Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wasalaam!🤞
Nipo town kama kawa nasaka minoti,ila dakika 15 zilizopita nimetoka kumshusha bidada moja hivi black beauty ya kawaida toka kwenye tax yangu akitokea place x to sky city.

Alipoingia kwenye ndinga nikamsalimu as usual + nikampokea kisha tukaanza route..sipendi abiria wangu awe kimya huwa kama kuna moja/mbili namsemesha ili asiboeke,Basi bila kufikiri nikasema hii siku ya sensa leo ni nothing kwa kweli,nae akadakia hamna watu eeh?nikamwambia ndio,bora nawaza bora tu niende home maana sijapakia tangu saa nane na sasa hivi ni saa 10 jioni ndio nakupakia ww,akacheka,nikasema kwanza home kwangu ni mbali kwani hapo kwako si ni karibu,akasema eeh! Ni hapo jirani tu na uliponipakia, nikamwambia hapo kwako karibu si utanipa nafasi nipumzike hapo kwa leo tu,akatulia kidogo kama sekunde kadhaa kisha akajibu kwa sauti ya chini "sawa" huku mm sipo siriazi ata kidogo nikamuuliza lkn si upo peke yako akajibu eeh!

Basi nami nikatulia nikaongeza mwendo kidogo, baada ya kimya cha sekunde, akasema katika kipindi wadada wanapata mimba ni hiki nikamuuliza ni shauri ya baridi ndio unasema hivyo, akajibu eeh(ndio) ,nikasema hiyo kawaida maana tulishaambiwa tuzalianae tuongezeke akacheka kisha kimya kifupi cha sekunde kikapita, akasema lkn ni kwann wanaume wanalazimishaga mapenzi ?

Yani unakuta mtu hujajiandaa anakulazimisha, kabla sijamjibu akaongeza & unawezaje kudo mapenzi na mtu usiye na hisia nae hujampenda, humjui, hujamzoea. Huku nikiwaza huyu mbona kama anakuwa siriazi

Nikamwambia ss wanaume hatunaga kusubir sijui hisia, ss tukipewa na anybody tu inaamka na mnado anywhere, anytime, hata ss hivi mi nikipewa hapahapa kwenye gari nado, nikaskia anacheka huko nyuma mpaka tukapitiliza kituo kwa jinsi story zilivyokuwa zinaanza kupamba moto😀

Bas akashuka katoa nauli nikampa change nikamuuliza kama atamaliza shopping mapema akasema atachelewa, bas nikamwambia ukimaliza unistue nikufuate kama ntakuwa karibu, kama mbali bas ntakucheki jioni? Akajibu poa.

Wale watalaam zaidi ongezeni mbinu bas kama itawezekana kimasikhara maana anaonesha yupo siriazi.
sorry kwa errors nimetype na simu haraka hapa,sijaedit kabisa.
 
Umekutana na mjasiriamali. Ukute Telegram ana tangazo lake kabisa la chumba safi na salama kipo. Huduma zote zinapatikana.
Sasa kwa mchecheto wako utasema umekula kimasihara kumbe mwenzio alikuwa kazini na kapata mteja kirahisi.
Kumbuka kinga.

Umekutana na mjasiriamali. Ukute Telegram ana tangazo lake kabisa la chumba safi na salama kipo. Huduma zote zinapatikana.
Sasa kwa mchecheto wako utasema umekula kimasihara kumbe mwenzio alikuwa kazini na kapata mteja kirahisi.
Kumbuka kinga.
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom