Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Wewe kubali umekosea Tu huwez sema Mungu akurehem ukiwa hai.kama Una hoja za kutosha kuhusu kusema Mungu akurehemu ukiwa hai njoo

Unaongea na Master katik angle hiyo
Sky is the limit best."master"?kwenye knowledge hatuna huu msamiati hasa kwa mtu ambaye anajua evolution of language in "time"and space
 
Wewe kubali umekosea Tu huwez sema Mungu akurehem ukiwa hai.kama Una hoja za kutosha kuhusu kusema Mungu akurehemu ukiwa hai njoo

Unaongea na Master katik angle hiyo
Mind you sijalikosea ila amini nakuambia wewe unalifahamu kwa angle yako wakati mimi nalitumia kwa dimension nyingine kabisa.any way its my last coment kuhusiana na swala hili labda tuzungumze mengine maana nahisi tutawakera watu na kuondoa dhima ya jukwaa hili.asante
 
Sky is the limit best."master"?kwenye knowledge hatuna huu msamiati hasa kwa mtu ambaye anajua evolution of language in "time"and space
We jamaa ni mshamba Sana nenda kwenye hoja nini hujaelewa hapo neno "master" mothe..fuc... Unashindwa kwenda kweny hoja ...any way ipo hiv nikisema "master" namaanisha nipo vizuri kwenye lugha ya kiarabu...

Wewe umepuyanga au unataman kufa?

Bwege ww
 
Mind you sijalikosea ila amini nakuambia wewe unalifahamu kwa angle yako wakati mimi nalitumia kwa dimension nyingine kabisa.any way its my last coment kuhusiana na swala hili labda tuzungumze mengine maana nahisi tutawakera watu na kuondoa dhima ya jukwaa hili.asante
Wewe ni mazabzab lugha ni moja hakuna kwa dimension nyengine

Unapokosolewa unabidi ukubali mpumbavu mmja wewe

[emoji1787][emoji1787]Watoto wa Zama hiz shida
 
Kulikuwa na mfanyakazi wa muhindi
Mume wa muhindi alikwenda Canada sasa mama la kihindi limeshikika likaanza kuita
Hee juma kuja huku
Hee juma nini fanza
Her juma igia ndani
Hee juma Nini naficha
Hee juma wewe naiba hogo jikoni
Hee juma ona sasa hogo naoneka
Hee juma fungua suruali Naona kama miji naiba jikoni yangu
Wakati huo juma mzuka umeshampanda Kwenye zipu kumetuna
Hee Juma Mimi taka ona naficha nini wewe
Juma akaona isiwe tabu akafungua zipu mama la kihindi likaona network 4G
Hee juma hapana sema kwa mtu ingia hapa taratibu hapana umiza Mimi
Hee juma iko kuba Sana hii
Ingiza juma
Jumaaaa iko tamu Sana juma
Hapana sema juma
Kila siku kuja dani juma furahi mimi
Juma akala kwa ubwete na hela kapewa
Dah! Tumelaaniwa wengi aise
 
Wewe ni mazabzab lugha ni moja hakuna kwa dimension nyengine

Unapokosolewa unabidi ukubali mpumbavu mmja wewe

[emoji1787][emoji1787]Watoto wa Zama hiz shida
Wewe ndio ambaye unaonekana kuwa uelewa wako ni mdogo.

Huwezi kulazimisha matumizi ya lugha kwa namna unavyoelewa wewe.

Hakunaga dimension moja linapokuja suala la lugha, hasa yenye maudhui ya kiimani.

Neno rehema linatumika sana na tena kila siku kwenye ukristo. Na halihusiani na kutaka kufa.

Kwahiyo sio sahihi kusema kuwa wewe umebobea katika masuala ya kiimani.

Na kama kweli ungekua umebobea kwenye imani, nina uhakika usingekua hapa kwenye uzi huu
 
Wewe ndio ambaye unaonekana kuwa uelewa wako ni mdogo.

Huwezi kulazimisha matumizi ya lugha kwa namna unavyoelewa wewe.

Hakunaga dimension moja linapokuja suala la lugha, hasa yenye maudhui ya kiimani.

Neno rehema linatumika sana na tena kila siku kwenye ukristo. Na halihusiani na kutaka kufa.

Kwahiyo sio sahihi kusema kuwa wewe umebobea katika masuala ya kiimani.

Na kama kweli ungekua umebobea kwenye imani, nina uhakika usingekua hapa kwenye uzi huu
We nae Una hang over nimesema nimeboboea kwenye Imani au lugha ya kiarabu?

Shida kubwa hamtaki kukubali ukweli

Kwahiyo neno "upumbavu" kwa sababu ya dimensions unaweza sema sometimes inatumika kama furaha? Huyo amepuyanga Tu....
 
Mind you sijalikosea ila amini nakuambia wewe unalifahamu kwa angle yako wakati mimi nalitumia kwa dimension nyingine kabisa.any way its my last coment kuhusiana na swala hili labda tuzungumze mengine maana nahisi tutawakera watu na kuondoa dhima ya jukwaa hili.asante
Jamani! Sasa huku ndo kula tunda kimasihara?
 
We nae Una hang over nimesema nimeboboea kwenye Imani au lugha ya kiarabu?

Shida kubwa hamtaki kukubali ukweli

Kwahiyo neno "upumbavu" kwa sababu ya dimensions unaweza sema sometimes inatumika kama furaha? Huyo amepuyanga Tu....
Hivi unajua tofauti ya nguvu ya hoja na hoja ya nguvu? Wanaokukosoa Wana hoja! Kinachokufanya uhamaki na Nini??

