Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Umekutana na mjasiriamali. Ukute Telegram ana tangazo lake kabisa la chumba safi na salama kipo. Huduma zote zinapatikana.
Sasa kwa mchecheto wako utasema umekula kimasihara kumbe mwenzio alikuwa kazini na kapata mteja kirahisi.
Kumbuka kinga.

Umekutana na mjasiriamali. Ukute Telegram ana tangazo lake kabisa la chumba safi na salama kipo. Huduma zote zinapatikana.
Sasa kwa mchecheto wako utasema umekula kimasihara kumbe mwenzio alikuwa kazini na kapata mteja kirahisi.
Kumbuka kinga.
Sawa mkuu
 
Halafu watu hawajuagi wengine wanavyovisema JF hawafanyi in real ife wala nn, wajinga ndio waliwao

Mfano naweza sema kuwa nalala na Malaya wawili kwa siku, kumbe nna familia nimepunzika nyumbani, wewe unaiga unakufa na umeme probably worse
Mambo ya mitandao hayo
 
Back
Top Bottom