Huu uzi unasaidia pia kurudia tendo kwa haraka[emoji23][emoji23][emoji23], ukimwaga tu af ukaona mjomba analegea, Njoo usome story za mabaharia dude linainuka chap kwa kasi ya 4g

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa mkuu [emoji3] [emoji3] .
Hii technique Nimeitumia jána nimepiga show y'a kibabe sana. Ilikuwa bandika bandua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa nyuma kabla sijapata ajira ya kudumu huku bandarini nilijiajiri kwenye biashara ya bodaboda.katika harakati zangu za kazi nikatokea kuzoeana na binti mmoja hivi mbichi mweupe pe sura ya kawaida kwao mambo safi ni wa kishua kiufupi hiyo ni baada ya kumpa huduma ya usafiri.baadae akachukua namba yangu kwa minajili ya pindi ahitajipo usafiri anishtue kwa kigezo eti me ni msafi nanukia pia naendesha kwa makini amependa uendeshaji wangu na mambo kadha wa kadha kama mziki na vinginevyo!



Basi ikawa aninipigia nampeleka anakoenda ananilipa fresh na sometimes ananiambia keep change (alikua vizuri kiuchumi maana anafundisha shule moja ya English medium alikua ticha huyu bibie) nikawa nimezoeleka sana pale kwao mpaka mda mwingine aniniagiza vitu nampelekea home kwao pia mama ake alinizoea nikawa nampeleka kwenye mizunguko yake na yeye.



Katika hali isiyo ya kawaida nikajikuta nimemtongoza bila kujipanga niliamini hawezi ruka kwa sababu alikua ananisifia sana mara umependeza mara dredi zako nazipenda na sifa kedekede nikajua amenielewa! Alafu kilichonipa imani ni kwamba alikua anakulana na mshikaji mmoja hivi mfanyakazi wa hiyo shule sekta ya upishi goigoi sana Levo zangu hagusi nimemwacha mbali nikajipa moyo kwamba kama yule mchizi mluga luga hapendezi kamla me ntashindwaje? Lahaula! Kumbe kila shetani na mbuyu wake mazee demu aliruka futi mia alafu akapanic kinoma na kejeli kibao mara siwezi kudate na bodaboda Tabaka LA chini nikamaindi nikakata simu akawa akinipigia sipokei kibarua kikaota nyasi




Nipo kijiweni sina hili wala lile kaja pale kanichamba sana mbele ya kadamnasi Mimi siyo levo zake ( mabinti ambao wasomi wenye vihela nadhani mnajua nyodo na maringo yao) na vitu kama hivo shombo kibao nilpata aibu ya mwaka hili tukio sipendi kulikumbuka nikamlaani laana zote. Nikampotezea maana nilmtongoza kimasihara tu hata angekataa fresh maana nilkua na mademu wengi kama mjuavyo bodaboda hawanaga demu mmoja. Ila kikubwa nilitaka kuhakikisha kama ni squirter maana mpishi wake baada ya kuachana nae alitangazia jamii kwamba demu anamwaga maji ukikulana nae kitandani utandike turubai maana kitanda kitalowa



Siku wiki zikapita siku ya siku mamake kanipigia nimfuate mahali nimpeleke nyumbani kwake. Wakati tupo safarini kuelekea home akawa amenikambatia sana akiogopa kuanguka maana alikua tungi kiasi flani sio cha kutojielewa halafu barabara ilkua mashimo kibao. Nimemfikisha kwake kaniomba nikamuwashie taa za nje saa moja na nusu usiku wakati natoka tukakutana mlangoni zero distance alivyonishika nikajua bibi mdashi ana nyege akanisukumia ndani anataka mpini nikakumbuka jinsi binti yake alivyonidhalilisha nikaona pale ndo kulipia kisasi nilmchapa nao palepale sebuleni kwenye masofa aisee nilmpelekea moto yule mama sio kwa hisia ila kwa hasira na dharau za binti yake. Shoo ilipgwa pale huku chombo yangu nimeipaki nje ya geti na funguo nimeacha nje sikujali nia yangu nilipe kisasi. Baadae maza kaleta mapenzi sana mpaka mwanae kaja kujua akanilaani na yeye na kuninunia. Nilivyomaliza kanipa elfu kumi akasema chenchi Baki nayo huku akisisitiza kwamba aninielewa kitambo nikajua kumbe ilkua janja ya yule mama lile tukio zima alikua amelipanga




Baadae nikaja sikiaga stori kwamba yule mama Mme wake alikufa kwa umeme aisee niliishi kwa mashaka sana siendi kupima nikikohoa kidogo najua tayari ukimwi huo.siku ya siku nikaumwa serious mpaka kufikia kutokujitambua bro kanipekeka hospital alinifanyia chekapu mwili mzima kanipima magonjwa kibao kanipima mpaka ukimwi kuja kupona ndo kanielekeza sina ngoma alinipima maradhi kibao.


Aisee kula tunda kimasihara kunaambatana na stress na manyanyaso yake wazee. Yangu ni hiyo tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baharia kanusurika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kula tunda kimasihara sijawahi na sitaki kabisa, nilishajaribiwa mara tatu tena kona mbaya lakini huwa nachomoa...nafikiri sijajichoka kiasi hicho
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu nipasie namba ya huyo squirter nijue kama kweli ....nije nitoe ushuhuda jamvini hapa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa wamama watu wazima wanapenda sana miti sema tamaduni zetu wanakufa na tam zao..hawa walofiwa na waume ndo basi tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leka dutigiteeeeeee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lakin kasema yeye ndiye aliyeliwa kimasihara. Kwa kauli hiyo Mwamini tu

Bazazi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]stori yako bwana.ina supu ya maindi ya kuchoma na matango pori.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahah kwa masha nimekaa hapo bro mwaka flani hv

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…