Mzee wa Chai
JF-Expert Member
- Sep 20, 2022
- 708
- 1,270
Hivi huyu ndo yule manzi uliniambia alikwambia huyo boy wake ni fala fala haeleweki ama siyo huyuI am sorry bro…




Hivi huyu ndo yule manzi uliniambia alikwambia huyo boy wake ni fala fala haeleweki ama siyo huyuI am sorry bro…




Relax mkuu.Hii nchi ngumu sana kuitawala hii , ona huyu nae sasa aisee nyie jamaa mna dhambi sana, yan kitendo kilichofanyika utasema ni murder case kumbe kila siku mambo kama haya yanatokea sema tu kwasababu unakua hujui ndio unaona kawaida, kama iringa kwenye michezo ya SHIMIWI wake za watu ni halali ya majamaa, tukileta visa apa mnaanza kuunganisha dot mnagombana bora tukaushe
Nilikwambia lini we jamaa daah nyie wahuni banaHivi huyu ndo yule manzi uliniambia alikwambia huyo boy wake ni fala fala haeleweki ama siyo huyu![]()
😂😂😂😂😂 noma mwanangu sa tushapasuana i cant undo that na me jamaa sikujua kama anazamaga huku like nimeshastuka juz kati jamaa kanitambulisha kwa mwanamke , mwanamke kaiba namba kwa mshikaji kaja kunitafuta mida mibovu nikimpasua nakausha tuRelax mkuu.
Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
HahahaRelax mkuu.
Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
Noma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.Mtu yeyote anaweza kuwa malaya ila huyu kweli mwanafunzi ila kama ni malaya its another thing. Kumbe ninyi mnadanganyika wanachuo sio malaya? Kusoma chuo na kuwa malaya ni vitu viwili tofauti. Mgekuja enzi za 5N pale pemben ya mlimani city mgeona wana ud wanavyojiuza mngeelewa. Yan kumbe ndio mana watu wanadondoka kama kuku akisema mwanachuo mnajua sio malaya daaah, hata aseme katoka mbinguni jana vaa condom aisee…
DaaaahKuna jirani hapa amedakwa na mke wa mtu, kapigwa vibaya mno kapelekwa hospitali nimeambiwa hapa saivi imebidi alazwe, kavunjwa mguu, mbavu....
mtendaji asingeingilia jamaa angeweza kuuawa aisee
nyie endeleeni....
Hakuna mtu asiyepigiwa sema tu ni kutojua ndiyo maana kwa mwanaume unatakiwa kupiga pia ili ukija kugundua wanakupigia isikuumize sana japo hili ni jambo lisilozoeleka kama kifoAbee
Mkuu hawa watu hawana fomula kabisaaaaNoma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.
Hakika mkuuHakuna mtu asiyepigiwa sema tu ni kutojua ndiyo maana kwa mwanaume unatakiwa kupiga pia ili ukija kugundua wanakupigia isikuumize sana japo hili ni jambo lisilozoeleka kama kifo
..
. Popote ulipo Shery ukifa huozi na ukioza hunuki sio kwa utamu huu unaonipa.Noma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.




😂😂
Mimi MTU akiniambia mwanachuo tuu naweka pembeni
Asante, nilikuwa sijui..kumbe chuma za chuo sio haba eeh!!
Mimi MTU akiniambia mwanachuo tuu naweka pembeni
umegongewa dadeki alafu jamaaa Jana kaniambia PM alimla haswaa najua hiyo siku alikuja amechoka mnooo pole bhana
