Wee noma sana dk 50
Nakusukuma huko mbali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kichwa cha chini sio poa mkuu, kina balaa sana, kesho nkipata mda kesho ntasimulia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unanikumbusha series moja...how i met your mother
 
Sema uwe unaficha uhalisia majina na watoto kama ni 2 unasema 3 una kama manzii ni mtu wa mtandaoo hata penda akiona hii story.

Ila yoyote kumla boss raha kwelii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dakika 50 mmhh hiii sio chai n uji wa mzazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uandishi maridhawa sana huu,
unakaribia kufanana na yule bwana wa Lindi, baba wa Hamida.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyoko we[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwanini hukuvaa ndom?

Sent using Jamii Forums mobile app
Shambulizi la kwanza halikupangwa, sikujiandaa.

Shambulizi la pili sikutaka kula yale mashavu na mpira, nilitaka "direct injection", Carburators zinaleta miss sana. Yalikuwa matamu sana na vile viuji uji vyepu kama dawa ya meno.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanangu ulijipakukia Mmeru wa Ngyani sio..

Nilijipatia mmoja wa juu ya hapo kidogo panaitwa Songoro wakati ule wa sensa. Hawana shida watamu sana na raha hawana makuu hata kahawani unainamisha.

Naikumbuka Arusha

Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseeee acha tuu Mkuu,last month nimekutana nae nikapiga machine kama Kawa,hawara hana talaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpaka sasa nikiambiwa nitoe tuzo za uandishi bora ananza
1 mzee wa lindi
2 kiga koyo
3 juma p magarage
Bila kumasahau legend wa uzi Ric boy
Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jamaa kweli ni mav* kwani si anasimulia wakati uliopoo yaani kaongezea kunogesha story

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…