Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,488
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana nimechungulia tuu jamani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ungejua ninachotamani hapa mdogo wangu!![emoji1]Huu uzi umekaa kinamna namna
Kila nikitoka roho mchafu ananirudisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23]
Unatamani nini eti jamani kaka yangu kipenzi...Ungejua ninachotamani hapa mdogo wangu!![emoji1]
Hahaha, mdogo wangu kuna mengine hata siwezi kukuambia hata kama nimetanguliza tamaa. Haha ID ipi tena mdogo wangu mzuri?Unatamani nini eti jamani kaka yangu kipenzi...
Nimeona kastori kako kwa ile ID ingine
Niambie jamani kaka yangu kipenzi... Hivi unajua venye nakupenda mimi jamani!!Hahaha, mdogo wangu kuna mengine hata siwezi kukuambia hata kama nimetanguliza tamaa. Haha ID ipi tena mdogo wangu mzuri?
Kila nikitoka roho mchafu ananirudisha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi nasomaga kisa kimoja tuu jamani, visa vinahamasisha unaweza kuwa mwekundu ukiwa kazini...mimi hua nascreenshot nilipoishia ili nikija tena nianzie palepale nisipitwe ata na nukta[emoji23][emoji23]
Mi nilikuwa C nilikuwa na dogo mmoja MDL akiishi D, mwingine Md pale A now ni md5 nikiwatajia am sure mtamfahamhahahaha nimekaa hapo room number 37,
tumezagaa sana block D, A, N na K kitafuta matunda ya warembo kule.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji85][emoji85][emoji85]Mimi nasomaga kisa kimoja tuu jamani, visa vinahamasisha unaweza kuwa mwekundu ukiwa kazini...
Hahaha, sakayo mdogo wangu hata sina ID nyingine. Labda uniambie nifungue nyingine ili nikuwe nakupm mara moja moja.Niambie jamani kaka yangu kipenzi... Hivi unajua venye nakupenda mimi jamani!!
ID ile ulosimulia nayo kale kastori [emoji39]
Mimi nasomaga kisa kimoja tuu jamani, visa vinahamasisha unaweza kuwa mwekundu ukiwa kazini...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahaha, sakayo mdogo wangu hata sina ID nyingine. Labda uniambie nifungue nyingine ili nikuwe nakupm mara moja moja.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mi sisomi kama sipo eneo salama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nasubiriaga nikiwa room nimetulia
Mimi nasomaga kisa kimoja tuu jamani, visa vinahamasisha unaweza kuwa mwekundu ukiwa kazini...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapo sawa, kuna kipindi unajisahau unasoma mchana
Yaani acha kabisaa jamani, macho yanabadilika na rangi jamaniHapo kwenye kuwa mwekundu, aisee.