubaliana iliyobaki akadai anaifidia kwa papuchino aaahh mimi mwenyewe nilikuwa na uarosto aka nyegelesi nikamshikisha pikipiki na kupiga tako zangu kadhaa wazungu hao. nikawasha pikipiki nduuuuki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HII NAWEZA KUSEMA NILILIWA KIMASIHIRA NA MKE WA MTU ASEE!!

Mwaka 2015 nilihitimu ka diploma kangu ka Maendeleo ya Jamii chuo fulani hivi, nikarudi mtaani. Kutokana na ajira kuwa ngumu na mzee baba kusimamisha ajira kupisha ukaguzi wa vyeti feki nikawa mpole tu yaani.

Kipindi hicho niliapata demu Facebook tukachati saana, tunapendana saana na tukawa wapenzi, hapo video calls nyingi sana kipitia Facebook. Kutokana na umbali kutoka nilipokuwa na yeye alipo, tulishindwa kuonana maana mi pia hali ya maisha haikuwa poa kabisa na ajira hakuna.

Mwaka 2017 Yule demu akasema tuachane maana kapata mwanaume mwingine na atamuoa soon, hivyo tubaki marafiki tu wakawaida. Mwaka huo huo nikahamia jiji la Makonda nilipata kazi Manispaa moja hivi, kuziba pengo la waliotolewa vyeti feki.

Kipindi hicho Yule demu akaniomba nimuadd kwenye group lolote la WhatsApp na Mimi nikamweka katika group la marafiki tu, baadae akatuma namba ya rafiki ake pia nimuadd, tukaendelea na chatting za kawaida.

Siku moja nikamfata inbox nikamwambia, kwakuwa yeye tayari mahusiano hayapo, basi aniruhusu niwe na rafiki yake. Majibu aliyotoa ni kwamba, mimi simuwezi huyo na pia kaolewa na haiwezekani!! Nilijua uzushi nikakaza, akaniruhusu.

Nikaanza kumtongoza rafiki yake kwa muda baadae akakubali, akasema ni mke wa mtu nilijua utani, siku moja akaja pale Magomeni kanisani tukaonana ili kufahamiana, kaja amevaa kininja (ni muislamu) na baibui lake lakin ana shape matata inaonekana, katika stori ndo akafunua uso nimuone, daah sura nayo nzuri, nikasema liwalo na liwe. Baada ya hapo tulifungua ukurasa wa mapenzi!! Mpaka sasa tuanaendelea.

Kimbembe kilianzia hapa, kumbe kipindi namtongoza alikuwa akimshirikisha rafiki yake huyo, naye akamuhakikishia kwamba tumeshaachana so asijali. Baada ya muda wakaonana akawa anamsimulia mapenz yetu yalivyo n.k

Siku moja nashangaaa yule demu wa mwanzo ananitafuta na kuniachangamkia, Mara nitumie X, wakat alishasema tusiwe na mazoea ya hivyo, nikamtumia kumbe ana lake Jambo. Siku moja yule akamwambia kuwa ana ujauzito wangu, Cha ajabu akamjibu, huyo hajatulia bado ananitumia mimi video chafu. Yakaisha!!

Siku moja demu huyo akaniambia tuonane Ubungo Terminal, nilikuwa naishi karibu na maeneo hayo na tulikuwa hatujawahi kuonana hata Mara moja. Nikaenda nikamkuta yupo na mama yake mdogo rika moja, wakasema wamekuja kumpoke mgeni, baada ya mgeni kuja nikawasindikiza wakapanda gari za kwenda Tegeta mi nikarud.

Baada ya muda simu ikaita, nikaombwa niwasindikize mpaka Tegeta na kwa kwa kuwa sikuwa na kazi yoyote nikakubali, iliwakua saa mbili usiku, tulivyofika Tegeta ile nataka kurudi, nikaombwa nikpaone wanapoishi Ununio, tukapanda Bajaji, kufika huko nikaambiwa siwezi kurudi mpaka wapike nile, hee, kuja kustuka ishafika saa sita, wakaitana nje na kujadili kwa muda halafu nikaitwa

Ajabu, nikaambiwa kurudi itakuwa ngumu na ya usalama itkuwa sio poa, so itabidi ulale utoke asubuhi, kumbe yule mgeni alikuwa bwana wa ***** mdogo, halafu chumba kimoja ikabidi sisi twende lodge tena chumba kimoja!

Nikajikut sina jinsi nipo nae. Kutokana na kuwa sikutegemea Wala kujiandaa, nikanikuta tunafanyana usik ule.
Ni moja ya shoo mbovu kuwahi kutokea kwangu. Asubuhi nikmwambia kabisa, sijawahi kucheza shoo mbaya Kama hii!! Na kwa jinsi kabla hatujaachana nivyokutambia, itabid ijirudie na akakubali.

