toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,929
- 12,463
Nyie jaa bwana ajali kazin me nimestaafu kimasihara kama mambo yenyewe ndio haya….rikiboy uzi wako umesababisha fumanizi tunaomba uje kusimamia hii kesi
Nyie jaa bwana ajali kazin me nimestaafu kimasihara kama mambo yenyewe ndio haya….rikiboy uzi wako umesababisha fumanizi tunaomba uje kusimamia hii kesi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] umegongewa kimasikhara kosa sio lako ni maamuzi yake na viungo vyake na matobo yakeDah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Toka huu uzi uanzishwe miaka hiyo na kutrend sana for the first time jana fumanizi ndio limetokea, haijawahi kutoke hii kitu[emoji23]
We jamaa umenifurahisha sana fanya mpango unipe mawasiliano tu ya uyo mrembo nina safari ya mbeya tuendelee kuikandaMe wala sikupania mkuu vitu vimejiset automatic vyenyewe ila daah Nimejisikia vibaya sana aisee…ila ajikaze tu me mwenyewe wahuni washanigalagaza sana kwa pisi zangu napiga moyo konde nasonga mbele
[emoji23][emoji23]We jamaa umenifurahisha sana fanya mpango unipe mawasiliano tu ya uyo mrembo nina safari ya mbeya tuendelee kuikanda
Sijakuona siku nyingi sana asee!!Abee
Nipo, za kwako?Sijakuona siku nyingi sana asee!!
Ni poa kabisa, sio poa watu kupishana tu mtaani namna hii mkuu!Nipo, za kwako?
Mimi pia sijakuona muda mrefu.
😅 basi uwe unanishtua ukiniona mpwa wako.Ni poa kabisa, sio poa watu kupishana tu mtaani namna hii mkuu!
Kama hivi nimekuona kwa wala kimasihara nikakushtua mpwa🤣😅 basi uwe unanishtua ukiniona mpwa wako.
🤣🤣🤣kumbe umeniona huku🙌Kama hivi nimekuona kwa wala kimasihara nikakushtua mpwa🤣
Eeenh, kuwa tu makini mpwa, vijana wanatafuna za kimasihara sio poa🤣🤣🤣🤣kumbe umeniona huku🙌
[emoji23][emoji23][emoji23] umegongewa dadeki alafu jamaaa Jana kaniambia PM alimla haswaa najua hiyo siku alikuja amechoka mnooo pole bhanaDah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Hivi huyu ndo yule manzi uliniambia alikwambia huyo boy wake ni fala fala haeleweki ama siyo huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]I am sorry bro…
Relax mkuu.Hii nchi ngumu sana kuitawala hii , ona huyu nae sasa aisee nyie jamaa mna dhambi sana, yan kitendo kilichofanyika utasema ni murder case kumbe kila siku mambo kama haya yanatokea sema tu kwasababu unakua hujui ndio unaona kawaida, kama iringa kwenye michezo ya SHIMIWI wake za watu ni halali ya majamaa, tukileta visa apa mnaanza kuunganisha dot mnagombana bora tukaushe
Nilikwambia lini we jamaa daah nyie wahuni banaHivi huyu ndo yule manzi uliniambia alikwambia huyo boy wake ni fala fala haeleweki ama siyo huyu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😂😂😂😂😂 noma mwanangu sa tushapasuana i cant undo that na me jamaa sikujua kama anazamaga huku like nimeshastuka juz kati jamaa kanitambulisha kwa mwanamke , mwanamke kaiba namba kwa mshikaji kaja kunitafuta mida mibovu nikimpasua nakausha tuRelax mkuu.
Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
HahahaRelax mkuu.
Mwenyewe kuna masihara niliandika huku Mwamba alinusa harufu akanifuata PM nikamuweka sawa nadhani bado maisha yanaendelea upande wao
Noma sana aloo, kuna moja hiyo naiwazia mpaka leo. Usipokuwa makini ngwengwe ipo pale inakusubiri, unawaza haka ka chuo sio shida, maniner kumbe bora hawa 30+ tunaoishi nao mtaani.Mtu yeyote anaweza kuwa malaya ila huyu kweli mwanafunzi ila kama ni malaya its another thing. Kumbe ninyi mnadanganyika wanachuo sio malaya? Kusoma chuo na kuwa malaya ni vitu viwili tofauti. Mgekuja enzi za 5N pale pemben ya mlimani city mgeona wana ud wanavyojiuza mngeelewa. Yan kumbe ndio mana watu wanadondoka kama kuku akisema mwanachuo mnajua sio malaya daaah, hata aseme katoka mbinguni jana vaa condom aisee…