Uamuzi wangu wa kuokoka unazidi kupigwa vita na mwovu shetani maana hata wiki 2 hazijaisha tangu niamue kuokoka ila nimesha kula mbususu 3, shetani unikome kabisa😐
Secretary ni mweusi hivi, mrefu, ananywele fupi (kipilipili) ana mzigo si haba na hips, ila ukisikia guu la bia ndiyo hili sasa. Japo ni mzuri na ana smile kila mara nilikuwa najiweka mbali naye.
Hata utani tu sikuendekeza sana, sasa nilivyo fanya maamuzi ya kuacha uzinzi juzi juzi akaja ofisini akanitaarifu kuwa anapitia changamoto ya kifamilia, mme wake amekuwa mlevi sana.
Analewa, anatukana watoto anamwita majina mabaya, basi nikampa pole, nikamwambia atulie wala asishindane naye.
Kuanzia hapo nikawa napiga naye story, yeye ananipa story za stress zake, basi nikaanza kumtongoza taratibu akawa anacheka cheka😂
Ijumaa nikauliza ratiba ya mme wake akasema huwa anarudi usiku sanaa, nikaomba jumamosi jioni nikutane nae akasema atanijibu.
Jana sa12 nikampigia akasema jamaa bado hajaondoka nisubiri kidogo, baada ya nusu saa akaniambia jamaa amesha sepa.
Basi nikamwambia asimame sehemu fulani nimpitie ili kupunguza idadi ya macho, nikampitia, tukaenda moja kwa moja lodge😂
Tulivyo ingia akasema yani badala ya kunifariji unani.. to.. m.. ba, we mbaya wewe😂 nikamwambia punguza maneno, nikamvua kimini chake nikamvua kila kitu.
Namimi nikavua kila kitu, kwanini asianze kunyonya mkuyenge yani ni fundi wa kunyonya kama mwanadada 'Diamond Pipes' hapo nilihisi mme wake ana haki ya kuhisi anachapiwa.
Basi tukachapana fasta fasta, nikamkatia sabuni ya roho, tukaoga saa 2 nikamrudisha mtoto wa watu.