Ndio ulikuwa unarudi Mwanza na ile 7800 ya nauli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], ukaona isiwe shida ukaamua ushukie Dom kwanza ili uongeze nyingine ikufikishe Mwanza...
 
Yaani JF imechafuka kiasi hiki? Mwisho mtaanza kutajana hadi majina aisee! Nilivyoona wanaume wanawafungukia wanawake wa JF nikajua sasa ipo siku na wanawake watafunguka ya kwao!

Kuna vitu kama hivi ndiyo vinasababisha nisitongoze wanawake wa JF, maana naamini ipo siku JF itakuwa kama FB.
Tunasogea kidogo kidogo tu.
 
I wish niwasimulie ila
  • Mimi sio msimuliaji mzuri
  • Uzi huu unatembelewa na watu ninao waheshimu sana..naogopa
Ngoja nibaki nayo moyoni though i wish.
Ahahahqhahah..
Kwakwel.Ngoja nikaje na Id yangu nyingine na mm nishushe testimony.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…