Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,546
- 6,499
Mkuu kwani denda inapitisha ngwengweUlipiga denda
Mkuu kwani denda inapitisha ngwengweUlipiga denda
Ungesubiri hata uchangie kuhusu hili kesho. Kitu kizito alichotupiga mtoa mada kilitosha kwa leo, wewe ungesubiri hata kesho.Mkuu huo ni wasiwasi wako tu hakuna ngoma ya haraka hivyo labda uti, sema mimi madem wembamba sana unakuta kipaja kidogo chembamba kama panga kiukweli huwa nakosa nao hisia kabisa by the way sijamzungumzia Hannah
Baada ya wiki mbili tu mzigo unasomaSi mpaka miezi 3
Hata baada ya wiki mbili unapima tu vipimo vya siku hizi ni tofauti na vya mwanzoSi mpaka miezi 3
Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Aisee ngoja nisubiri ndo wiki ya kwanza inaisha keshoBaada ya wiki mbili tu mzigo unasoma
Ni vile vya pharmacy ambavyo naweza pima mwenyewe?Hata baada ya wiki mbili unapima tu vipimo vya siku hizi ni tofauti na vya mwanzo
Ila hakuna ngoma ya namna hiyo,ila kama nafsi yako ina mashaka kapime uwe na amani expert wanguAisee ngoja nisubiri ndo wiki ya kwanza inaisha kesho
Sawa mkuu shukraniIla hakuna ngoma ya namna hiyo,ila kama nafsi yako ina mashaka kapime uwe na amani expert wangu
Sema wale madem wembamba sana hata mimi huwa siwawez kwakweli dem awe na minofu kidogo hata akikufunulia paja unaona linatia hamasa sio dem anakuwa mwembamba paja limekauka kama kuni mi kuna mmoja nilishawahi mtimua gheto kwasababu hiyoYaani nimejisikia vibaya sana ila ndio hivo sina namna.
Dah ndo basi tena
Yes ndio hata mimi nimemwambia hivoUlitumia condom so huwezi kupata HIV
Hiyo homa ni ugonjwa mwingine tu,hata hivyo watu wengi wana homa za hapa na pale siku hizi
Aache uogaYes ndio hata mimi nimemwambia hivo
Yes joanah ujawahi kuniangusha kuhusu madiniAache uoga
Heheheeee acha nijitahidi kula tu sasa maana kama watu mnasusa hadi papuchi kisa wembamba mbon hatari.Sema wale madem wembamba sana hata mimi huwa siwawez kwakweli dem awe na minofu kidogo hata akikufunulia paja unaona linatia hamasa sio dem anakuwa mwembamba paja limekauka kama kuni mi kuna mmoja nilishawahi mtimua gheto kwasababu hiyo
Mi mwenyewe nimeshangaa hii thread imefikaje huku kumbe moderator washafanya yaoHeheheeee acha nijitahidi kula tu sasa maana kama watu mnasusa hadi papuchi kisa wembamba mbon hatari.
Hii thread imeletwa huku kwa wazee wa kimasihara duuh
🎤 Ona sasaaa aaaah aaah 😂😂Kwema wakuu
Kuna demu nimemtongoza mtaani akakubali. Kama wiki imepita nikapewa mzigo ila nilivaa kondomu na haikupasuka. Cha kushangaza kama baada ya siku mbili nikaanza kuumwa na homa kali. Sasa najiuliza ni ngoma au uti maana demu simwelewi ni mwembamba sana
Shukrani mkuu kwa ushauriUlitumia condom so huwezi kupata HIV
Hiyo homa ni ugonjwa mwingine tu,hata hivyo watu wengi wana homa za hapa na pale siku hizi
Daaaah mi siwezagi kabisa yani mzuka unakataHeheheeee acha nijitahidi kula tu sasa maana kama watu mnasusa hadi papuchi kisa wembamba mbon hatari.
Hii thread imeletwa huku kwa wazee wa kimasihara duuh