Me utanilaumu bure tu me sijamkosea mtu yeyote ndege kaelekea kibra nimechinja ningefanyaje sasa,sema mwanangu sikupingi huna kosa.
Wanang kaushen bana mtafanya wagombane aisee mambo mengine yanatokea sisi hatujui…achen kuchochea moto wazeeKey Line
""saa moja jamaake anapiga simu kuwa kamaliza kusafisha gheto lake""
saivi anataka kumpiga chini bwanake sababu pale pale alibadilisha security access ya device zake zote ili awe comfortable with whatever will go on with us.
![]()
Hii nchi ngumu sana kuitawala hii , ona huyu nae sasa aisee nyie jamaa mna dhambi sana, yan kitendo kilichofanyika utasema ni murder case kumbe kila siku mambo kama haya yanatokea sema tu kwasababu unakua hujui ndio unaona kawaida, kama iringa kwenye michezo ya SHIMIWI wake za watu ni halali ya majamaa, tukileta visa apa mnaanza kuunganisha dot mnagombana bora tukausheHuyu bro
Baada ya Kuhusi anaweza Kuwa manzi yake akatengeneza ID mpya tarehe 08/10/2023
Na akaupata Ukweli kuwa manzi yake kaliwa kimasihara kweli huku yeye msafisha Ghetto akiachwa solemba
Toka Tarehe 09/10/2023 amepotea kabisa huku JF.
Tuzidi Kumuombea huko alipo awe mzima![]()
Hahaha jamaa , atakua kaenda mumuwashia moto mdada , harafu mdada anakuja kukuambia imekuaje jamaa kajua?ilikuwa chai bwana…



Ngoja tukaushe tudah dem muhuni kakutana na muhuni kaliwa kihuni, it seems dem ni mjanja kuliko mshikaji na mshkaji hana sauti yoyote kwa dem, inawezekana jamaaa yeye ndo aliomba msamaha kama ulivyosema previous post.
Na hicho kiungo kukifanyia maintenance sio mchezo mkuu.Ni kazi ambayo unapata hela kwa muda mfupi sana ndani ya masaa mawili ameshakunja kitita , akiwa na wateja wake watano wa weekend tuuh hakosi 200K weekend na hapo bado bills zote wanaume wanamlipia ( vinywaji chakula )
Nyie makamands bana 😂😂Hahaha jamaa , atakua kaenda mumuwashia moto mdada , harafu mdada anakuja kukuambia imekuaje jamaa kajua?![]()

sema code naona hazikufungwa vizuri .We jamaa unazingua daah… mnamjaza jamaa upepoToka huu uzi uanzishwe miaka hiyo na kutrend sana for the first time jana fumanizi ndio limetokea, haijawahi kutoke hii kitu![]()
Mambo ya kawaida watu wanayakuaza mkuusema code naona hazikufungwa vizuri .
Sorry ya Nini hapo mzee we kwani umeiba?I am sorry bro…

Daaah nyie wazee daaahSorry ya Nini hapo mzee we kwani umeiba?![]()
Asante.Pole
Hahaaaaa, jamaa hakuwa serious anatania bwana. Ni chai hii usije ukaua mtu huko.Dah mapenzi, mapenzi, mapenzi.
Unaogopa nini mzee hawezi kukupiga hatujuani humu sema atakuheshimu sana. Wewe yako ndo imekuwa kimasikhara hasaWe jamaa unazingua daah… mnamjaza jamaa upepo