Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Hii nchi ngumu sana kuitawala hii , ona huyu nae sasa aisee nyie jamaa mna dhambi sana, yan kitendo kilichofanyika utasema ni murder case kumbe kila siku mambo kama haya yanatokea sema tu kwasababu unakua hujui ndio unaona kawaida, kama iringa kwenye michezo ya SHIMIWI wake za watu ni halali ya majamaa, tukileta visa apa mnaanza kuunganisha dot mnagombana bora tukaushe
Relax mkuu.

Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
 
Relax mkuu.

Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
😂😂😂😂😂 noma mwanangu sa tushapasuana i cant undo that na me jamaa sikujua kama anazamaga huku like nimeshastuka juz kati jamaa kanitambulisha kwa mwanamke , mwanamke kaiba namba kwa mshikaji kaja kunitafuta mida mibovu nikimpasua nakausha tu
 
Mtu yeyote anaweza kuwa malaya ila huyu kweli mwanafunzi ila kama ni malaya its another thing. Kumbe ninyi mnadanganyika wanachuo sio malaya? Kusoma chuo na kuwa malaya ni vitu viwili tofauti. Mgekuja enzi za 5N pale pemben ya mlimani city mgeona wana ud wanavyojiuza mngeelewa. Yan kumbe ndio mana watu wanadondoka kama kuku akisema mwanachuo mnajua sio malaya daaah, hata aseme katoka mbinguni jana vaa condom aisee…
Noma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.
 
Back
Top Bottom