toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,911
- 12,368
😂😂😂😂😂 ilikuwa chai bwana…Mzee baba mwenye mali kakubamba.
Hapo ndio ukute mwamba alienda hadi chumvini wakati umetoka kumla.
😂😂😂😂😂 ilikuwa chai bwana…Mzee baba mwenye mali kakubamba.
Hapo ndio ukute mwamba alienda hadi chumvini wakati umetoka kumla.
Mkuu me sio wa kulaumiwa… lawama zote kwa Ricky boy
PoleKuna dem nimehangaika nae karibu miezi 6 natongoza kumbe natongoza malaya mwisho ananiambia nimpe 100 anipe utelezi dadeq mjinj malaya wengi sana
Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.Mkuu tuendelee kupambana tu , maisha ndio haya haya tupige kazi mkuu daah….
Aaah wakuu si mnasemaga chai ninyi . Au nasema uongo ?
Duh hatari sana nimeamini jf ina watu wengi sana aise. Jamaa kaliwa demu wake na kaja kutangazwa sijui ataendelea au atapiga chini.
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulaniUshaharibu mahusiano ya watu najua jamaa anakiwasha huko haha.
I am sorry bro…Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Daaaah like serious unanilaumu mimi ?
Usikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani

Nyie ndio wachonganish ninyi sa demu anamwendesha kivipi ? Leten visa vingine wakuuUsikute jamaa kaenda kumuomba demu wake msamaha, amegongewa alfu anaenda kuomba tena msamaha, ukiangalia story ya jamaa line kwa line unaona kuna viashiria vya mwamba anaendeshwa na demu kias fulani
Daah we jamaa ni mpambe nux yan daaah unakoleza kuni aiseeKweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo![]()
Sijachonganisha mtu, mie nimesoma line kwa lineNyie ndio wachonganish ninyi sa demu anamwendesha kivipi ? Leten visa vingine wakuu

Daah we jamaa ni mpambe nux yan daaah unakoleza kuni aisee


sema mwanangu sikupingi huna kosa.Key LineKweli bro anapelekeshwa kwanza dem atakuagiza vp ukasafishe room lake? si ufala huo![]()

Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Key Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""
saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.
![]()


dah dem muhuni kakutana na muhuni kaliwa kihuni, it seems dem ni mjanja kuliko mshikaji na mshkaji hana sauti yoyote kwa dem, inawezekana jamaaa yeye ndo aliomba msamaha kama ulivyosema previous post.