Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Daah!! Ouyaaa Wee. Pombe sio Poa.

Nina VISA vingi sana yaani sanaa maana sijui hata nielezee kipi niache kipi lakini kuna kimoja hicho sitakisahau Maisha.

Kipindi flani miaka ya nyuma sana nlikua Vijijini, Mkoani huko Kikazi. Sasa mimi ni yule mtu wa kujichanganya sana alafu siwezagi kunywa mwenyewe hata nikienda sehemu naweza kuanza mwenyewe lakini baada ya muda tu nakuwa nimeshazoeana na nliowakuta kisha tunaendelea kuenjoy mdogomdogo.

One day wikiendi hivi Saturday flani hivi imetulia. Nikatoka Ofisini mapema maana ni nusu siku nikaeda home nikaoga fresh nikachange Mkanda nje nikatupia T-Shirt na Jeans nikaenda Road.

Nikaenda kutulia Bar moja kubwa hivi ina Counter 1 barabarani huku nje na ndani mwisho kabisa kuna Counter ya 2 hapo katikati ndiyo watu wanakaa. Mimi nikawa nimetulia counter ya barabarani huku nakula vyedi (Safari) huku nacheki Magari yanapita, mengine yanaingia Bar, na mengine yanatoka napata burdani tosha kabisa.

Mpaka inafika saa 1 nshakula vyedi kama 6 hivi nikaona kama sielewi nikamchombeza Dada wa Counter amuite mtu wa Jikon alafu alivyorudi nikamzingua... Aaf kama vipi anipe K nichachue kama Maskhara vile nlikula Mvua za Matusi pale kejeli na kubinuliwa mdomo alinisema sana na kuniambia mimi namdhalilisha na kumuona Malaya mara yeye hajiuzi maneno mengi yakamtoka; nikaona isiwe kesi nikamwambia Sorry basi kunywa Bia na mimi nipe Bia nimeshakuelewa... Am sorry. Akapoa na mda huo nshamugiza Jamaa Mbavu Portion 2 na Ndizi 4.

Wakati naendelea na chupa zangu akawa anahudumia wateja wengine na wahudumu wanakuja pale counter kuchukua vinywaji lakini ananiangalia kwa hasira alafu anatikisha kichwa kama anasikitika hivi, mimi kwakua nshaharibu nikawa sina habari nampiga kijicho pembe nampotezea tu. Mara muda sio mrefu msosi ukaja mixer kachumbari nini Ndizi zimeremba sahani ya Bati ile pembe kwa pembe nikanawa nikamwambia jamaa amnawishe na yeye aje kula ila aongeze kwanza Bia 2 kama mwanzo mimi na yeye aikua anakunywa Eagle(Ndege) alafu ndiyo tuendelee. Akaniangalia Akatabasam huku anasikitika kama hataki vile.

Wakati tunaendelea kula pale yeye yuko ndani mimi niko nje viti virefu akaniangalia tena ila sasahivi akanikazia macho hivi nikamuuliza vipi umekabwa au akacheka akaniuliza Uko Serious, Kweli!!? Mimi nikatabasamu nikapiga funda kumezea nyama nikamjibu Ndiyo au ulijua nakuzingua!!? Tukaendelea kudonoa menu.

Tukiwa tunakribia kumaliza, nikamwachia sahani akae nayo ndan kule amalizia kabisa, namuona anakenua tu, Jamaa akaja nikanawa nikalipa nikaendelea kula Mma.

Ghafla naona napewa kirisit nikatahamaki vipi tena nikamuangalia na kumuuliza kwani nimekuomba Bill? Akaniambia kwa ishara Fungua usome... Daah!! Nikafungua nakuta ameandika "...Asa ntakupea wapi, tunafunga saa 10 leo." Nikacheka... Nikakichanachana kile kirisitk nkakitupa. Nikatulia. Mule Kaunta akanza kuhaha Mara atoke aingie ananifanyia Ishara ya Mikono akimaanish VIPI SASA!!? Nikamjibu Niongezee Bia alafu uje.

