Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Sio siri shemeji kazingua kama vipi mchomee kwa sister tu. Ale na dada na beki 3, anategemea wewe ukale wapi mwanangu?
 
Kosa la kwanza,kosa la kiitifaki....

Kuishi kwa shemeji Yako....

Inaonyesha ameku-degrade sana kukuambia "unaingia tu bila kupiga hodi" ....na umemkuta katika mazingira tata.

Amekushusha hadhi kwa kuwa unakula na kulala kwake...

Pili.... mwanaume anaejitambua hawezi kufanya huo ujinga...mf. nikukukute na demu...nikamwambia mkeo!? Ili iweje labda!?

Unataka kuvunja NDOA YENU!...Yes ...nimemaanisha NDOA YENU!....Maana mmeolewa wewe na dadaako!

Chunga sana maana maana akifukuzwa yeye...mmefukuzwa wote!
 
Kosa la kwanza,kosa la kiitifaki....

Kuishi kwa shemeji Yako....

Inaonyesha ameku-degrade sana kukuambia "unaingia tu bila kupiga hodi" ....na umemkuta katika mazingira tata.

Amekushusha hadhi kwa kuwa unakula na kulala kwake...

Pili.... mwanaume anaejitambua hawezi kufanya huo ujinga...mf. nikukukute na demu...nikamwambia mkeo!? Ili iweje labda!?

Unataka kuvunja NDOA YENU!...Yes ...nimemaanisha NDOA YENU!....Maana mmeolewa wewe na dadaako!

Chunga sana maana maana akifukuzwa yeye...mmefukuzwa wote!
Hayo matusi. Uwe na luga ya kistaaarabu
 
Back
Top Bottom