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Ulisema Mungu akurehemu means unataka akupeleke kuzimu

Muache kutumia maneno kama amjui maana yake

Ndio maana mtu akifa tunasema

Allahu mafirrahu warhamahu waskana WA fii Janna
Kwani kuna ubaya mtu kuomba rehma kwa mungu? Mtu anaposema mungu anirehemu anamaanisha mungu amhurumie na huruma si kwa marehmu hata sisi tulohayi tunahitaji sana huruma yake kwa makosa mengi tunayoyatenda
 
Nipo zangu field 2022 mwanzoni, tulitumwa na shirika letu kwenda kufanya utafiti kwenye jiji linalosifika kwa wakazi wake kujenga juu ya milima na miamba kwa muda wa mwezi mmoja. Umbali kama wa mita 500 kulikuwa na ki-mini supermarket. Kulikuwa kuna dada mmoja graduate mrembo anauza pale na alikuwa mcheshi sana, alinidadisi dadisi nikamwambia nimetoka Dar nipo huku kikazi. Tulikuwa tunatoka field jioni hivyo sikutaka sana kutembea tembea daily naenda zangu mini supermarket nanunua bites sometimes popcorn za kunisindikizia movie maana mida ya saa kumi na mbili jioni tulikuwa tunapita na wenzangu sehemu tunapiga kitimoto na ugali heavy sana sasa sikuona sababu ya kula tena usiku. Sasa ile trend ya kununua bites kila siku ilimfanya dada aninotice, kuna siku akaniuliza, "Hivi hupati shida usiku na njaa maana naona kama unakula tu bites kila siku nipe tenda nikupikie" Kiutani utani nikamwambia njaa ninayosikia sio ya mapishi nina njaa na mpishi" Yule dada aliishia kucheka sana akasema wewe mkaka sikuwezi. Week ya mwisho sikua naenda pale dukani maana tulikuwa busy tuna fanya compilation ya data narudi Lodge ni niliyofikia mida ya usiku. Ijumaa mida ya saa nne asubuhi wiki ya mwisho tumemaliza zoezi mapema kwa ajiri ya kujiandaa kesho yake jumamosi kusafiri, nikapita dukani pale mida ya saa sita mchana yule dada kuniona alifurahi sana akasema alijua nimeshaondoka kimya kimya hata sijamuaga, kimoyo moyo nikasema huyu mtoto kesha nielewa huyu. Nikamwambia ndio nimekuja kukuaga kesho naondoka. Akahamaki pale kama amesikia taarifa ya msiba, akachukua simu akampigia mdogo wake nadhani. Alipomaliza akaniambia nimemwambia dogo aje kuuza yeye anarudi home kunipikia last meal kwa sababu nimemuungisha sana, nikasema poa tukabadilishana namba za simu pale nikaondoka zangu. kufika Lodge nikaenda kuoga fresh panga mizigo yangu fresh, nikaenda nunua Wine ya Saint Anna, Maji makubwa, Juicy ya kitajiri Ceres na disposable cups, maana sikuwa najua kama mpishi anakunywa kinywaji gani. Mida ya saa kumi na moja mtoto kaja kavaa juba nadhani alitaka labda watu wasimjue, kufika ndani katoa juba kabaki na tight nyeusi ndefu na kitop, kmmk mtoto alikuwa na ka umbo flani namba nane, nikamfuata nika mhug nikamwambia asante mpishi akaishia kutabasamu. Akatoa misosi pale, tukala tukapiga wine fresh akaniambia hii juisi tunza ya safari...hahahah. Akaniuliza nimeshiba? Nikamwambia nimeshiba chakula cha mpishi ila sijamshiba mpishi, akachekaa sanaaa...muda huo tumekaa kwenye vile viti vya lodge na kale kameza kalivyo kadogo nikachukua mkono wa kulia nikamshika kiuno mtoto katulia tuuu, mkono wa kushoto nikamshika shavu nikamuelekezea kwangu kama nataka kumpa mat* naona mtoto ana respond tu, piga sana mat* pale chezea sana nido huku tunapunguzana nguo, tukaamia kwenye 6x6, mtoto ni fundi sijawahi ona, alikamata kipaza sauti rap sana ilibaki kidogo wareno wakabidhi uhuru nikaona hapa nitaaibika mapema, nikamnyang'anya kipaza sauti, nikamlaza pitisha sana ulim* sikioni, shingoni, kwenye nido huku mkono mwingine nacheki gauge ya oil kama ipo sawa alivyokuwa ananukia vile nikaona liwalo na liwe wacha nife na kansa ya koo piga sana deki, chumba kikajaa vilio kama wodi ya wazazi. Kilichofuata ni kifo cha mende, popo kanyea juu mbingu, mbuzi kafia kwa muuza supu, paka kakaa kwenye kistuli etc. Nilinogewa sana nikaondoka jumapili, jumamosi tulifanya remach tena. Nikamtafutia kazi Dar, tukaendeleza libeneke, last month , tumefunga ndo. Huyu mtoto kungwi wake aishi sana huko kwenye kitchen party nahisi aliongezewa ujuzi ni kama ameboostiwa maana ni ananyumbulika kama Pacome, I will never ever look for anaother women.
Kote umeandika vzur,ila mwishoni tu hapo i ll never look for another women,tayari obsession hiyo na itakumaliza taratibu [emoji2]
 
Back
Top Bottom