Akaongeza aaf, akanisogelea nikamwambia; "WEWE MTU MZIMA, UNANIULIZAJE MASWALI YA KITOTO HIVO." Nikaendelea na vyupa vyangu nakula monde tu... Akang'ata kidole akaendelea kuwahudumia wengine. Mara akakaa kwenye kiti chake pale ndani akawazaa alafu akatoka kisha akarudi akandika kirisit kingine; "... Ukiona amekuja mhudumu counter humu na mimi nimetoka basi uje ChaKike mwisho kabisa." Akanipa nikakisoma Chap nikamuoneshe Ngumi yenye Dole Gumba nikimaanisha Fresh! nimekusoma.

~ Itaendelea~

Lakini palepale Counter wakati Jamaa wa jikoni ananinawisha baada ya kumaliza kuna Mwamba alikuja akasalimia akakaa juu pale Kaunta nikawa katika kuongea nae na kumdodosa nikagundua ni Wajina yaani wakuitwa jina langu basi katika storystory nikamwambia Dada muongezee Bia ingiza bill yangu; Mwamba alikua anakunywa Plisner(Bia inanukaga Vibaya hii) fresh tukaendelea na story kama Mabest tunaojuana kumbe tumekutana palepale tena night hiyo hiyo.

Huku na huku Mwamba akanipanga kuna Mama Ntilie mmoja bonge wemepanga wakutane hapo ila kama fresh amchek aje na Msaidizi wake ili na mimi nisiwe mnyonge nikamwambia fresh utakua umenifaa aisee!! Tukacheka... Akampandia hewani na ile nokia six button akampanga aje na yule aliyemuhudumia yeye Mchana alivyoenda kula pale. Bonge akakubali. Baada tu ya kumaliza kuongea nae akaanza kumsifia huyo Msaidizi na kuniambia ni yaani Chombo ya Kwenda Aaf hata yeye ndiyo alikua anamtaka sema nini Big kampenda mwenyewe tu kwahiyo wacha aishi nae kwanza. Daah!! Kwa jinsi Mwamba alivyonipanga nikamwambia Dada wa Counter amuongeze Plisner ingine maana amenifurahisha Mwamba akawa ana Bia ya 3 Mpya ya pili iko nusu na ya kwanza keshamaliza.

Naomba niconclude(Nachoka kuandika): Nlijikuta nimekula Madem wote wa3 kizembe sana kwasababu yule wa Kaunta kule Toi nlienda nikapiga kimoja cha Mkwezi kirefu cha kishujaa cha kushika ukuta alafu pale hatukukaa sana walivyokuja wale Bonge na Msaidizi kumbe ni mtu na Shangazi yake tukawapiga bia kadhaa kila mtu tu nikalipa Bill yangu na jamaa akalipa yake tukaondoka Mwamba akatupeleka Kilabuni moja hivi Mashambani sio mbali na pale wanauza Pombe kwenye Makopo ya Chooni yale sema Makubwa na Madogo kama yale ya kuuzia Mbege. Alafu sijui ilikua Pombe gani ile ipo kama Mbege sema inarangj ya Maziwa na Mafuta kwa juu (kama uhudumiwe Maziwa ya Moto yenye Cream alafu yaanze kupoa kwenye Kikombe) ule utando sasa na machicha kidogo kwa juu kama uchafu hivi umechanganyika na mafuta unapuliza unakunywa.

Haina kushea kila mtu na mtuwe, Mwamba akaagiza Kubwa 2 mimi nikatoa Buku 2 na Mwamba akatoa Buku Jero kumbe Lile kopo Dogo ni Buku na lile Kubwa Ni Buku Jero; Mimi nimebigwa na Butwaa lakini sielewi wale wenzangu inaonekaga ndiyo Pigo zao kwasababu Bi Mkubwa( Hawa ni wale waMama wanakuuzia huku wamevaa Kanga/ Vitenge viwili tu kiunoni na kifuani tu. Aaf, wanakuaga aidha Mnene Sana au Mwembamba sana kisha Ni weusiii kama Mkaa sijawi ona Mweupe mimi) alivyoleta nini mixer wanaongea Kilugha mara onja ndiyo unipe mara ya leo mbona kama kali sijui machicha yamefanyaje ivoo yaani. Asa kwasababu pale Bar hawakuwa wamekunywa kivilee kama sisi waliyafakamia yale Mapombe pale mixer yule Bonge akaongezaa na Kopo dogo lile la Buku tukiwa tumekaa upenuni kwenye Benchi hivi tumezunguka duara tukifuatana na Mabenji mengine.

