Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Ndio Kuna masihara, ila huyu wako anakutengenezea mazingira yawewe kumla .


Kua Makini na Gridi ya Taifa.
Huenda! Lkn ile jana kaanza na kibom!
Nilimcheki mida ya saa mbili night,nkamuuliza vip uko wap! Oooh nilishamaliza shopping na nimetoka niko mahali kidogo na fans wangu,sijui akanieleza walichokuwa wanafanya & blah blah kibao siwezi hata kuzimaliza kueleza but in short alikuwa ananipanga mwisho akataka elfu5 mpesa mda ule ule! Nkamwambia hebu ngoja dk mbili kuna mteja kafika hapa ntakurudia.

Basi ndo nikamtoka kwa style ile & she never come back again na mm sijamtafuta tenaa😂😂
 
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasiraa, jamaa ake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga.

Mimi niliona status demu flani ninaemkubali kaandika i need somebody to talk to aisee nikampigia video call kumbe alikuwa analiaa nkamwambia upo wapi?? Akasema yupo hostel anaugulia maumivu bwana ake kamla rafika ake na ana ushahidi aisee nkamwambia pole sana.

Vipi tutoke bhasi ukapoteze mawazo kidogo? Akasema twende tu me nshachoka kuumizwa. Aisee ile siku sikuamini nilihisi ni ndoto japo baada ya tukio akaniblock kisa nilimpost demu wangu. Na yeye akampost jamaa eti ili anikomoe nkasema wanawake bhana.

Je, vipi ushawahi kula tamu kiutani utani tu? Mlidumu kama wapenzi baada ya kumla?

===========

TAKE NOTE:

===========

Moderator: Hii thread imerejeshwa na owner wa mjadala amekuwa rikiboy kama ilivyoombwa na wadau. Mnaombwa kuzingatia lugha katika uwasilishaji wa maoni
Hizi ndizo akili Za Miafrika ni ngono Na pombe
 
Story ziwe fupifupi,

Fupisheni story,


Wengine macho ni mabovu[emoji41]


Hili nalo liangaliwe,


Halafu,muwage mnapima afya zenu,


Afya ndio mtaji vijana.

[emoji1545][emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Unafiki utakuwa!
 
Back
Top Bottom