Joan lewis
JF-Expert Member
- Jan 3, 2019
- 1,007
- 1,505
Yule Dr kijazi. Sio amestaafu Kweli?Kweli kabisa juu ni blue tupu.
Yule mama wa hali ya hewa hajajitokeza tuu
Yule Dr kijazi. Sio amestaafu Kweli?Kweli kabisa juu ni blue tupu.
Yule mama wa hali ya hewa hajajitokeza tuu
Miezi kadhaa hata mwaka unaweza ukaona kawaida ila usipotibu mapema unakomaaNshaogopa, dalili zinaanza kuonekana baada ya muda gani?
Kama waliopo vizuri kupata huduma za kawaida ni kipengele itakuaje Kwa hao ambao Wana changamoto mbali mbali?Aise pole yake hivi serikali kupitia wizara ya afya wasiwasaidie hawa watu?
Inasikitisha sana ndio maana mimi huwa kama nna kauwezo kidogo huwa siwapiti bila kuwapa chochote.Kama waliopo vizuri kupata huduma za kawaida ni kipengele itakuaje Kwa hao ambao Wana changamoto mbali mbali?
Kwahiyo nifanyaje mkuu kabla mambo hayajawa mengiMiezi kadhaa hata mwaka unaweza ukaona kawaida ila usipotibu mapema unakomaa
Acha kutisha watuUkiguswa tu hivi na akiwa na jasho jasho unao yaan hapo utatoka mafundo fundo mauvimbe au km una kinga mwili yenye nguvu utaona unaanza kuvimba viduara vinasambaa kwa kasi ya jet na ukikuna ndio unasambaza mwisho mwili mzima utakua na huo ugonjwa sasa tiba ni dawa ya kupakaa na kumeza maana ukipakaa bila kunywa dawa vinakua hujamaliza ugonjwa kwa hio lazima upige dozi Mwezi mmoja ila ukimaliza unakua na ngozi km Gwanda la JW ni mabaka mabaka mwili mzima
Mimi sikua huku nimefikaje uzi umehamishwa?Acha kutisha watu
Umeshaingia kwenye mfumo, tuliaaMimi sikua huku nimefikaje uzi umehamishwa?
Vipi umeshamchakata ?Niko bar flani hivi, iko kavu haina watu na kuna mhudumu naona ananitolea macho sana akipita kwangu anajichekesha tu.. niombeeni tu aelekee kibla nije kuwahadithia humu.
Humu wa kueleweka ni wewe mwenyewe tu vinginevyo humu ni hatari sana.Humu jf watu hawaeleweki
Na ulivyo mama kijacho basi kitu kimetuna alafu cha moto hatari 😋😋Jaman tushazoea joto naona mvua zitakuja Kwa Kasi jijin bongo tuliozoea kwenda Kwa dada poa speed ipungue USAID haileti msaada.
Tufe na ngenye zetu 😹😹 maan Ata nyeto haitanoga na ili baridi just imagine nimeamka na goosebumps sielew elewi na maduvet yana vumbi 💔 lazima nife kisoldier 😹😹🙌🏾
Uzuri mim yupo Anastasia21 atakua ananibalansia ubongo unakaa sawa. kwan shda ipo wap?Jaman tushazoea joto naona mvua zitakuja Kwa Kasi jijin bongo tuliozoea kwenda Kwa dada poa speed ipungue USAID haileti msaada.
Tufe na ngenye zetu