Mwamba alizima pale pale ikabidi mimi niondoke nao wote wawili mpaka kwangu njia nzima tunaimba nyimbo za kilugha mimi nafanya kuitikia tu. Asubuhi, Bonge alitapika Uvunguni sijui hata sina kumbukumbu yaani alitapikaje Uvunguni ambako hakufikiki hata, huku Chumba kizima kinanuka puya la Pombe za Kienyeji aaf yule Shangazi yake na yeye alikua hataki kuondoka... Eti kapapenda ghetto. Mimi sasa ndiyo sifai Kichwa Kinauma, Naskia Kiu kishenzi na huku Mdomoni sasa sijui nlikua najiskiaje ni chefuchefu sio kichefuchefu, machicha kama nimekula Mchanga vile na uso unang'aa kama nimeoga Mafuta. Mimi nimeamka na Boxer na wao kila mmoja ana Pensi lake kubwa lina mifuko yenye zipu huku Vifua wazi hivi nikawatoa hela kidogo wakaondoka, Siwajui na wao hawanijui mpka leo maana walitaka wapike Chai na mimi nlikua sina Chombo chochote ndani basi walivyotoka saa 5 hiyo kweupe kabisa Majirani na wapangaji wengine kama vile waliambiana Wageni rasmi wanatoka wakawa wamejipanga nje wawaone... Daah!! Aibu ile sitaisahau kamwe.
Mwamba umenichekesha sana kula gwala

Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
 
Daah!! Ouyaaa Wee. Pombe sio Poa.

Nina VISA vingi sana yaani sanaa maana sijui hata nielezee kipi niache kipi lakini kuna kimoja hicho sitakisahau Maisha.

Kipindi flani miaka ya nyuma sana nlikua Vijijini, Mkoani huko Kikazi. Sasa mimi ni yule mtu wa kujichanganya sana alafu siwezagi kunywa mwenyewe hata nikienda sehemu naweza kuanza mwenyewe lakini baada ya muda tu nakuwa nimeshazoeana na nliowakuta kisha tunaendelea kuenjoy mdogomdogo.

One day wikiendi hivi Saturday flani hivi imetulia. Nikatoka Ofisini mapema maana ni nusu siku nikaeda home nikaoga fresh nikachange Mkanda nje nikatupia T-Shirt na Jeans nikaenda Road.

Nikaenda kutulia Bar moja kubwa hivi ina Counter 1 barabarani huku nje na ndani mwisho kabisa kuna Counter ya 2 hapo katikati ndiyo watu wanakaa. Mimi nikawa nimetulia counter ya barabarani huku nakula vyedi (Safari) huku nacheki Magari yanapita, mengine yanaingia Bar, na mengine yanatoka napata burdani tosha kabisa.

Mpaka inafika saa 1 nshakula vyedi kama 6 hivi nikaona kama sielewi nikamchombeza Dada wa Counter amuite mtu wa Jikon alafu alivyorudi nikamzingua... Aaf kama vipi anipe K nichachue kama Maskhara vile nlikula Mvua za Matusi pale kejeli na kubinuliwa mdomo alinisema sana na kuniambia mimi namdhalilisha na kumuona Malaya mara yeye hajiuzi maneno mengi yakamtoka; nikaona isiwe kesi nikamwambia Sorry basi kunywa Bia na mimi nipe Bia nimeshakuelewa... Am sorry. Akapoa na mda huo nshamugiza Jamaa Mbavu Portion 2 na Ndizi 4.

Wakati naendelea na chupa zangu akawa anahudumia wateja wengine na wahudumu wanakuja pale counter kuchukua vinywaji lakini ananiangalia kwa hasira alafu anatikisha kichwa kama anasikitika hivi, mimi kwakua nshaharibu nikawa sina habari nampiga kijicho pembe nampotezea tu. Mara muda sio mrefu msosi ukaja mixer kachumbari nini Ndizi zimeremba sahani ya Bati ile pembe kwa pembe nikanawa nikamwambia jamaa amnawishe na yeye aje kula ila aongeze kwanza Bia 2 kama mwanzo mimi na yeye aikua anakunywa Eagle(Ndege) alafu ndiyo tuendelee. Akaniangalia Akatabasam huku anasikitika kama hataki vile.

