Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Pia Vodacom nao waliokuwepo.
Pia Mobitel ambao sasa ni tigo walikuwepo!
Pitia angalau Google utoe tongotongo kidogo!
Screenshot_20220927-165758_Google.jpg
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========

TAKE NOTE:

===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
huu uzi umesomwa zaidi na wanawake, wanakumbukia mengi sana.
Wale wa Sekondari , wanakumbukia walipoliwa disko la welcome first year!

wale wa A-level huwa wanakulana siku ya disko la shule kwa shule, na wale domo zege huwa wanakulana siku ya graduu!

wale wa chuo huwa wanakulana siku ya orientation na kujitambulisha darasani maana kila mtu anajitambulisha anatoka Dar: Mwezi wa 10 sasa ndio huu wanachuo wameingia toka mikoani, wengi ndio wanakulana mara ya kwanza, kale ka uoga ka kuonekana na mama, sijui jirani wameachwa huko Kamachumu Bukoba mtoto anatoa kama yote, yaani anapanua miguu kama vile Mtu anapasua msonobari.
Gesti zaSurvye, Mwengr na maeneo ya jirani toka last week zimejaa, ukicheki hostel unakuta kumetuliaa miguno tu, wanapunguza sex [exile] wakipewa assignment ya kwanza
 
huu uzi umesomwa zaidi na wanawake, wanakumbukia mengi sana.
Wale wa Sekondari , wanakumbukia walipoliwa disko la welcome first year!

wale wa A-level huwa wanakulana siku ya disko la shule kwa shule, na wale domo zege huwa wanakulana siku ya graduu!

wale wa chuo huwa wanakulana siku ya orientation na kujitambulisha darasani maana kila mtu anajitambulisha anatoka Dar
Yani ni kweli kabisa umenikumbusha mbali sana Ila enzi hazirudi jamani
 
Nna daught labda mnitoe ushamna....Et miaka ya 20000 simu wote wawil na pia email ukasave[emoji16][emoji16][emoji16] watu banna kwann udanganye lakini.
Mimi nilikua nasoma chuo miaka hiyo, nilikua nahifadhi nyaraka na ripoti zangu muhimu kwa kujitumia kwenye baruapepe.
 
Wiki kadhaa nilienda Mkoa fulani na kimsingi huo Mkoa pia mie mwenyeji sana kwakuwa nimewahi kuishi.

Kuna dada mmoja nilifahamiana naye tangu mwaka 2015 na kimsingi akawa ni rafiki yangu sana na mara kwa mara tulifanya mawasiliano kutokana na shughuli zetu. Nikiri sikuwahi kuonyesha dalili hata ya kumtongoza wala ya yeye kunitaka.

Nina tabia ya kwamba mwanamke akiwa rafiki yangu si kimapenzi basi huyo anakuwa kama dada yangu wa tumbo moja. Basi siku hiyo kutokana na huko niendako kulikuwa na shughuli kubwa ya kikazi so nikawa na wasiwasi Hotel zaweza kujaa. Nilipiga simu za hotel nilizozioea na kukuta zimejaa.

Wazo likaja nimpigie yule sister anisaidie kunitafutia basi nikampigia akaniambia hakuna shida. Baada ya kama saa 1 hivi akaniambia nimepata Hotel fulani tumefanya Booking ila uwahi kwakuwa wageni ni wengi wasije uza.

Basi nilifika mida ya saa 1 jioni nikawa nimefika na nikamtafuta. Nikamuomba tuonane for dinner katika Hotel aliyofanya booking na nikamwambia anisindikize kwakuwa sipajui (ilikuwa utani fulani kwakuwa nisingeweza shindwa kufika kwakuwa ni mwenyeji) na akakubali.

Kufupisha story baada ya kuonana tukaenda mpaka hotelini na tulivyofika basi nikamwambia twende room. Akacheka then akasema twende huku mhudumu akitupeleka. Baada ya kufika tulipiga story kadhaa huku tumeagiza chakula tukiwa ndani. Baada ya dakika 40 chakula kikaja.

