Naleta ya mwisho!!
Mwaka 2017 nilikutana na dada mmoja ambaye tulipotezana kama miaka 4 hivi.
Huyu dada enzi za ubinti wake alikuwa anaringa mno,yaani masela walipanga foleni kuomba ridhaa lakini wapi!.Nakumbuka kuna jamaa mmoja anavihela kiasi aliwahi mganda huyu dada mpaka akawa anatoa chozi wapi jamaa kaambulia patupu.
Kwa ufupi ameshatosa masela kibao tena wale wenye nia ya kuoa.
Sasa nirudi kimasihara,bana ee siku moja nipo town kati gafla nikasikia X,kugeuka hamadii ni huyu sister yuko na ride.sasa nikamtania "ulikuwa wapi nahangaika natafuta mtu wa kuoa?",akaniambia chukua namba hii unitafute kwa muda wako akasepa.
Siku moja tulivu nikasema ngoja nimcheki,nikavuta uzi akaniambia njoo home kesho mchana.Kesho ikafika mzee nikaenda kutia story,niseme ukweli tulikaa sebuleni manzi akaniambia sema sasa ile shida yako,mzee nikaanza kutiririka gafla akanikatisha "umeeleweka kijana".
Basi nikasogea alipo nikaanza kusifia,nikapapasa kali[emoji23],kushuka chini loh maji ndoo,nikaomba twende chumbani aisee nilijuta,manzi anabonge la[emoji192]pu ember rutty hatii mguu.Yaani nilijitahidi kupiga naona demu ananiangalia tu,kiukweli kati ya show mbovu hii sitaisahau maana nilikuwa naelea tu[emoji23].
Nilipata ahueni baada ya kumpindua doggy style hata hivyo sikurudi tena na mpaka sasa nimemblock.
Ukiona mwanamke at 40s hajaolewa jua kuna shida.
Sent using
Jamii Forums mobile app