Wakati tunaendelea kula pale yeye yuko ndani mimi niko nje viti virefu akaniangalia tena ila sasahivi akanikazia macho hivi nikamuuliza vipi umekabwa au akacheka akaniuliza Uko Serious, Kweli!!? Mimi nikatabasamu nikapiga funda kumezea nyama nikamjibu Ndiyo au ulijua nakuzingua!!? Tukaendelea kudonoa menu.

Tukiwa tunakribia kumaliza, nikamwachia sahani akae nayo ndan kule amalizia kabisa, namuona anakenua tu, Jamaa akaja nikanawa nikalipa nikaendelea kula Mma.

Ghafla naona napewa kirisit nikatahamaki vipi tena nikamuangalia na kumuuliza kwani nimekuomba Bill? Akaniambia kwa ishara Fungua usome... Daah!! Nikafungua nakuta ameandika "...Asa ntakupea wapi, tunafunga saa 10 leo." Nikacheka... Nikakichanachana kile kirisitk nkakitupa. Nikatulia. Mule Kaunta akanza kuhaha Mara atoke aingie ananifanyia Ishara ya Mikono akimaanish VIPI SASA!!? Nikamjibu Niongezee Bia alafu uje.

Akaongeza aaf, akanisogelea nikamwambia; "WEWE MTU MZIMA, UNANIULIZAJE MASWALI YA KITOTO HIVO." Nikaendelea na vyupa vyangu nakula monde tu... Akang'ata kidole akaendelea kuwahudumia wengine. Mara akakaa kwenye kiti chake pale ndani akawazaa alafu akatoka kisha akarudi akandika kirisit kingine; "... Ukiona amekuja mhudumu counter humu na mimi nimetoka basi uje ChaKike mwisho kabisa." Akanipa nikakisoma Chap nikamuoneshe Ngumi yenye Dole Gumba nikimaanisha Fresh! nimekusoma.

~ Itaendelea~

Lakini palepale Counter wakati Jamaa wa jikoni ananinawisha baada ya kumaliza kuna Mwamba alikuja akasalimia akakaa juu pale Kaunta nikawa katika kuongea nae na kumdodosa nikagundua ni Wajina yaani wakuitwa jina langu basi katika storystory nikamwambia Dada muongezee Bia ingiza bill yangu; Mwamba alikua anakunywa Plisner(Bia inanukaga Vibaya hii) fresh tukaendelea na story kama Mabest tunaojuana kumbe tumekutana palepale tena night hiyo hiyo.

Huku na huku Mwamba akanipanga kuna Mama Ntilie mmoja bonge wemepanga wakutane hapo ila kama fresh amchek aje na Msaidizi wake ili na mimi nisiwe mnyonge nikamwambia fresh utakua umenifaa aisee!! Tukacheka... Akampandia hewani na ile nokia six button akampanga aje na yule aliyemuhudumia yeye Mchana alivyoenda kula pale. Bonge akakubali. Baada tu ya kumaliza kuongea nae akaanza kumsifia huyo Msaidizi na kuniambia ni yaani Chombo ya Kwenda Aaf hata yeye ndiyo alikua anamtaka sema nini Big kampenda mwenyewe tu kwahiyo wacha aishi nae kwanza. Daah!! Kwa jinsi Mwamba alivyonipanga nikamwambia Dada wa Counter amuongeze Plisner ingine maana amenifurahisha Mwamba akawa ana Bia ya 3 Mpya ya pili iko nusu na ya kwanza keshamaliza.

