Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,841
- 25,359
Mtu mwema kanipa nyepesi nyepesiKakupa nani kwaza ?
Mtu mwema kanipa nyepesi nyepesiKakupa nani kwaza ?
Kuna kaziChangamoto kubwa kwa sasa ni vipato, mtoto anataka kupendeza, kunukia vizuri, akiangalia kulia kushoto hana namna ya kupata hela, inabidi atumie hiyo njia mbadala.
Ukaona huwez kukaa nalo 🤣 uje umuone sasa liveMtu mwema kanipa nyepesi nyepesi
Eh 😂🤣 aisee dah ili kama anakaka yake aniunganishieUkaona huwez kukaa nalo 🤣 uje umuone sasa live
Jemima which???Na wewe weka ya kwako tukupigie basi Mrembo Jemima
Mungu Fundi aiseeIla nyie kudinyana jpili raha, unapiga show fresh usiku unamwagilia roho kidogo jtatu unaamkia kazini na kahasira hasira flan unakua hauna mzuka wa kuongea na watu mpaka saa nne hv
Ahahah mimi nikimuona ex wangu anafuraha nachukia siwez kukuunganisha nataka uteseke mpaka uje uombe turudiane hapaEh 😂🤣 aisee dah ili kama anakaka yake aniunganishie
Lini nimekuwaga honey siulisema una mkeAhahah mimi nikimuona ex wangu anafuraha nachukia siwez kukuunganisha nataka uteseke mpaka uje uombe turudiane hapa
Wew Jamaa sasa ndio cku nyingne ukiMaliza kupiga show ndio uje utambe jukwaani km hv sio unaleta kujitamba mbele ya mafisi wenzako humu alafu unaweka mpk maconnection kibao km hv umeshajikosesha kitumbua sasa [emoji23]Kuna jamaa anajifanya anajua nilikua nataka kumuharibia tu
🤣🤣🤣Utakachoenda pewa hutaamini braza.Yan utarud na uzi mrefu hapaa tena utaandika huku unalia .
Acha tusubiri.Kesho si ndio simba na yanga?? UTALIA MARA 2 AM TELLING U
Sijao bado nataka kuku chukua weweLini nimekuwaga honey siulisema una mke
HahahahahaIla nyie kudinyana jpili raha, unapiga show fresh usiku unamwagilia roho kidogo jtatu unaamkia kazini na kahasira hasira flan unakua hauna mzuka wa kuongea na watu mpaka saa nne hv
jamaa kashamkosa mtoto mzuri bora mods waufute tu huu uziView attachment 2715664
Kama ndyo huyu basi huyo ndege amepeperuka
Next time ujifunze kwa Carlos The Jackal kwenye kupost hizo screenshot za conversation zenu
#pumbafu
Nyie kwani imekuaje hukoo [emoji23][emoji23][emoji23] mnajua hizo screenshots sio zangu za jamaa mimi nimeiba tu kwenye simu ya mchiziView attachment 2715664
Kama ndyo huyu basi huyo ndege amepeperuka
Next time ujifunze kwa Carlos The Jackal kwenye kupost hizo screenshot za conversation zenu
#pumbafu
Ooi wadau masihara yasije yakatufikisha pabaya. Hii ilikua ni story tu isije ikatufikisha pabayaHata me sijui imekuaje ila nmeamua kuweka wazi hapa mana kuna vijana wa hovyo utafika twitter sio mda huu uzi.