Ceftriaxon
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 446
- 695
Madaktari wengi wako smart,japo wachache wa hovyo pia wapo...medical school hua inamtengeneza mtu kua sio tu daktari bali pia kua kiongozi...maana ya neno doctor kwenye utabibu sio tu ile Medicine aliyosoma,bali ana vitu vingi vya ziada,ndio maana kwenye course nyingine lazima mtu apite masters na PhD ndio anaitwa Dr...sasa ukimuona Dr alafu anaropoka hovyo basi kuna tatizo kubwa lipo...maisha ya medical school yanamfanya mtu kua smart na maamuzi sahihi.Mwanzo nilikuaga naonaga ma MD ni malaika sana kumbe hovyo tu so ata uyo Carlos The Jackal akiwa MD au ata MMED sishangai mimi