Baada ya kula sasa nikaanza kuwaza ujinga na vile yeye alikuwa hajamaliza nikatoka zangu nje kama napiga simu kumbe nimeenda kuchukua zana ambazo zimewekwa ukutani. Kama dakika tatu nikawa nimerudi. Akamaliza kula weka vyombo pembeni story za hapa na pale na akitaka kuondoka huku akili ikiwaza huyu nafanyeje atoke hivihivi.

Nikamwambia unajua ukila chakula ukishiba vizuri viungo vingine vinakuwa na njaa.. kama hakunielewa akasema viungo gani nikaonyesha kwenye zip ya suruali.. akacheka sana akasema sasa kama una njaa simwambie muhudumu akutafutie.. nikamwambia ananitafutiaje wakati wewe upo... akasema yaani mie ndio nikutafutie?

Nikamwambia hapana wewe ndio uhusike.. alijua utani ooh mie siwezi kabisa maana umekuwa rafiki yangu ni aibu sana. Wakati anaogea hivyo huku namsogelea na nikamshika tit huku namuuliza aibu ya nini sasa. Eti ooh kumbe upo serious nikamwambia ndio.

Baada ya conversation za hapa na pale akaanza kuishiwa nguvu na nikaanza kutafuta weak points kwakwe mpaka nikajua ni wapi. Duh nilicheza sana na ziwa mpaka akawa anahema tu baadae nikahamia ikulu piga touch za kutosha akawa hajiwezi tena huku amenipa uhuru wa 100%. Uzuri alikuwa msafi sana na ndio alitoka kuoga dah.

Nikaanza kumvua dah kama anaogopa ohh mie siwezi naona aibu sana basi mpaka nikafanikiwa daha chezea mpaka akabaki alalia tu nikavaa zana nikapiga sana nakaribia kutoa wazungu nikachomoa tena kumgeuza style nyingine napenda hivyo maana pale nakatisha utam then nakuwa kama naanza upya kabisa kwakuwa ile hamu inakata kidogo. Piga tena baada ya dk 5 wazungwa hao.

Nilivyo maliza alificha uso mpaka nakuja kurudia round 2 na tulivyomaliza akaoga akavaa. Akaanza kulalamika tu jinsi alivyo rafiki yangu na kitendo tulichokifanya na jinsi anaona aibu.. akawa anaomba sana tusirudie tena na tusiongelee hilo tena kwenye urafiki wetu kwakuwa anaona sana aibu.

Sasa mie dem akiwa na aibu kwangu raha sana. Yaani nilienjoy sana. Sasa namtumia vi sms hataki kuongelea hilo japo anasema tu alienjoy sana.
 
