EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 13,189
- 20,637
Ni la dharula jomba vinginevyo tubaki njia kuuHiyo Dodoma na Gomorrah haifai,mtakuja kulia siku mirija imeziba ni urafi tuu!
Ni la dharula jomba vinginevyo tubaki njia kuuHiyo Dodoma na Gomorrah haifai,mtakuja kulia siku mirija imeziba ni urafi tuu!
Kaka, tunaomba muendelezoSoon brotha
Nenda hospital kapime, jf hawapimi wagonjwaKwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Inaonekana mpira hukuvaa huyo ni "mfalanyaki" aka ngwengweKwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Hakuna ngwengwe ya siku mbili mkuu wacha kumtisha mtoa madaInaonekana mpira hukuvaa huyo ni "mfalanyaki" aka ngwengwe
Watu kama hawa nikuwafungulia jarida mahakaniDaaah kwahiyo sisi wembamba sana unakuwa unahisi tuna ngoma sio?
Mawazo yako na hofu yako ndio itakuua,ninavyojua mimi baada ya wiki mbili reaction ya virus ndio huonekana,hayo ni mambo mengineKwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Nakazia mkuuKaka, tunaomba muendelezo
HahahahahahHakuna ngwengwe ya siku mbili mkuu wacha kumtisha mtoa mada
Utakuwa ulitumia energy nyingi sana kuipiga mkuu.Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Yaani nimejisikia vibaya sana ila ndio hivo sina namna.Watu kama hawa nikuwafungulia jarida mahakani
NdioUlipiga denda
KapimeKwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Si mpaka miezi 3Kapime