Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mkuu huo ni wasiwasi wako tu hakuna ngoma ya haraka hivyo labda uti, sema mimi madem wembamba sana unakuta kipaja kidogo chembamba kama panga kiukweli huwa nakosa nao hisia kabisa by the way sijamzungumzia Hannah
Ungesubiri hata uchangie kuhusu hili kesho. Kitu kizito alichotupiga mtoa mada kilitosha kwa leo, wewe ungesubiri hata kesho.
 
Sema wale madem wembamba sana hata mimi huwa siwawez kwakweli dem awe na minofu kidogo hata akikufunulia paja unaona linatia hamasa sio dem anakuwa mwembamba paja limekauka kama kuni mi kuna mmoja nilishawahi mtimua gheto kwasababu hiyo
Heheheeee acha nijitahidi kula tu sasa maana kama watu mnasusa hadi papuchi kisa wembamba mbon hatari.

Hii thread imeletwa huku kwa wazee wa kimasihara duuh
 
Heheheeee acha nijitahidi kula tu sasa maana kama watu mnasusa hadi papuchi kisa wembamba mbon hatari.

Hii thread imeletwa huku kwa wazee wa kimasihara duuh
Mi mwenyewe nimeshangaa hii thread imefikaje huku kumbe moderator washafanya yao
 
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
🎤 Ona sasaaa aaaah aaah 😂😂
 
Back
Top Bottom