Wiki kadhaa nilienda Mkoa fulani na kimsingi huo Mkoa pia mie mwenyeji sana kwakuwa nimewahi kuishi. Kuna dada mmoja nilifahamiana naye tangu mwaka 2015 na kimsingi akawa ni rafiki yangu sana na mara kwa mara tulifanya mawasiliano kutokana na shughuli zetu. Nikiri sikuwahi kuonyesha dalili hata ya kumtongoza wala ya yeye kunitaka. Nina tabia ya kwamba mwanamke akiwa rafiki yangu si kimapenzi basi huyo anakuwa kama dada yangu wa tumbo moja. Basi siku hiyo kutokana na huko niendako kulikuwa na shughuli kubwa ya kikazi so nikawa na wasiwasi Hotel zaweza kujaa. Nilipiga simu za hotel nilizozioea na kukuta zimejaa. Wazo likaja nimpigie yule sister anisaidie kunitafutia basi nikampigia akaniambia hakuna shida. Baada ya kama saa 1 hivi akaniambia nimepata Hotel fulani tumefanya Booking ila uwahi kwakuwa wageni ni wengi wasije uza.
Basi nilifika mida ya saa 1 jioni nikawa nimefika na nikamtafuta. Nikamuomba tuonane for dinner katika Hotel aliyofanya booking na nikamwambia anisindikize kwakuwa sipajui (ilikuwa utani fulani kwakuwa nisingeweza shindwa kufika kwakuwa ni mwenyeji) na akakubali.
Kufupisha story baada ya kuonana tukaenda mpaka hotelini na tulivyofika basi nikamwambia twende room. Akacheka then akasema twende huku mhudumu akitupeleka. Baada ya kufika tulipiga story kadhaa huku tumeagiza chakula tukiwa ndani. Baada ya dakika 40 chakula kikaja. Baada ya kula sasa nikaanza kuwaza ujinga na vile yeye alikuwa hajamaliza nikatoka zangu nje kama napiga simu kumbe nimeenda kuchukua zana ambazo zimewekwa ukutani. Kama dakika tatu nikawa nimerudi. Akamaliza kula weka vyombo pembeni story za hapa na pale na akitaka kuondoka huku akili ikiwaza huyu nafanyeje atoke hivihivi.
Nikamwambia unajua ukila chakula ukishiba vizuri viungo vingine vinakuwa na njaa.. kama hakunielewa akasema viungo gani nikaonyesha kwenye zip ya suruali.. akacheka sana akasema sasa kama una njaa simwambie muhudumu akutafutie.. nikamwambia ananitafutiaje wakati wewe upo... akasema yaani mie ndio nikutafutie? Nikamwambia hapana wewe ndio uhusike.. alijua utani ooh mie siwezi kabisa maana umekuwa rafiki yangu ni aibu sana. Wakati anaogea hivyo huku namsogelea na nikamshika tit huku namuuliza aibu ya nini sasa. Eti ooh kumbe upo serious nikamwambia ndio. Baada ya conversation za hapa na pale akaanza kuishiwa nguvu na nikaanza kutafuta weak points kwakwe mpaka nikajua ni wapi. Duh nilicheza sana na ziwa mpaka akawa anahema tu baadae nikahamia ikulu piga touch za kutosha akawa hajiwezi tena huku amenipa uhuru wa 100%. Uzuri alikuwa msafi sana na ndio alitoka kuoga dah. Nikaanza kumvua dah kama anaogopa ohh mie siwezi naona aibu sana basi mpaka nikafanikiwa daha chezea mpaka akabaki alalia tu nikavaa zana nikapiga sana nakaribia kutoa wazungu nikachomoa tena kumgeuza style nyingine napenda hivyo maana pale nakatisha utam then nakuwa kama naanza upya kabisa kwakuwa ile hamu inakata kidogo. Piga tena baada ya dk 5 wazungwa hao. Nilivyo maliza alificha uso mpaka nakuja kurudia round 2 na tulivyomaliza akaoga akavaa. Akaanza kulalamika tu jinsi alivyo rafiki yangu na kitendo tulichokifanya na jinsi anaona aibu.. akawa anaomba sana tusirudie tena na tusiongelee hilo tena kwenye urafiki wetu kwakuwa anaona sana aibu.
Sasa mie dem akiwa na aibu kwangu raha sana. Yaani nilienjoy sana. Sasa namtumia vi sms hataki kuongelea hilo japo anasema tu alienjoy sana.

Alivyomaliza kula uzuri akatoka kuoga, hii ndio jf
 
Ndugu yangu Beemind;

Nakubaliana na wewe kuwa na email haikuwa common miaka hiyo.
Binafsi internet nimeanza kutumia mwaka 2001; kwa maeneo niliyokuwa ninaishi internet cafe ilikuwa pale mtaa wa Kipata nyuma ya Keys Hotel na mara chache nilikuwa nikienda internet cafe fulani mtaa wa Pamba pale karibu na Luther House Posta. Wakati huo tulikuwa tunatumia sana Yahoo Messenger and MSN messenger kwa watu wa Hotmail.

Pamoja na yote hayo, wapo ambao walikuwa wanatumia internet japo walikuwa wachache.
Hii potezea mkuu.
 
Back
Top Bottom