[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Masta ukaanza kojoa UJI....
 
Siku bana natoka job night huyo kwa macheni nilikua memba yani nna kiti na meza ni vyangu nimetengewa.
Sasa palifungwa kidogo ikabidi wanachama tuhamie rozana buguruni.
Fika kule tunakuta kuna viuza papuchi vya kiswaz ukikipa buku 5 unakula vyote.
Halafu vidogoo vibinti,
Baada ya nyagi kukolee kakamata kimoja kilikua kinazunguka zunguka kina tako balaa huku mwili hamna sura ya babaake.
Nikakiweka mezani we kaa unywe bia ushatembea sana,masanga kidogo kamelewa nikatambaa nacho room.
Piga mpenenge mwanzo mwisho mbele nyuma geuka.
Balaa sasa
Baada ya mtanange si nikazima.
E bana home nna wife ana mimba miezi 9 tayari,
Nakurupuka sa 12 asb toka mbio kishenzi taxi home.
Nshaaribu
Nafika home nikazama kimyakimya mbonji sebuleni.
Na nyagi zile nimezima kumbe wife kaja kufanya microfone check kakuta kuna ndomu liko ndi ndi ndi na tumavi kidogo.
πŸ˜πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Hilo balaa nilijikuta polisi kudadeki mpk natoka wife kaenda kwao Moshi.
Kumfata kule balaa maana mzee wake nae bado ananidai hela ya uchumba nilimpiga fix
Sijampa senti kumi.
Dah maisha haya
 
We jamaa
 
Utelezi wa magendo ulisababisha umuache demu wako wa zamani mapenzi sio pw
Yule Demu wa Dar nilimpenda ila hakuwa wife material coz vikesi kesi vya ajabuajabu haviishi. Akaanza kunipanda kichwani baada ya kumposa akizani ndoa nd imekwiva .... Kumbe mwamba nipo very sensitive na maisha ya ndoa na atatimiza malengo makuu ya ndoa (I know it can happen my wife to cheat me. But she will never harm me even by single word)... Ila yule wa Dar ni PASUAKICHWA. ila baada ya kumuacha nazani ashajua maisha ni nini, maana ilifika hatua familia Yao ilikuja home kwa ajili ya usuruhishi, mara agome kula, mara atishie kujia mwisho akatishia kuniua na mm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Jamaaa yako hakukuwahi Kula hiyo pisi?
Mkuu hii nyumba ina maadili ambayo mm, mtoto wa Dar Sina[emoji1787][emoji1787]. Jamaa ni learner kweny mapenzi af ana ka uoga flani kaki-fala.. yupo hivo mpaka Sasa ni mm nd nampa rada za kijasusi za mademu.. ashapigwa sana vitu vizito. Af huwezi amini ameni zidi umri.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] et niache bwana kumanyoka daah[emoji16]
 
Aiseee hii hatarii ndomu inabakije bila wew kujuaa daaah...
 
Mzeee Una intelligentsia Kali saana ungeingia chakikeee hapo
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hiyo ndio Gono au UTI??
 
Wewe bwana mdogo una mkwara sana
 
We ni noma man ..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
Ni Danga moja huko Dar. Ubaya ni kwamba kwa make Wangu huyu kwake ni heri nim-cheat na Demu mwingine lkn c o huyo Ex Wangu... Nahsi nd itakuwa mwisho wa ndoa yetu. (Niliji-avoid mazima).
Haukuwa mke ndio maana ameishia kiwa danga. Mpende na kumheshimu shemeji yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…