Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Yani nina uhakika nikipost madem nilioshapita nao wengi humu mtakua mshawala hata huyu nilienae sasa najua wengi mshapita nae na hivi anatako na anasafiri sana nyie was**nge mshanikazia sana dem wangu[emoji23][emoji23] by the way hata madem zenu nishakaza u never know.
Haina makombo
 
Mtu unaenda vip kwa demu kufanya usafi aisee. Ndo maana mnapigiwa maana anakuona hauna msimamo. You're just Mr. Nice guy ngoja Ma Alpha wakusaidie majukumu...nyie ndo mnaona kila dalili za demu kutaka mkuyenge ila bado mnauliza Can i kiss u[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Hakuna polee msiba wa kujitakia
 
Mtu unaenda vip kwa demu kufanya usafi aisee. Ndo maana mnapigiwa maana anakuona hauna msimamo. You're just Mr. Nice guy ngoja Ma Alpha wakusaidie majukumu...nyie ndo mnaona kila dalili za demu kutaka mkuyenge ila bado mnauliza Can i kiss u[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] Hakuna polee msiba wa kujitakia

[emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom