Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 45,075
- 111,682
Mbona unanitisha mkuuUkiguswa tu hivi na akiwa na jasho jasho unao yaan hapo utatoka mafundo fundo mauvimbe au km una kinga mwili yenye nguvu utaona unaanza kuvimba viduara vinasambaa kwa kasi ya jet na ukikuna ndio unasambaza mwisho mwili mzima utakua na huo ugonjwa sasa tiba ni dawa ya kupakaa na kumeza maana ukipakaa bila kunywa dawa vinakua hujamaliza ugonjwa kwa hio lazima upige dozi Mwezi mmoja ila ukimaliza unakua na ngozi km Gwanda la JW ni mabaka mabaka mwili mzima