Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Mwaka 2014 nilienda duka la madawa kununua Dawa, sasa kufika nikamkuta dada anauza Dawa ... pharmacist, nikaongea naye pale kuhusu ninavyojisikia, akasema ataniandikia Dawa fulani na pale anazo nitumie then nitampa mrejesho wa maendeleo yangu, ile pharmacy pembeni kuna kama kachumba hivi, nikamuuliza huko ndani hamfanyi vipimo? akasema wapi? huko chumbani? akawa kama anaendamo huko chumbani na ananielezea kazi ya hicho chumba mm nikaona niingie kabisa hadi kwenye kachumba hako, ile nimeingia tu, nikamwangalia kwa mahaba sana nikaanza kumshika shika pale kosa lake ni kurespond positively hapo hapo nikamlaza chini humor humor nikala mzigo kiulaini, kuanzia siku hiyo, nikamwelekeza ninapoishi akawa anakuja mwenyewe nikula mzigo, tatizo lake akawa anakuja bila Taarifa nikaamua kumpiga stop, kumbe lengo lake alitaka nimuoe, nikamkatalia na kumpiga stop asije tena kwangu
 
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani

Kweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo
 
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani
Nyie ndio wachonganish ninyi sa demu anamwendesha kivipi ? Leten visa vingine wakuu
 
Kweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo
Key Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""

saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.
 
Key Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""

saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.

dah dem muhuni kakutana na muhuni kaliwa kihuni, it seems dem ni mjanja kuliko mshikaji na mshkaji hana sauti yoyote kwa dem, inawezekana jamaaa yeye ndo aliomba msamaha kama ulivyosema previous post.
 
Back
Top Bottom