Baada ya siku kadhaa akaijileta mwenyewe, siku hiyo nilimwandaa bala. Nilikuwa sijawahi kikutana na mwanamke anaemwaga kojo kama yule. Kwa siku ile alimwaga mara 16 mpaka nikageuza godoro juu chini.

Alichoniambia Alisema, Madaga wewe ni balaa, sijawahi kuwa na Hali hii tangu nijue Mambo haya, hata huyu mume nilie nae hamna kitu, nitamuacha. Akimuacha mumewe akaondoka kwao, halafu akarudi Dar! Nimepiga saana! Mumewe akamrudia tena wakasuruhisha, wamerudi Dar Ila ndo usumbufu hauishi anataka nimpe tena na tena!!

Usiku mwema!!

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha mke wa mtu kaka utakuja kuishia pabaya


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Jana nilikuwa muhimbili Hospital ...kuna bro wangu nilimpeleka kupata matibabu ,kwenye kukaa kwenye mabechi kusubiri huduma nilikaae na mzee wa miaka 50 hadi 55....alikuwa anachezea simu yake kutupia jicho nikamuona yuko humue jf anasoma huu uzi wa kula tunda kimasihala nilicheka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana nilikuwa muhimbili Hospital ...kuna bro wangu nilimpeleka kupata matibabu ,kwenye kukaa kwenye mabechi kusubiri huduma nilikaae na mzee wa miaka 50 hadi 55....alikuwa anachezea simu yake kutupia jicho nikamuona yuko humue jf anasoma huu uzi wa kula tunda kimasihala nilicheka sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna maza wa umri uo nisha mbooking kabisa naenda kula tunda ana 55 kanigawa ktk kt kiumri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio uongo mkuu, kuna stori unasoma kulingana na mazingira uliyopo unaiweka kiporo kwanza maada unaweza dhalilika hivihivi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haa haa.... Ni noma sana leo nilikuwa nasoma post moja apa kwenye mwendokas nkaona jamaa ameanza kidinda noma.... Nkatoa kwanzaa nsije kuzalilika.... Kweli nilianzisa balaaa japo hawataki kunifungulia bann adi leo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikupenda kuandika hii story ila nahisi kuna mtu inaweza ikaja kumuokoa na janga lililowahi kunikumba.
Mnamo mwaka 2009 nikiwa nipo zangu mkoa nikiwa almaharufu kama Ahmada au garimoshi sababu ya unywaji pombe uliotukuka na uvutaji sigara grade 1
Nilibahatika kuwa na marafiki wengi wa kufa na kuzikana katika ulevi.Basi bhana siku moja nikakutana na besti yangu wa kitambo bar, basi nakumbuka tulikunywa sana siku hiyo
Basi imefika saa 6 usiku jamaa akasema kalewa anataka asepe ila kuna muhudumu kamuelewa anataka kuondoka nae,
Basi kama kawaida ya mpambe kuwa shapu nikamfata yule manzi nikamueleza akaelewa ila akasema hawezikuondoka muda ule tusubiri mpaka wafunge au nikaongee na meneja
Faster nikamfata meneja nikamueleza akasema tumuachie 10 then tusepe na binti
Jamaa akalipa pale watu tukang'oa mrembo basi nikasema ngoja niwasindikize kimtindo aise ile kufika kwa jamaa nawaaga niondoke demu si akagoma kubaki akasema yeye hamtaki jamaa ananitaka mimi
Duh! Nikajisemea dodo hili ila kuzuga nikazuga kumsihi demu abaki pale ila akakataa katakata
Basi jamaa kiroho safi akasema dogo kapige tu sio kesi
Basi na pombe tena +mihemko demu nikamsogeza chocho nikachapa then nikamwambia sepa mi sina pakukupeleka bado naishi kwa wazazi
Basi bhana baada siku nne mashine ikaanza kuwasha muwasho mkali kiasi inapidi nikune kwa mtindo wa kuipekecha
Siku mbili mbele yakatoka mapele hatare afu yanawasha nikikuna yanapasuka aise acha tu
Basi mashine ikawa imejaa madonda yakikauka inaanza kuwasha tena muwasho mkali hauvumiliki nikikuna magamba yanabanduka inabaki mashine nyekuundu
Kiufupi nilikoma nilikunywa dawa za kuunga unga mpaka jasho likanukia dawa
Mwisho nikamfata mshua nikamueleza naumwa sana naweza kufa naulizwa nini shida namwambia huku chini kunauma kweli
Basi akaitwa rafiki yake ambae ni dokta alivyoicheki tu mashine akasema dah! Ungechelewa mwezi tu mashine ingelika yote huu ugonjwa mbaya sana unaitwa PANGUSA
But nashukuru Mungu mzee hakuwa na hiyana akagharamikia matibabu yote japo kwa masimango
N.b chunga sana hayo yanayoitwa masikhara kuna siku ita kucost dear

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe haukuwa mtaalamu wa izo mambo ..uliingia kichwa kichwa..

Ila pole sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom