Desire mobutu seseseko
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 1,000
- 1,467
hii TRAB and TRAT kabsaa








Ya ya ya ya ya ya ya yaNakuhakikishiaaa mwandishii ww n mjumbe wa TRAB & TRAT
Ndugu yangu Beemind;[mention]willpower [/mention] Naona mnanivaa sana but binafsi nimeanza kutumia sim 2003 celtel ya bure japo izo tritel buzz voda nilikua pia nazifaham kipindi iko na kabla ya apo nilikua nikitumia sim za tccl kuwasiliana na kuhusu internet nimeanza kutumia 2007 ila nikikumbuka miaka ya 2000 vizuri hakukua na simu yenye uwezo wa G au E kwenye internet maana chakwangu kilikua NOKIA sikumbuk ni ngap ila ilikua hata rangi haina. Kuhusu BB,Sonyericson,motorola, nokia zenye camera na uwezo wa rangi binafsi nimeamza kuziona miaka ya 2005+ na kwenyewe watumiaji wa yahoo,MSN, ebay,AOL end etc nimeujua miaka ya 2005+ japo sio kwa matumizi sikua natumia ila nilikua najua kwakutua computer zilikua na uwezo quantum.
Kilichokua kinanipa ukakasi ni huo urahisi wa kusave email ya mwaka 2000 as if its common kati hata wengine kua na sim ilikua ni wachache hapahapa dar.
Anyway kilamtu atajipandisha kutokana na kufurahisha watu wengine watakua wakweli japo siwezi kukataa maana mi maisha yangu sikutoka kwenye familia za kisomi na zinazojiweza sana na sio mtoto wa mjini labda ndo maana nilichelewa kujua.
Mkuu hii embu kausha......Baadae nitaleta jinsi nilivyomla kimasihara mama yangu ( an age-old woman).
Amemaanisha umri sawa na mama yake wala sio mama yakeMkuu hii embu kausha......
Oooh!! Hapo sawa. .... nilijua kamla bi mkubwaAmemaanisha umri sawa na mama yake wala sio mama yake




Wahi basi.Jaman amkeni, nimekula mtu kwa masihara , mtu ninaeheshimiana nae sana, jamani huu uzi umeniaharibu jamani, nimekula kiongozi wangu wa kazi, dahhh ni usiku mmoja tu nimekula.
Naomba nilete kwenu story yenyewe had sasa siamini kama kweli ni yeye.
Keep waiting
Yani hii chai imenichekesha sana. Bosi anaumwa mkono masaji amefanyiwa miguuni. Daa!hii ndio bongo unaumwa mkono unafanyiwa masaji mguu
Nimecheka pale ameandika ccm oyeeNa hili nalo naomba mkalitizame, au nasema uongo ndugu zangu![]()
Pitia angalau Google utoe tongotongo kidogo!Pia Vodacom nao waliokuwepo.
Pia Mobitel ambao sasa ni tigo walikuwepo!
Watu tuapenda biv result now!! Start ikifeli unaacha gari unatembea.Mkuu ungemalizia tuu,jamaa ana uandishi flani amazing. Mwenyewe hapa nimedinda![]()
Kimasikhara maana yake kutongoza kwako kusizidi Lisaa tangu binti ulipomtamani, Sasa wewe umechukua limwezi lizima kumfatilia halafu uje useme kimasihara we mshamba kweli naliuzi Lako limejaa tangawizi
huu uzi umesomwa zaidi na wanawake, wanakumbukia mengi sana.Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.
Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.
Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.
Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?
===========
TAKE NOTE:
===========
Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Yani ni kweli kabisa umenikumbusha mbali sana Ila enzi hazirudi jamanihuu uzi umesomwa zaidi na wanawake, wanakumbukia mengi sana.
Wale wa Sekondari , wanakumbukia walipoliwa disko la welcome first year!
wale wa A-level huwa wanakulana siku ya disko la shule kwa shule, na wale domo zege huwa wanakulana siku ya graduu!
wale wa chuo huwa wanakulana siku ya orientation na kujitambulisha darasani maana kila mtu anajitambulisha anatoka Dar
Mimi nilikua nasoma chuo miaka hiyo, nilikua nahifadhi nyaraka na ripoti zangu muhimu kwa kujitumia kwenye baruapepe.Nna daught labda mnitoe ushamna....Et miaka ya 20000 simu wote wawil na pia email ukasavewatu banna kwann udanganye lakini.