Kihoronge
JF-Expert Member
- Apr 22, 2016
- 545
- 712
Hapana mkuu unapoamua kua mnyama umri sio shida kivile.. Deal nao tuu ipo siku utakamata Bebe ya kukata kiu... Then uje kufa bila Deni...,,
Wameumbwa kwaa ajili yetu*






unanitafutia kifo mkuu,niache nimalizie kusomesha watoto. Kwa umri huu ni kujitafutia matatizo. Jua lishazama.

