Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Miaka hiyo nikiwa kijana nisiye na majukumu ya kifamilia wala kitaifa.
Maeneo fulani wilaya ya Kinondoni, eneo nililokuwa nimepanga kulikuwa na nyumba kadhaa ndani ya uzio mmoja.
Siku moja ijumaa nikiwa nimetoka kibaruani, nakutana na jirani anabembeleza mtoto karibu kabisa na kibaraza changu. Nikamsalimu na kumuuliza hali ya mtoto. Alinijibu kwa kifupi kuwa amepatiwa chanjo - zile za mapajani hivyo zinamtia homa na udhia.
Nikaingia ndani kwangu ili kupumzika. Majira ya saa mbili nikatoka ili niende kutafuta chakula kwa Mpemba; muda huu nikakuta tena mtoto anabembelezwa lakini hakuwa mama wa mtoto ila mdogo wake ambaye naye alikuwa mwanafunzi kwenye chuo kimoja hapa Mzizima.
Naye pia nikamsalimia, akaitikia kwa uchovu, huyu binti alikuwa anajisikia kwa namna fulani hivi, sikujali sana nikaenda kula.
Niliporudi bado nikawakuta tena hapo, safari hii hata sikumsemesha ila yeye ndio akaanza kwa kulalamika ''yaani huyu mtoto nimemweka begani masaa mawili; nikimshusha tu analia. Nikampa pole na kumuomba nimsaidie kumbeba. Nikamweka dogo begani, huku nikimtikisa. Binti akapata ahueni na kuniambia kuwa anaenda kuchukua chakula hivyo nimsubiri hapo huku nikiwa nimebeba mtoto. Hapo muda unaelekea saa tatu usiku, binti akala na kumaliza; stori mbili tatu za hapa na pale huku uda unasogea. Majira ya saa nne na nusu hivi dogo akawa amelala.
Binti akaniomba niende na mtoto maana alihofia kama ningemrudishia inawezekana dogo akaamka. Nikakaribishwa mpaka sebuleni na kumshusha dogo kwenye sofa.
Nikapewa asante na mama mtoto pamoja na mdogo wake; nikarudi kwangu.
Asubuhi; siku ya jumamosi majira ya saa tatu napigiwa hodi; kufungua mlango ni yule binti wa chuo; mkononi ana bakuli na kikombe cha maziwa kikiwa juu ya mfuniko wa bakuli. Akanikabidhi nami nikashukuru. Kufungua bakuli ndani kuna bagia za moto; nikabaki natabasamu huku nikianza kula bagia kwa maziwa moto.
Baadaye binti akaja kufuata vyombo; nikasifia bagia kuwa ni nzuri na tamu, huku nikimtaka anifikishie salamu kwa dada yake. Binti akajibu kuwa dada ametoka. Akiwa ameshafungua mlango akauliza ''hivi umesema bagia ni tamu?'' nikamjibu ndio....Binti akacheka na kusema ni nzuri, vipo vitu vitamu ila sio bagia. Hapo sasa nikaropoka ''bagia ni tamu na aliyepika pia ni mtamu'', binti akasema wewe kaka una balaa, mpishi umejuaje kuwa ni mtamu?....Nikamwambie njoo nikuonje...
Akanitazama na kuniambia napeleka vyombo; jiandae.
Dakika kadhaa binti amerudi; wakati huu hata mlango hakugonga...akapita na kukaa kitandani kabisa huku akiangaza kushoto na kulia. Akauliza wifi yangu huwa haji hapa; nikamkaribia na kumbusu shavuni huku nikimnyanyua kwa kumvuta mkono; binti hakuwa na kipingamizi; akanyanyuka...hapo sasa nikapata nafasi ya kumkumbatia na kumbusu vizuri, huku nikimtomasa maeneo ya tumbo na kupapasa mgongo.
Maandalizi ya hapa na pale, binti akajilaza begani kwangu; huku akisema nilikuwa nakuona upo serious sana ujue...sikupoteza muda nikamwangusha kitandani, nikavuta khanga aliyokuwa amevaa; kumbe ndani hakuwa na chochote zaidi ya shanga kaka kumi na nne hivi zilizokuwa zimejaa kiunoni mwake. Pandisha juu tshirt huku na yeye akipambana kuitoa boxer.
Asubuhi ile nikala bagia pamoja na mpishi wa bagia.
Baada ya siku tatu napishana na dada yake getini akanisalimu kwa kuniita shemeji huku anacheka.
Dah! Kumbe walikutengeneza aisee. Hamkuendelea na mapenzi/mahusiano?
 
Umenichanganya asubuhi sana shunie. mtu anayejua kuchezea nini? Hapa tunasema kidole kipitishwe kifanye kuchezea kitobo taratibuuu..haha!
Ninadhani hii ni elimu muhimu sana kwa jamii. Madame Shunie@Mkuu aitoe vyema kwa ustawi wa Jamii zetu.
 
Back
Top Bottom