Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Huyu nazinguaba mda nambembeleza sana
Usifanye kosa la kumbembeleza mwanamke zaidi ya wiki ,yaan wee wiki mbili tatu mwez unatongoza.

Kosa kubwa sana !!

Unampa attention KUBWA Ambayo kwakua umemoaz niyeye wakuamua akukubalie au akukataee.


Wanawake cheza nao akili kiasi kwambaz ahisi, akichelewa kuliwa Nawewe, atakua chezea bahati.


Usiuze Uanaume wako Kwa kumbembeleza .
 
Usifanye kosa la kumbembeleza mwanamke zaidi ya wiki ,yaan wee wiki mbili tatu mwez unatongoza.

Kosa kubwa sana !!

Unampa attention KUBWA Ambayo kwakua umemoaz niyeye wakuamua akukubalie au akukataee.


Wanawake cheza nao akili kiasi kwambaz ahisi, akichelewa kuliwa Nawewe, atakua chezea bahati.


Usiuze Uanaume wako Kwa kumbembeleza .

Mbona wew unawapata chap tu
 
Aaahhh sawa, Hawa Wana namna ya kuwapata.

Maneno machafu machafu ni ama uwambie mademu wakizungu ambao wanaumri huo Mdogo .

Kibongo bongo, Maneno machafu angalau mwambie Demu aliyekwisha kuzaa au awe anaanzia miaka 28 nakuendelea.


Hivi vya umri Mdogo, ukikaambia... Nahamu yakuma yako...

Katakutukana ,kanahisi umekadharau.


Hata Mimi Huwa natukanwa babuu, Tena sana tuz ila nakomaa mpaka papuchi napewa
 
Aaahhh sawa, Hawa Wana namna ya kuwapata.

Maneno machafu machafu ni ama uwambie mademu wakizungu ambao wanaumri huo Mdogo .

Kibongo bongo, Maneno machafu angalau mwambie Demu aliyekwisha kuzaa au awe anaanzia miaka 28 nakuendelea.


Hivi vya umri Mdogo, ukikaambia... Nahamu yakuma yako...

Katakutukana ,kanahisi umekadharau.


Hata Mimi Huwa natukanwa babuu, Tena sana tuz ila nakomaa mpaka papuchi napewa

Ngoja nishaaza pengine
 
Mbona wew unawapata chap tu
Natongoza wadada wa Makamo wa umri kuanzia miaka 28 !!!


Hivi vidogo hapana, vidogo vinataka uvihangaikie sana, bado vina utoto.

Vidogo vinataka uwe sharobaro, hapo hapo uwe msanii, ukapeleke bichi, kale chips , kaonyeshe unakapendaaa sanaaaaaa

Mimi sitongozwi mwanamkewakupendana naye Kwa dhati, natongoza mtu anayejua Nina familiar kwahiyo yeye nataka tuwe tunatiana tu sio mambo ya kupenda
 
Natongoza wadada wa Makamo wa umri kuanzia miaka 28 !!!


Hivi vidogo hapana, vidogo vinataka uvihangaikie sana, bado vina utoto.

Vidogo vinataka uwe sharobaro, hapo hapo uwe msanii, ukapeleke bichi, kale chips , kaonyeshe unakapendaaa sanaaaaaa

Mimi sitongozwi mwanamkewakupendana naye Kwa dhati, natongoza mtu anayejua Nina familiar kwahiyo yeye nataka tuwe tunatiana tu sio mambo ya kupenda

Hapo sasa nimekupata
 
Kmmke aseee huyu carlos anatumia dawa
Kipindi Niko Advance, Kuna Madame nilikuaga NAMLA , alinipenda sana , huyo madame alikua ni Mkali, anaogopeka shule nzimaz Hana mazoea ya ovyoovyo na wanafunzi ,wanafunzi wakawa wanamuogopaaaa.

Hata nikiwa University, Kuna Lecturer nilikua nampelekea moto !!.


Alafu wahuni wakawa wanahisi natumia dawa.

Basi nikawa nawadanganya kweli kua Nina dawa naifata Mahali.

Wakawa wananipa hela, nakula Hela zao, naenda nawaletea mizizi ya mimea, nawapa mashariti mepesi sana lkn ni rahisi kuyavunja.

Basi nikawa nakula Hela zao Kwa staili hiyoo !!.


Hamna Cha dawa babuuu !!
 
Nikipata Muda nitawasimulia kwann niliacha kupenda, kwann nikaamua kuwachukulia Wanawake jinsi wanavyotaka.


Kuna mwanamke niliwahi mpenda, mnajua kupenda?? Yaan kupenda mpaka unakosana na kugombana na Wazazi wako kwajili ya mwanamke??, Kupenda kiasi kwamba, Demu anamusaliti unajua, alafu bado unamsamehe??

Basi niliwah kua fala la hivo... Baada ya hapo nikasema Nooo !!.

Mazeee, kwaufupi Kwa Sasa Sina Moyo wakumpenda mwanamke Kwa dhati.

Hata Mke wangu nmezaa naye watoto, ninaishi naye kama Mume tu na Baba, kutimiza wajibu wangu kwake na Kwa wanangu, kuwapa mahitaji n.k


Lkn Et naye itokee siku anizengue, adhanie nitaumiaa Sijui, Sijui nilieee, walaaa... Tutaachana mchana kweupeeeee !!.
 
Nikipata Muda nitawasimulia kwann niliacha kupenda, kwann nikaamua kuwachukulia Wanawake jinsi wanavyotaka.


Kuna mwanamke niliwahi mpenda, mnajua kupenda?? Yaan kupenda mpaka unakosana na kugombana na Wazazi wako kwajili ya mwanamke??, Kupenda kiasi kwamba, Demu anamusaliti unajua, alafu bado unamsamehe??

Basi niliwah kua fala la hivo... Baada ya hapo nikasema Nooo !!.

Mazeee, kwaufupi Kwa Sasa Sina Moyo wakumpenda mwanamke Kwa dhati.

Hata Mke wangu nmezaa naye watoto, ninaishi naye kama Mume tu na Baba, kutimiza wajibu wangu kwake na Kwa wanangu, kuwapa mahitaji n.k


Lkn Et naye itokee siku anizengue, adhanie nitaumiaa Sijui, Sijui nilieee, walaaa... Tutaachana mchana kweupeeeee !!.
Ilikuwaje mkuu inaoneka ushapigwa na ganzi ya mapenzi kwahyo huhisi maumivuu
 
Back
Top Bottom