moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 8,043
- 16,888
Nimempa pongezi zake jaman kwa kuchezea kito***mb**o hevi
Eeehh..eti nini ?? Ongeza volume sijasikia
Eeehh..eti nini ?? Ongeza volume sijasikia
Asee ngoja nami niweke moja..Japo sijui kuhadithia.
Mwaka 2015 nilikua ni mwimbaji wa sauti ya 3 kwaya kigangoni kwetu..sauti ya 3 ilikua imejaa vijana wengi. Ya 4 ndio kuna watu wazima..Sasa pale mwanamke akija kujiunga kwaya watu wanamuwahi juu kwa juu! Mimi ata sikua na mambo hizo nilikua nina crush wangu sauti ya 2 ila kwa udomo zege nilikua sijawahi kumwambia. (Napenda kimya kimya siwezagi tongoza)
Kipindi hicho nilikua Ka Hendisamu kweli sio sasa hv maisha yamenipiga nipo ka kinyago..basi alikuja mdada mmoja kutoka dar akawa kajiunga na sauti ya 2. Maboys wakawa wanamshadadia sana kutokana na watu wakitoka dar wanakua na kile kiswahili chao cha kuchonga..afu hua wanapogilia pamba kinoma. Mimi siku pay attention kama kawaida yangu..Siongei na msichana mpaka aanze yeye.
Sasa yule girl akawa na urafiki na mwenzake wa sauti ya 1 ambae mm nilikua nimezoea kumwita mamdogo maana dada yake na huyu girl alikua ni demu wa bamdogo ambae naimba nae kwaya.
So kupitia huyu mamdogo mimi na rafiki angu J tukawa tumezoeana na huyu msichana toka Dar...Huyu girl alianza nipenda kwa jinsi nilivyokua namuona.
Akawa anapenda sana aje kutembea home ila mm hapana siwez peleka msichana home..so ikifika jumapili tulikua tunaenda kwao na J tunapiga tu stori. Ikumbukwe wakati huo mm sina hata mawazo nae.
Tarehe 5 mwezi 10 2015 siku ya Jumapili dada mtoto wa mama mkubwa ambae ni Muislam alikua anafunga ndoa so mm sikwenda kanisani nikaomba J aniombee ruhusa kwayani (Ndoa ilikua inafungwa wilaya nyingine)
J akaniambia D (girl wa dar) anakuulizia..afu kasema anakupenda sana ila anashindwa kukuambia.. Mimi nikamwambia poa basi fanya ivi Mtongoze wewe mimi nikirudi nakuja kubeba mzigo tu. J hakufanya ajizi kasawazisha kila kitu.
J3 narudi kutoka harusini sms kibao zinaingia za yule girl. Kafunguka kila kitu anavyofeel about me.. I like your humbleness..ya Eyes n others stuffs. Mimi nikamwambia haya mimi nimekukubali tayari niko wako..
Sasa nikawaza nitampelela wapi huyu maana gesti sijawahikwenda wala sina mpango wa kwenda. Nikakumbuka rafiki angu jabir anagetho nikamwomba akakubali kesho yake tukakutana huko..Ndiko nilipo experience vitu ambavyo nilikua sijawahi.
Mwusho.
Inawezekana watu wamekula tunda kwa masihara ila mimi mnipe cheo cha Kua King wenu humu..asilimia 85% niliowahi kua nao wameniimbisha mistari wao madada. Mbaya zaidi wengi wanakua wamenizidi 2 yrs above. Sijui tongoza mimi na nikisema eti nitongoze basi huyo mtu nauhakika sitampata. Mungu hakunipa uwezo wa kuongea ila akanipa zali la kupigwa mistari na wadada..
Mfano hapa kuna mdada anitwa Fetty kila nikiwa anae ananiambia R express your desire..R say something. But I can't
Nitawahadithia Tunda la aunt lilivyoliwa kwa masihara
Aibu nimeona mimi....