Naomba niconclude(Nachoka kuandika): Nlijikuta nimekula Madem wote wa3 kizembe sana kwasababu yule wa Kaunta kule Toi nlienda nikapiga kimoja cha Mkwezi kirefu cha kishujaa cha kushika ukuta alafu pale hatukukaa sana walivyokuja wale Bonge na Msaidizi kumbe ni mtu na Shangazi yake tukawapiga bia kadhaa kila mtu tu nikalipa Bill yangu na jamaa akalipa yake tukaondoka Mwamba akatupeleka Kilabuni moja hivi Mashambani sio mbali na pale wanauza Pombe kwenye Makopo ya Chooni yale sema Makubwa na Madogo kama yale ya kuuzia Mbege. Alafu sijui ilikua Pombe gani ile ipo kama Mbege sema inarangj ya Maziwa na Mafuta kwa juu (kama uhudumiwe Maziwa ya Moto yenye Cream alafu yaanze kupoa kwenye Kikombe) ule utando sasa na machicha kidogo kwa juu kama uchafu hivi umechanganyika na mafuta unapuliza unakunywa.

Haina kushea kila mtu na mtuwe, Mwamba akaagiza Kubwa 2 mimi nikatoa Buku 2 na Mwamba akatoa Buku Jero kumbe Lile kopo Dogo ni Buku na lile Kubwa Ni Buku Jero; Mimi nimebigwa na Butwaa lakini sielewi wale wenzangu inaonekaga ndiyo Pigo zao kwasababu Bi Mkubwa( Hawa ni wale waMama wanakuuzia huku wamevaa Kanga/ Vitenge viwili tu kiunoni na kifuani tu. Aaf, wanakuaga aidha Mnene Sana au Mwembamba sana kisha Ni weusiii kama Mkaa sijawi ona Mweupe mimi) alivyoleta nini mixer wanaongea Kilugha mara onja ndiyo unipe mara ya leo mbona kama kali sijui machicha yamefanyaje ivoo yaani. Asa kwasababu pale Bar hawakuwa wamekunywa kivilee kama sisi waliyafakamia yale Mapombe pale mixer yule Bonge akaongezaa na Kopo dogo lile la Buku tukiwa tumekaa upenuni kwenye Benchi hivi tumezunguka duara tukifuatana na Mabenji mengine.

Mwamba alizima pale pale ikabidi mimi niondoke nao wote wawili mpaka kwangu njia nzima tunaimba nyimbo za kilugha mimi nafanya kuitikia tu. Asubuhi, Bonge alitapika Uvunguni sijui hata sina kumbukumbu yaani alitapikaje Uvunguni ambako hakufikiki hata, huku Chumba kizima kinanuka puya la Pombe za Kienyeji aaf yule Shangazi yake na yeye alikua hataki kuondoka... Eti kapapenda ghetto. Mimi sasa ndiyo sifai Kichwa Kinauma, Naskia Kiu kishenzi na huku Mdomoni sasa sijui nlikua najiskiaje ni chefuchefu sio kichefuchefu, machicha kama nimekula Mchanga vile na uso unang'aa kama nimeoga Mafuta. Mimi nimeamka na Boxer na wao kila mmoja ana Pensi lake kubwa lina mifuko yenye zipu huku Vifua wazi hivi nikawatoa hela kidogo wakaondoka, Siwajui na wao hawanijui mpka leo maana walitaka wapike Chai na mimi nlikua sina Chombo chochote ndani basi walivyotoka saa 5 hiyo kweupe kabisa Majirani na wapangaji wengine kama vile waliambiana Wageni rasmi wanatoka wakawa wamejipanga nje wawaone... Daah!! Aibu ile sitaisahau kamwe.

 
Mpaka namuonea huruma huyu dada.

