Boss naona hii mi fungulia mwaka.
 
True mm mwenyewe huwa naunga la pili bila kuchomoa dushe,washkaj zang nikiwaambiaga hii huwa hawaamini "et wanasema mtu akipiga bao la kwanza lazima uchomoe dushe upumzike kwanza" watu tunatofautiana uwezo...na hasa demu akiwa mpya aisee huwa napiga sana na npataga hamasa ya kuunganisha mabao
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks. Ni product gani hivyo. Nataka nijifanyie ukarabati mkubwa. Miaka 49 nimepitia wengi. Sasa nahitaji repair. .. Ili demu nikimgusa tu inasimama mwanzo mwishoo. Nishauri tafadhali
Rekebisha Kwanza kiwango cha homoni
_Changanya kiini cha yai na vijiko viwili vya asali ,kunywa asubuhi na jioni.
_Jitahidi kula tikiti maji kwa wingi
_Kausha mbegu za maboga kula vijiko vitatu kwa siku
_Penda kunywa maziwa fresh
_Kula ndizi at least 2&3 kwa siku

Ukifanya hivyo wiki 2&3 uume hautalala baada ya ejaculation ya kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Du umekosa kula Tunda mzee. Umewahi mtongoza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiunganisha tatu tunaita Hat trick [emoji145], kiutaratibu Demu anapaswa kuacha kyupi kidume akipiga hat trick. Ninazo kyupi Kama dazeni mbili geto. Ni kujizoeza tu, ukishazoea inakua ni utaratibu wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
uenjoy halafu usimtafute

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Roger that

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nisingekuwa naunganisha mabao ningeaibika sana.. maana bao la kwanza ni tako kama 7 tu wazungu hao.. sasa nisingekuwa naunga si ingekuwa ni aibu ya mwaka..
Ndio maana napata tabu kutumia ndom
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…