Naogopa kuhadithia zaidi dear..Yaani hapa sina amani. Tuna mama wengine humuAyaaaa umeniangusha bana mbona hujasema sema uliyokutana nayo huko
ulikunwaje kimasikharaHivi kimasihara sihara ndio ile unakula na kuliwa bila kutegemea?
.
.
.
.
Okeeeey stay tune....Ngoja nikanywe chai kwanza [emoji41][emoji41]
Hujamaliza chai tu?Hivi kimasihara sihara ndio ile unakula na kuliwa bila kutegemea?
.
.
.
.
Okeeeey stay tune....Ngoja nikanywe chai kwanza [emoji41][emoji41]
Marahaba leader wetuShikamoo guru
Aisee....wewe vipi leta basi ushuhuda wako..nina hamu kweli ya kujua ulivyoliwaNimempa pongezi zake jaman kwa kuchezea kito***mb**o hevi
Marahaba leader wetu
Bi Mkubwa Alikuwa Nurse Hapo MzumbeHahah, wanachuo wa Mzumbe Uni hapo wahuni wa Mzumbe boys tulikua tunajipigia sana aisee. Back in the days unakuta manzi wa MU anakuomba umpigishe pindi la Intergration labda, basi hapo atakuomba weekend uende room kwake (hostel) au kama kapanga mtaani kule changarawe ( chengi) baada ya pindi, malipo yalikua ni kubanjuana tu [emoji111][emoji23]
Hahaaaaaaaa ma eksipariensi. Ngoja tu nikaushe nisije anza kudharauliwa humuAisee......watu mnatisha...Shikamoo kwa mara nyingine tena
Unajua machine learningNIMEFIKA PAGE YA 172 NITAENDELEA JION TENA JUMA P MAHARAG
NIMEISHIA PAGE YA 172 NASOMA MDOGO MDOGO ALAFU NAFANYA NA PRACTICAL. HII THREAD HII IWAFUNGUE JAMII FORUMS KUANZISHA KITENGA CHA DATA ANALYSIS NA MACHINE LEARNING. NA DECLARE HAKUNA THREAD INA INFLUENCE NA YENYE IMPACT KWENYE MAISHA YA MABAHARIA KAMA HII.
E
Hahaaaaaaaa ma eksipariensi. Ngoja tu nikaushe nisije anza kudharauliwa humu
Mkuu so asubuh mliangalianaje?Haukurudia tena show?Yule dada aliniambia kwamba Mbona unafanya hatari kubwa mnooo...Bwana wangu huwa anakuja huku...akitukuta ni msala...........almanusura Mashine isinyae...ila nikakaza nikamuambia kama ndio hivyo basi nipe kimoja faster nisepe asije akanikuta kweli humu tukaja kuleta aibu ya mwaka........
Yaani kumbe yule Jaama nayeye alikuwaga anakwenda so siku ile sijui ilikuwaje mpaka hakuingia sijui muda wake ulikuwa bado...............Yaani kuna matukio nimewahi kuyafanya mpaka huwa najishangaaga
Mkuu hata Mimi namsubiria huyo jamaa maana sijamuelewa alikula au aliliwa kimasihara?Hujamaliza chai tu?
Naam [emoji23], ila tuache utani kati ya vyuo vyenye pini kali hapa nchini Mzumbe Uni ipo aisee. Unaweza ukapishana viumbe pale hatari tupuBi Mkubwa Alikuwa Nurse Hapo Mzumbe
Aisee Mimi Nilikuwa A Level Niliwala San Likizo Haswaa Wale Wapole Wapole Maana Mim Nilikuwa Innocent Sana Na Mam Alikuwa Mtu Wa Watu Mpaka Alipokuja Kustaafu.
IDM Nimepamic San
naunga mkono hoja kuwa ngenye ni aina ya kichaa[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Baharia [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Tunarisk sana tunatumia gharama kubwa na kuweka rehani roho zetu kwa ajili ya tunda
Hahaha mkuu genye ni aina ya kichaa flani hv
hahahaBaada ya kusoma uzi huu nimegundua natakiwa kuwa na Ndomu popote nitakapokuwa