Alikuja ofisini kwangu kwa ajili ya kutangaza huduma zao wanazotoa kwenye taasisi yao. Siku ya kwanza (last month) alikuja ofisini na barua kuomba kibali cha kufanya hivyo na niwape taarifa staff wangu. Basi ikawa hivyo na wakaja siku iliyokusudiwa wakamaliza.
Akaja ofisini tukiwa wawili kuniambia kuhusu huduma zao maana sikujichanganya na subordinates wangu. Akanipatia business card for any issue nami nikampatia yangu. Ni mzuri wa ngozi soft black, mnene, irregular shape, sura ya baba hivi. Kwakifupi sikuwaza hata kidogo nimuombe. Hana mvuto kwangu kabisa.
Ameniomba sana appointment ndani ya mwezi mzima tuonane for business but sijavutiwa na products zao. Kila wakati anataka tuonane.
Jana kanitafuta nikamwambia nipo nje ya mkoa. Nipo Wilaya ya jirani nitarudi after two weeks ili asinisumbue akaniambia sawa.
Baadae akatuma sms akisema hata kuniambia karibu huko jamani nikajua huyu anataka, nikamwambia karibu. Akasema nakuja kesho yaani Kimasihara kabisa. Akapanga anakuja kesho (leo) nikamwambia poa ila natoka kwenye majukumu saa 2 usiku (hii yote ili akate tamaa). Akajibu usijali mie huku nitaondoka saa 11 jioni.
Ilibidi niseme okay. Saa 9 leo kanitafuta ananiambie ndo nataka kujiandaa nije huko.
Nimemjibu usije maana nina ratiba ngumu sana hapa tunaenda site unaweza ukawa bored kabisa. Nikirudi town huko nitakutafuta.
Mpaka sasa hajajibu sms.
Kiukweli sijamuelewa hata kidogo.
Hardlife mkuu
 
Mwaka 2015 mwezi wa 9 nilienda Mtwara kikazi na nilikaa siku 8. Hotel niliyokuwa nimefikia kulikuwa na dada mmoja alikuwa mzuri sana wa sura na umbo age around 26-28 nae alikuwa mgeni chumba cha tatu kutoka nilipo fikia mie. Nakumbuka mie naingia room kwa mara ya kwanza na yeye ndio anatoka room kwakwe kwenda nje. Ilikuwa jioni ya Jumapili baada ya kushuka zangu kutoka Dar na Buti la Zungu kama kawaida. Nje wakati naingia kuna jamaa mmoja alikuwa amekaa kwenye round table moja hivi ambaye niliimark sura vizuri sana japo yeye alikuwa busy na mambo yake. Kumbe yule jamaa ndio mshikaji wake yule dada na niligundua hilo baada ya mimi kutoka nje na kuwaona wamekaa wote wanaendelea na yao. Yule jamaa walilala wote room mpaka kesho na hilo niligundua asubuhi wakati namuona jamaa kwa mbali ndio anaondoka nikajisemea tu moyoni jamaa anafaidi sana.

Ebanaa naenda kazini paliponipeleka nakutana na yule mshikaji na hakuna aliyekuwa ananifahamu kwakuwa kile kituo ndio ilikuwa mara ya kwanza kwenda kufanya ile kazi ambayo ilinipeleka. Hapo ndio nikagundua yule jamaa ni mwenyeji Mtwara na yule dem either ni mgeni au nae mwenyeji. Basi ilivyo fika saa 9 nikaaga kwenda Hotelini kwakuwa program yangu ya siku ilikuwa imeisha. Kufika Hotelini nakutana na yule dada amekaa nje wanapiga story na receptionist. Muhudumu akanyanyuka kwenda kunipa funguo huku salaam nikiwapa kwa wote. Yule dada akawa amebaki pale na soda yake anakunywa. Baada ya kupewa funguo yule muhudumu alichelewa kidogo kutoka nami nikatoka nje nikaenda kwa yule dada nikamwambia karibu room namba 8 akacheka akasema asante nami nikaondoka zangu room. Hakuna zaidi ya maongezi hayo ambayo tuliongea na ilikuwa ni Masihara fulani. Nimefika room funga mlango nikajimwagia maji nikatulia zangu huku na TV na simu nafuatilia ya duniani mara nasikia mlango unagongwa. Kufungua mlango nakutana na yule dada nikamkaribisha. Basi akakaa kwenye kiti pale tukaongea zaidi ilikuwa ni kufahamiana na akadai ametokea kaskazini na ndiko anafanyia kazi ila pale amekuja kwa jamaa yake ambae ndio yule staff. Namuuliza mbona hujaenda kwakwe sasa anasema kaoa, sasa kama kaoa mbona kalala huku akasema ameaga amesafiri kwa wiki moja kuanzia jana (nikajisemea huyu ni m..laya kafuata pesa tu hamna lolote). Hata hivyo sikuendelea kumhoji sana kwakuwa sikuona haja sana.
Nikamsifia uzuri wake pale nikamuomba na gem kabisa.. ohh mwenzangu atakuja sasa hivi tu nikamwambia nimemuacha kazini nae akaanza kushangaa nimefikaje huko na nikamuelezea kidogo ilivyo. Nilikomaa na touches za hapa na pale akaomba apige simu ili ajue jamaa yupo wapi. Mshikaji alivyopigiwa simu akasema mpaka saa 12 ndio nakuja. Baada ya kusikia hivyo nikachukua zana kabisa (huwa siuzi match za ugenini) nikapiga viwili saafi huku anawasiwasi jamaa asije mkuta then akaenda room. Yule jamaa yeye akaja mida ya saa 1 kasoro jioni wakati huo niliisha maliza kitambo.
Ile kazi nilifanya kwa wiki 1 na baada ya hapo kila nikirudi jioni napewa kimoja na yule dem mpaka tukaondoka wote yeye anaenda Dar mie nikashukia Lindi ila gari tofauti. Yule jamaa siku ya pili aligundua nami nimefika ile Hotel but kazini tena alikuwa mshikaji sana na alipiga story sana za yule dem wake kwakuwa alijua nimejua mahusiano yao. Kumbe jamaa analala naye usiku mie napiga mida ya saa 10 jioni mpaka naondoka.
Ila wanawake acha kabisa baada ya hapo sijawahi kuwasiliana naye kabisa mpaka leo japo tulipeana namba.
Hivi wanaume huwa hamgundui kuwa mtu katoka kwingine?
 
