Gobole
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 1,807
- 4,684
They planned it all along...Miaka hiyo nikiwa kijana nisiye na majukumu ya kifamilia wala kitaifa.
Maeneo fulani wilaya ya Kinondoni, eneo nililokuwa nimepanga kulikuwa na nyumba kadhaa ndani ya uzio mmoja.
Siku moja ijumaa nikiwa nimetoka kibaruani...