Uchunguzi utachelewa sana wale member wako Ndo wako vizuri😂😂😂
Ah kwanza huu uchunguzi utakuwa uootevu wa hela tuu. Maana cha msingi ni mbususu kuliwa. Na i ametangulia kabla yako hilo halina manaa. Tunatakiwa kupeana utamu tuu.

Kwanza mwanamke wakumgegeda mwenyewe hana raha, mwanamke wako anatakiwa atombweee na wanaume wengine ndio raha ya kumiliki mwanamke bwana. Sasa wee mwanamke wanaume wengine hawamtaki wa nini
 
Nakumbuka wakati nipo kwa Wazazi alikuja Msichana, kwa kweli kumuona hadi mapigo ya Moyo yakabadilika.... ila kumpata ndo ikawa kipengere, sasa kufika usiku yule Binti katika kupiga piga stori nae nikaamua nipakue Video za Ngono maana tulikua wawili Sebuleni, nikazipakua alafu nikawa naangalia ila lengo kuu nilitaka nae aone, kwa kua nilikua mbali nae kidogo akaniuliza UNAANGALIA NINI nikamjibu NJOO UANGALIE NA WEWE akakubali akaja, kadri anavyoangalia nilikua nikimshika anatulia tu, peleka Mkono Kiunoni katulia, peleka Mkono Kifuani katulia..... nikaona shughuli imeisha pale pale Sebuleni nikamaliza kazi, baada ya hapo ikawa rahisi tu nikitaka Show chap anarukia Chumbani.... ila aliyemuoa nathubutu kusema anafaidi maana ana balaa la peke yake
Ila upunguze kuangalia mattercall insta.
 
Habari wana ndugu wanaokula tunda kimasihara kila kukicha


Juzi kati nimekula Tunda kimasihara la Eng. Wa Taasisi kubwa hapa Bongo.

Ili kuwa ivi.

Huyu Eng. Mara nyingi anakuja kupata huduma za kifedha kwenye ofisi yangu. Na akija ana mkuta dada/mfanya kazi wangu anamuhudumia vizuri mpaka anajisikia fahari kuja hapo ofisini kwangu

Huyu Eng. Bado mdogo kiumri niseme around 31 ivi au below. Huyu miss mara nyingi anakuja tunapisha yaani akija ananikosa anahudumiwa na dada. Ingawa kuna siku alikuja akanikuta nikampa huduma na kumtania kidogo then nikampotezea

Sasa bhana, juzi nimeshinda ofisini hapo mpaka mida ya saa tisa ivi mara paa naona gari ya Eng. Inapaki mlangoni mwa ofisi yangu. Nikajiongeza chap na kubuni mbinu ya kuchukua namba ya Eng. Nikamwambia dada ebu nenda kachukua maji katoni tano pale tunapochukua. Leongo ilikuwa ni dada aende ili mimi nibaki free na eng. Tuna uza na maji na others soft drinks.

Basi bhana Eng. Akaingia ndani nikampa kile alichotaka baada ya kumaliza ile anaondoka tu nikamuita samahani Eng. nikampa simu yangu aniandikie namba yake bila kupapasa macho wala discusion, akapokea simu na kuandika namba nikamwambia shukrani nitakupigia muda si mrefu. Akasepa zake huyo

Ilipofika muda wa saa kumi na moja jioni nikapaa hewani. Hello Eng habari za wakati huu mimi......akasemaa ahaa nimeshakufahamu. Na kuniuliza nikusaidie nini “Y” nikamuulza kwasasa upo wapi nipo home sehemu gani lakini? Akajibu maeneo ya Goba basi nikamwambia naomba tuonane mida ya saa moja ivi tupate kinywaji na maongezi kidogo. Akasema ngoja atanifahamisha. Nikasema sawa.

Basi mi nikaendelea na majukumu kama kama na kusahau kuwa kuna mtu nimemuahidi kuonana. Ilipofika saa moja na dakika 45 mara hiyo simu inaita kucheki ni Eng. Nikasema safi kabisa. Nikapokea hello Eng. Hello “Y” akasema eehe nambie nikamwambia naomba tukutane six park madale. Akasema pouwa.

Kwa wasiyofahamu hizi chimbo kutoka goba njia nne na madale siyo mbali ni karibu sana. Basi nikajiandaa chapu na kuchukua mkweche wabngu niwahi eneo la tukio kbala ya Eng kutia timu. Nafika tu na yeye huyo katiba na boda safari hii alikuja na boda hakuja na gari lake. Nikajisemea mmh leo hatoki salama jinsi alivyo vaa ivi, alikuwa amevaa gauni fulani ivi nzuri na fupi kidogo. Ila niwe mkweli Eng kabarikiwa kila idara aisee.

Basi bhana tukatafuta engo safi tukakaa na kuangiza vinywaji. Eng aliaza savana mi nikaagiza wine fulani izi huwa naipenda. Vinywaji vikaletwa tukaanza kunywa na kupiga stori mbili tatu. Mara ohoo nionje wine yako nikamwambia ngoja nikuwekee kidogo nikamuwekea yeye akachanganya na savana yake namcheki tu.

Stori ikanoga kushtuka saa tatu hapo sijasema chochote kunywa tu na kuongea tu stori za hapa na pale. Ilipofika saa tatu na nusu akasema anaenda home ahsante kwa kampany yako nimefutahi na kuenjoy kweli kweli. Mi nikamwambia karibu tena na tena wala usichoke kuja. Akasema sawa. Lakini muda huo nimeshampimia yaani kalegea kweli kweli.

Alivyonyanyuka kuanza safari nikamwambia huwezi kwenda mwenyewe twende wote akasema sawa. Nikamuingiza kwenye mkweche. Alivyooingia tu kwenye gari nikapandisha vyoo na kuwasha gari nikamwambia sentensi moja twende home ukapaone ili kesho iwe rahisi kuja. Akaguna tu. Mi nikatoa gear na kuondoka kuelekea home uzuri home siyo mbali na maeneo hayo.

Tumefika home tukaingia ndani. Karibu mgeni jisikie huru. Ahsante “Y”. Nimeshapaona kwako sasa nirudishe kwangu nikamwambia sawa. Alivyomaliza tu kuongea nikamkubatia ile tight kweli kweli aisee. Vup bin vaa tukaangaliana usoni face to face mi nikapeleka mdomo tu ikapokelewa vizuri bila kinyongo tukaanza mambo mara paa tukadondoka kwenye kochi.

Aisee Eng. Alinipa ushirikiano Romance ya maana mwisho tukaanza kuduu. Nilipiga pipe za kutosha mpaka saa saba. Nikamrudisha eng kwake nikarudi home nikapiga maji nikalala. Nimeaidiwa papuchi tena kesho kutwa juma tano muda ni ule ule

Ivo ndivyo nilivyomla Eng. Nawasilisha
Kazi nzuri kamanda Eng. Lazma aliwe kama hivi 😂😂😂
 
Back
Top Bottom